Jamii FM
Jamii FM
16 November 2024, 15:42 pm
Na Mwanahamisi Chikambu na Gregory Millanzi Ushiriki wa wanawake katika uongozi ni hatua muhimu kuelekea usawa katika uongozi na maendeleo ya kijamii. Hata hivyo uwakilishi wa wanawake katika nafasi za uongozi bado ni mdogo na changamoto mbalimbali zinakwamisha juhudi za…
16 November 2024, 14:51 pm
“Korosho ni baraka kubwa kwa mikoa ya kusini, lakini tunapaswa kuangalia tunavyotumia mapato haya. Elimu ni uwekezaji wa kudumu kwa watoto wetu na jamii kwa ujumla, tofauti na sherehe ambazo hazina tija ya muda mrefu” Na Msafiri Kipila Wazee wa…
16 November 2024, 14:01 pm
Haya ni mafunzo yanayohusisha katika fani kuu nne ambazo ni uchoraji,uchongaji,ufundi seremala na ufundi chuma ambapo kwa hatua ya awali wameanza na sanaa ya uchongaji. Na Musa Mtepa Novemba 15, 2024, Shirika linalojihusisha na sanaa na utamaduni mkoani Mtwara, ADEA,…
14 November 2024, 20:07 pm
Tunaendelea kuimarisha utoaji wa huduma kwa wananchi katika maeneo mbalimbali nchini, hivyo katika ziara hii tunakutana na watumishi wa ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kusisitizana juu ya kuwahudumia wananchi. Na Mwandishi wetu Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S.…
14 November 2024, 18:07 pm
Shule ya Msingi Litembe inapatikana katika kata ya Madimba halmsahauri ya Mtwara Vijijini mkoani Mtwara ambapo hadi kufikia Novemba 14, 2024 ina jumla ya wanafunzi 267 wanaosoma katika shule hiyo. Na Musa Mtepa Wananchi wa Kijiji cha Litembe, Kata ya…
12 November 2024, 17:34 pm
Mkoa wa Mtwara ni mkoa adhimu katika sanaa ya uchongaji wa vinyago hivyo kama rasilimali hizi zikitumika vizuri na vijana zinaweza kuwakomboa kiuchumi na hivyo kuwawezesha kujitegemea na kujenga taifa imara . Na Musa Mtepa Vijana wametakiwa kujitokeza kwa uwingi…
11 November 2024, 18:04 pm
Haya ni mafunzo yenye lengo la kuwawezesha waandishi wa Habari mkoani Mtwara kutambua kanuni na taratibu zitakazo waongoza katika ufanyaji kazi katika kuelekea uchaguzi wa serika za mitaa November 27,2024 Na Musa Mtepa Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa…
11 November 2024, 15:52 pm
Katika kipindi cha kuanzia Julai hadi Septemba 2024 TAKUKURU Mkoa wa Mtwara imepokea malalamiko 47 ambapo yanayohusu rushwa 37 na yasiyo husu rushwa yalikuwa 10. Na Musa Mtepa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Mtwara imefanikiwa kuokoa…
10 November 2024, 08:44 am
Huu ni msimu wanne wa mashindano hayo ambayo yamekuwa yakijigeuza kila mwaka kutokana na matukio makubwa ya kitaifa ambapo mwaka 2022 yalitwa Sensa Ndile Cup na mwaka yanajulikana na kama Uchaguzi Ndile Cup. Na Musa Mtepa Mkuu wa Wilaya ya…
8 November 2024, 23:28 pm
Inaelezwa kuwa sababu kubwa ya kususia kikao hicho ni kwa kile walichokiita kutotendewa haki kwa wagombea wao kwa kuwaondoa katika orodha ya wagombea wa nafasi za uongozi katika uchaguzi wa serikali za mitaa kwa kosa la kujaza vibaya fomu. Na…
Who we are
JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.
Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.
Vision
The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.
Mission
The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.
Coverage:
Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.