Jamii FM
Jamii FM
8 November 2024, 09:40 am
Miundombinu ya shule ya Msingi Litembe hali yake Mbaya hivyo halmashauri isipochukua hatua kuelekea msimu wa mvua kunauwezekano wa kufungwa kutokana na majengo yake kuchakaa. Na Musa Mtepa Diwani wa kata ya Madimba, Idrisa Ali Kujebweja, ameitaka Halmashauri ya Mtwara…
7 November 2024, 22:16 pm
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Daktari Samia Suluhu Hassani alipofanya ziara mwaka jana aliagiza viongozi wa mkoa na taifa kwa ujumla kuhakikisha korosho zote zinazo zalishwa katika mikoa ya Kusini Lindi,Mtwara na Ruvuma zote zinasafirishwa kupitia Bandari ya…
7 November 2024, 16:17 pm
Na Gregory Millanzi Sera ya afya ya mama na mtoto nchini Tanzania inalenga kuboresha afya na ustawi wa wanawake wajawazito, watoto wachanga, na watoto walio chini ya umri wa miaka mitano. Serikali ya Tanzania imekuwa ikitekeleza sera ya afya inayotoa…
7 November 2024, 11:56 am
Walimu wenye ujuzi wa kuwafundisha wanafunzi wenye mahitaji maalumu ni wachache na wakati mwingine hata Mwalimu mkuu wa baadhi ya shule hawafahau na hawana uelewa juu ya mkakati na mwongozo wa Elimu jumuishi Na Musa Mtepa Waandishi wa Habari mkoani…
6 November 2024, 16:52 pm
Na Musa Mtepa Mkoa wa Mtwara, ulio kusini mwa Tanzania, ni moja ya maeneo yenye utajiri mkubwa wa rasilimali za nishati, hasa gesi asilia. Hata hivyo, licha ya kuwa na rasilimali hizi, bado kuna changamoto katika kutumia gesi asilia kwa…
5 November 2024, 16:47 pm
Na Gregory Millanzi/ Mwanahamisi Chikambu Miaka 62 iliyopita tangu kupata uhuru wa nchi ya Tanganyika na baadae kuwa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, kijiji cha Ngorongoro kata ya Nanguruwe Halamashauri ya Wilaya ya Mtwara mkoani hapa, hakijawahi kuwa na wanafunzi waliosoma elimu…
3 November 2024, 10:57 am
Hapo awali shule ya msingi Ruvula ilikuwa shule shikizi ambapo mwaka 2023 ilipata usajili rasmi wa kutambulika kuwa shule kamili na mwaka 2024 kwa mara ya kwanza imehitimisha wanafunzi 20 wa darasa la saba huku 17 kati yao wakielekea kidato…
2 November 2024, 21:13 pm
Na Mwanahamisi Chikambu Makungwi mkoani Mtwara wamependekeza kuwacheza watoto kuanzia umri wa miaka kumi na kuendelea ili watoto waweze kuelewa wanayofundishwa katika jando na unyago na kuacha kufundisha mila potovu ambazo hazileti tija kwa jamii. Wameyasema hayo katika kikao cha…
1 November 2024, 09:09 am
Wananchi endeleeni kutumia namba 114 kutoa taarifa kwa wakati pindi tukio la moja linapotokea ili kusaidia jeshi la zimamoto na uokoaji kufika kwa wakati katika eneo la tukio Na Musa Mtepa , Henry Abdala Katika tukio la kusikitisha, nyumba moja…
31 October 2024, 09:37 am
Hii ni katika kutolea ufafanuzi wa hali na mwenendo wa zao korosho katika msimu huu wa mwaka 2024/2024 ambao umeonesha uzalishaji kuwa mkubwa na bei rafiki kwa wakulima. Na Grace Hamisi Korosho ghafi tani 180,342 zimeuzwa kwa thamani ya bilioni…
Who we are
JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.
Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.
Vision
The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.
Mission
The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.
Coverage:
Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.