Jamii FM
Jamii FM
04/02/2026, 06:50
Mahakama Kuu Kanda ya Mtwara imesema inaendelea kuimarisha uwezo wake ili kuhakikisha utoaji wa haki kwa wakati kama sehemu ya utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Kauli hiyo imetolewa wakati wa maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini yaliyofanyika…
31/01/2026, 15:11
Ongezeko la watu pamoja na kupanda kwa gharama za nishati mbadala kama gesi na umeme kumeongeza kwa kiasi kikubwa utegemezi wa mkaa. Na Gregory Millanzi Kwa miongo mingi, mkaa umekuwa chanzo kikuu cha nishati kwa kaya nyingi, hususani katika maeneo…
31/01/2026, 14:44
Athari za ukataji miti zinaonekana wazi kupitia ukame, mafuriko, na mabadiliko ya tabianchi yanayoathiri moja kwa moja maisha ya binadamu. Na Gregory Millanzi Ukataji miti umekuwa tatizo linalokua kwa kasi katika jamii nyingi, hasa maeneo ya vijijini. Hapo zamani, misitu…
29/01/2026, 18:30
Wazazi na walezi mkoani Mtwara wametakiwa kuwapeleka shule watoto wenye ulemavu katika kipindi hiki cha uandikishaji wa Elimu ya Awali na Msingi. Wito huo umetolewa na MERODI kupitia Jamii FM, ikisisitiza elimu jumuishi, ushirikiano wa jamii na msaada wa serikali…
27/01/2026, 18:11
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara linachunguza tukio la mtoto wa miaka 12 anayedaiwa kujaribu kumuua mtoto wa miaka 4 wilayani Nanyumbu. Wakati huo huo, polisi wamefanikiwa kukamata watuhumiwa wa nyara za serikali na dawa za kulevya katika oparesheni mbalimbali…
26/01/2026, 11:17
Jamii Mtwara imehimizwa kunyonyesha watoto maziwa ya mama pekee kwa miezi sita ya mwanzo, kuimarisha makuzi yao, huku wadau wakitathmini huduma za malezi na kupanga mipango kupitia PJT-MMMAM. Na Musa Mtepa Jamii mkoani Mtwara imetakiwa kuhakikisha watoto wananyonyeshwa maziwa ya…
26/01/2026, 10:12
Vijana wa Kata ya Chuno, Mtwara Mjini, wametakiwa kuungana katika vikundi ili kunufaika na tenda na mikopo ya serikali kwa maendeleo yao ya kiuchumi Na Musa Mtepa Vijana wametakiwa kuungana na kuunda vikundi vitakavyowawezesha kupata tenda na mikopo kutoka serikalini,…
21/01/2026, 12:29
Wazazi wa kijiji cha Nanguruwe wameaswa kuwalea watoto wao katika maadili mema ili kukabiliana na mimba kwa wanafunzi. Wito huo umetolewa na viongozi wa elimu, polisi na walimu kupitia kipindi cha Wazi cha Jamii FM Redio. Na Musa Mtepa Wazazi…
19/01/2026, 12:08
Wananchi wa kijiji cha Nanguruwe wameiomba Serikali na wadau wa maendeleo kusaidia ujenzi wa soko la kisasa la bidhaa na vyakula ili kuboresha huduma za kibiashara. Ujenzi huo unafanywa kwa nguvu za wananchi na unatarajiwa kugharimu shilingi milioni 70, huku…
09/01/2026, 09:27
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara ameitaka TANROADS kuongeza usimamizi kwa mkandarasi wa barabara ya Mnivata–Masasi baada ya mradi kusuasua. TANROADS imesema chanzo ni mkandarasi na hatua tayari zimechukuliwa kuharakisha ujenzi Na Musa Mtepa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Kanali Patrick…
Who we are
JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.
Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.
Vision
The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.
Mission
The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.
Coverage:
Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.