Jamii FM
Jamii FM
29 November 2024, 07:44 am
Huu ni mwendelezo wa mafunzo kwa vitendo kutoka kwa Wasanii wa Uchongaji ambapo leo wamepata mafunzo ya namna na jinsi gani ya kutengeneza bidhaa bora Na Musa Mtepa Wasanii wa sanaa ya uchongaji mkoani Mtwara wameonesha furaha na matumaini makubwa…
27 November 2024, 15:00 pm
Huu ni uchaguzi wa serikali za mitaa wenye lengo la kuwapata viongozi wa mitaa,vijiji na vitongoji ambapo siku ya November 27, 2024, ndio utakuwa unafanyika ambapo kwa kipindi cha kunazia November 20 hadi 26,2024 kilikuwa kipindi cha kampeni kwa wagombea…
27 November 2024, 11:54 am
Mskiti huu ukikamilika unakadiriwa kugharimi Shilingi milioni 450 ,ambapo vyanzo vikuu vya mapato vinavyotegemewa katika ujenzi wake ni michango ya waumini na wadau mbalimbali wanaojitokeza kuchangia kama alivyofanya Muheshimiwa Rais. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu…
26 November 2024, 22:09 pm
November 27, 2024 ndio uchaguzi wa serikali za mitaa unatarajia kufanyika ambao kwa siku za hivi karibuni wananchi wameshuhudia wagombea wakinadi sera zao ikiwa njia ya kuwashawishi kuwachagua katika uchaguzi huo. Na Musa Mtepa Wananchi wa mkoa wa Mtwara wametakiwa…
26 November 2024, 16:05 pm
Na Mwanahamisi Chikambu Katika muendelezo wa mafunzo ya sanaa katika kituo cha makumbusho cha MAKUYA kilichopo chini ya shirika la ADEA mtaa wa Sinani, Manispaa ya Mtwara Mikindani, Mkurugenzi Mtendaji wa taasisi ya ADEA, Said Chilumba, amewataka vijana ambao ni…
25 November 2024, 23:57 pm
Kwa mujibu wa kanuni za uchaguzi wa serikali za mitaa kampeni zinatarjia kuhitimisha kesho tarehe 26.11.2024 saa 12:00 jioni ikiwa tayari kwa ajili ya uchaguzi November 27, 2024 Na Musa Mtepa Wananchi wa Kijiji cha Ngorongoro, Kata ya Nanguruwe, Halmashauri…
25 November 2024, 17:41 pm
Haya ni mafanikio makubwa kwa kata ya Mkunwa na Mtwara kwa ujumla kwa kitendo cha kujitokeza wanawake wengi kugombea katika nafasi mbalimbali za uongozi ikilinganishwa na chaguzi zilizopita. Na Musa Mtepa Zaidi ya wanawake 80 walionesha nia ya kuchukua fomu…
25 November 2024, 07:48 am
Hizi ni kampeni za vyama vya siasa ikiwa katika kuelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajia kufanyika November 27,2024 kote nchini ambapo hivi sasa vyama vina nadi sera zao kwa wananchi ili waweze kuchaguliwa. Na Musa Mtepa Mbunge wa…
24 November 2024, 10:42 am
Hili ni kundi la pili katika utekelezaji wa programu ya Kuimarisha sanaa,utamaduni na ufundi stadi kwa vijana ambapo kundi la kwanza lilikuwa la uchongaji ambalo bado linaendelea na mafunzo kwa vitendo zaidi. Na Musa Mtepa Baadhi ya wasanii wa sanaa…
21 November 2024, 22:26 pm
Huu ni uzinduzi wa kampeni kupitia chama cha Wananch CUF ikiwa ni ishara ya kutangaza sera na mweleko wa chama kwa wananchi kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika November 27,2024 kote nchini. Na Musa Mtepa Chama cha Wananchi…
Who we are
JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.
Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.
Vision
The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.
Mission
The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.
Coverage:
Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.