Jamii FM
Jamii FM
15 October 2024, 22:30 pm
Siku ya Mwanamke anayeishi vijijini huadhimishwa October 15, ya kila Mwaka kwa lengo la kutambua mchango wa mwanamke anayeishi vijijini katika jitihada za kujiletea maendeleo yao na kuondokana na umasikini kiwa ni Pamoja na ushiriki wa kuinua Uchumi wa taifa,mtu…
14 October 2024, 13:51 pm
Matembezi haya yenye lengo la kuhamasisha ushiriki kila mmoja mwenye sifa kushiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa November 27,2024 kote nchini ambapo kwa hatua ya awali uandikishaji wa orodha ya wapiga kura tayari umeshaanza October 11, 2024. Na…
14 October 2024, 11:13 am
Licha ya kuwa Mjimwema ndipo yalipo matenki ya maji yanayotoka katika chanzo cha maji cha Lwelu wananchi wanashangazwa na kuadimika kwa huduma hiyo. Na Musa Mtepa Wakazi wa Mjimwema katika kata ya Magengeni, Manispaa ya Mtwara Mikindani wanakabiliwa na changamoto…
12 October 2024, 11:00 am
Lengo la jogging na michezo mingine ni katika kuhamasisha wananchi kushiriki kikamilifu katika zoezi la uandikishaji kwenye daftari la wapiga kura lilionza rasmi jana October 11, 2024 kote nchini. Na Musa Mtepa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mtwara DC, Abeid Abeid…
11 October 2024, 15:50 pm
Mnada wa leo wameshindana makampuni 37 na korosho zote zilizouzwa zimenunuliwa na makampuni 10 hivyo makampuni 27 yamekosa korosho maana yake ni kwamba kunauhitaji wa korosho duniani na beii hii ni kutokana dunia ina uhitaji mkubwa wa korosho karanga na…
10 October 2024, 23:10 pm
Dhamira ni kuwataka wazee kukaa na vijana na kuzungumzia suala la amani na usalama wa mkoa katika kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa ,uchaguzi ambao umekuwa ukishuhudia heka heka za hapa na pale za vyama vya siasa. Na Musa Mtepa…
10 October 2024, 15:55 pm
Maeneo ya utawala kwa nchi nzima yalitangazwa na Waziri husika kutoka ofisi yar ais TAMISEMI September 16,2024 na baada ya kutangaza maeneo hayo wasimamizi wa uchaguzi kwa ngazi za halmashauri zote nchini zikiwemo na halmashauri (9) za mkoa wa Mtwara…
8 October 2024, 14:34 pm
Kwa mujibu wa kanuni na taratibu za uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka 2024 viongozi wa mitaa,vijiji na wajumbe wanatakiwa kujiuzuru ifikapo October 25,2024 . Na Musa Mtepa Mwenyekiti wa Mtaa wa Magengeni, Manispaa ya Mtwara Mikindani, Amina Ahmadi…
8 October 2024, 13:05 pm
Mradi huo unaojumuisha Vyumba 9 vya Madarasa, Jengo la Utawala pamoja Matundu 6 ya Vyoo, umetekelezwa kwa fedha zilizotoka Serikali kuu. Na Musa Mtepa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Stergomena Tax, amefanya ukaguzi na kufungua mradi…
8 October 2024, 11:57 am
Ni zaidi ya maafisa 400 wa uandikishaji wa daftari la wapiga kura wameapa na kupata seimina ya jinsi ya kuanya uandikishaji katika uchaguzi wa serikali za mitaa katika halmashauri ya Mtwara vijijini Na Musa Mtepa Mratibu wa Usimamizi wa Uchaguzi…
Who we are
JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.
Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.
Vision
The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.
Mission
The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.
Coverage:
Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.