Jamii FM

Recent posts

15 August 2025, 10:42 am

Mitandao ya kijamii, malezi duni chanzo mmomonyoko wa maadili Mtwara

Kongamano limebainisha kuwa malezi duni, matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii na kuiga tamaduni za kigeni vinachangia mmomonyoko wa maadili na ongezeko la ukatili dhidi ya watoto, likitoa wito kwa jamii kurejesha malezi imara Na Musa Mtepa Matumizi mabaya ya…

14 August 2025, 12:53 pm

Watoto 202 wafanyiwa ukatili wa kingono Mtwara

Zaidi ya matukio 1,338 ya ukatili yameripotiwa Mtwara ndani ya miezi sita, huku Nanyumbu na Tandahimba zikiongoza. Viongozi wa ustawi wa jamii na dini watoa sababu, mikakati na wito wa kuimarisha malezi na maadili. Na Musa Mtepa Zaidi ya matukio…

8 August 2025, 06:30 am

Jamii inachangiaje kuwalinda, kuwatunza watu wenye ulemavu?

“Hamisi Bakari anakiri kuwa changamoto kubwa anayokumbana nayo ni ukosefu wa eneo maalum la kufanyia biashara, kama angepata sehemu hiyo rasmi basi angeweza kupiga hatua zaidi za kimaendeleo kwa kuwa angeendesha biashara yake kwa utulivu na kujiimarisha zaidi kiuchumi” Na…

6 August 2025, 18:54 pm

Mtamba aibuka kidedea kura za maoni CUF Mtwara Vijijini

Mh. Shamsia Mtamba ashinda kura za maoni CUF Mtwara Vijijini kwa kura 334 kati ya 374, akimuacha Abdull Mahupa nyuma kwa kura 39 Na Musa Mtepa Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mtwara Vijijini, Mh. Shamsia Azizi Mtamba, ameibuka mshindi katika…

6 August 2025, 18:45 pm

Makala: Kuruthumu apatiwa msaada wa kununua kiatu maalum

“Kuruthumu amepatiwa msaada wa shilingi 300,000 kwa ajili ya gharama za ununuzi wa kiatu hicho maalumu. Huu ni mwanzo mpya kwa maisha yake, kwani sasa ataweza kushiriki ipasavyo katika shughuli za kila siku bila kikwazo kikubwa cha utembeaji” Na Msafiri…

4 August 2025, 08:41 am

Wananchi wa mtaa wa Mkunja Nguo waomba barabara rasmi

Uchongaji wa Barabara hiyo itarahisisha huduma kwa wakazi, hususan nyakati za dharura, Mwenyekiti wa mtaa, Bw. Kuladaku, ameunga mkono wazo hilo, akisisitiza mchango wake kwa maendeleo ya vijiji jirani Na Musa Mtepa Kutokana na kuongezeka kwa matumizi ya njia ya…

3 August 2025, 16:48 pm

Wakazi wa kijiji cha Tangazo wafaidika na Kliniki tembezi ya kifua kikuu

Wananchi wa Kata ya Tangazo, Mtwara, wameishukuru serikali kwa kuwaletea kliniki tembezi ya uchunguzi wa kifua kikuu, hatua iliyowapunguzia gharama na kurahisisha upatikanaji wa matibabu, huku wakitaka kampeni hizo ziendelee vijijini. Na Musa Mtepa Wananchi wa Kata ya Tangazo, mkoani…

2 August 2025, 13:15 pm

Kipindi: Mchango wa wazazi, walezi kupunguza watoto wa mtaani

“Mtaa hauna mtoto ila watoto wanatoka kwenye jamii zetu wenyewe” Na Gregory Millanzi Jamii inapaswa kuzingatia malezi bora ya watoto na kupunguza au kuacha kabisa kutelekeza familia zao jambo ambalo linapelekea watoto wengi kushindwa kupata malezi bora na huduma stahiki…

1 August 2025, 18:08 pm

SDA yataka usawa kwa wenye ulemavu

Ni warsha kujadili changamoto na fursa kwa watu wenye ulemavu, ikiwakutanisha viongozi wa serikali na wadau wa maendeleo, lengo ni kuimarisha elimu jumuishi na kuondoa mitazamo potofu. Na Mwanahamisi Chikambu Katika juhudi za kuendeleza elimu jumuishi na kuboresha maisha ya…

28 July 2025, 22:31 pm

Mzee mlemavu wa macho aomba msaada wa makazi Mtwara

Mzee Salumu Somba mkazi wa Mnyengedi, Mtwara, mlemavu wa macho, anaomba msaada wa makazi, mavazi, na mahitaji ya msingi kwa ajili ya familia yake kutokana na hali ngumu ya maisha. Na Musa Mtepa Mzee Salumu Somba, mkazi wa Kijiji cha…

Vision and Mission

Who we are

JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.

Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.

Vision

The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.

Mission

The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.

Coverage:

Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.