

17 February 2025, 19:06 pm
Katika misimu miwili iliyopita simba sc haijawahi kushinda mchezo wowote wa ligi kuu katika uwanja wa Majaliwa dhidi ya Timu ya Namungo ,katika michezo miwili waliyocheza katika miimu hiyo miwili wameambulia kupata sare. Na Musa Mtepa Timu ya soka ya…
16 February 2025, 10:32 am
Haya ni mapitio ya utekelezaji wa shughuli za Programu Jumuishi ya Taifa ya Malezi, Makuzi, na Maendeleo ya Awali ya Mtoto (PJT-MMMAM) Mkoa wa Mtwara kwa kipindi cha Oktoba hadi Disemba 2024. Na Musa Mtepa Baadhi ya watendaji katika Halmashauri…
15 February 2025, 15:41 pm
Matokeo haya ni baada ya viongozi mbalimbali wa serikali na vyama vya siasa kuipambania Bandari ya Mtwara kuhakikisha inasafirisha Korosho na mazao mengine ili kuinua Uchumi wa mtu mmoja mmoja na mkoa kwa ujumla kama ambavyo msimu wa 2024/25 wa…
11 February 2025, 14:36 pm
Mradi huu unatarajia kutekelezwa katika kata zote 18 za manispaa ya Mtwara Mikindani huku lengo kuu likiwa kutoa elimu juu ya msaada wa kisheria ,haki na umiliki wa mali (Ardhi) na unyanyasaji wa kijinsia Na Musa Mtepa Zaidi ya wananchi…
2 February 2025, 12:02 pm
Kijiji cha Makome B kipo umbali wa zaidi ya Kilomita 35 kutoka makao makuu ya mkoa wa Mtwara na kipo katika kata ya Mbawala,Halmashauri ya Mtwara vijijini kilichozungukwa na Milima na Mabonde pamoja na misitu asili Na Musa Mtepa Kutokana…
1 February 2025, 11:41 am
Huu ni utaratibu wa TAKUKURU katika kutoa taarifa kwa umma juu ya matukio mbalimbali yaliyojitokeza katika kila kipindi cha miezi mitatu ya utekelezaji wa majukumu yao ikiwemo kuzuia na kupambana na Rushwa nchini. Na Musa Mtepa Taasisi ya Kuzuia na…
28 January 2025, 06:40 am
Hili ni kongamano lililohusisha shule ishiri za sekondari za serikali na binafsi zinazopatikana katika Manispaa ya Mtwara Mikindani lenye lengo la kuhamasisha wanafunzi na walimu kufanya vizuri katika mitihani ya kitaifa kwa kuwa dhamira ya kuondoa ziro. Na Musa Mtepa…
26 January 2025, 15:23 pm
Dhamira ya Mamlaka ya kuthibiti na kupambana na Dawa za kulevya (DCEA) kanda ya pwani ni kutoa Elimu kwa Jamii juu ya athari na madhara yake kupitia Kampeni ya msaada wa kisheria ya mama Samia inayoendelea kutolewa viwanja vya Mashujaa…
25 January 2025, 23:58 pm
Kampeni ya msaada wa kisheria ya mama Samia inatarajia kufanyika katika kipindi cha siku kumi katika mkoa wa Mtwara kwa kuanzia January 24,2025 hadi February 2,2024 ambapo uzinduzi wake umefanyika katika viwanja vya mashujaa Manispaa ya Mtwara Mikindani Na Musa…
24 January 2025, 22:50 pm
Na Musa Mtepa Leo, Januari 24, 2025, Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Kanali Patrick Sawala, amezindua rasmi kampeni ya msaada wa kisheria inayoendeshwa kwa jina la Samia Legal Aid Campaign katika viwanja vya Mashujaa Manispaa ya Mtwara Mikindani. Akizungumza wakati…
Who we are
JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.
Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.
Vision
The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.
Mission
The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.
Coverage:
Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.