Jamii FM
Jamii FM
16 May 2025, 11:19 am
Watumishi wa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) kutoka kituo cha Naliendele na vituo vingine nchini wametakiwa kuzingatia maadili ya utumishi wa umma katika kutekeleza majukumu yao Na Mwanahamisi Chikambu Watumishi wa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI)…
12 May 2025, 12:18 pm
Serikali kupitia Wizara ya Kilimo kwa miaka ya hivi karibuni imekuwa na utaratibu wa kutoa pembejeo za kilimo bure kwa wakulima hasa kwenye zao la Korosho Na Msafiri Kipila Wakulima wa zao la korosho mkoani Mtwara wamempongeza Rais wa Jamhuri…
23 April 2025, 13:27 pm
Kampeni hii ya upandaji miti imefadhiliwa na wadau wa mazingira kutoka Finland kwa kushirikiana na Jamii FM Redio chini ya usimamizi wa mtaalam wa utafiti wa misitu Mzee Orestus Kinyero Na Musa Mtepa Afisa Mstaafu wa Utafiti wa Miti na…
18 April 2025, 18:06 pm
Katika kuonyesha hamasa na mafanikio ya wanawake vijijini katika kushiriki uongozi wa serikali za mitaa, kwa kuangazia ushindi wa Rukia Mnyachi kama Mwenyekiti wa Kijiji cha Nyengedi, aliyehamasishwa na kituo cha taarifa na maarifa kinachojishughulisha na masuala ya kijinsia, na…
17 April 2025, 15:17 pm
Karibu kwenye makala maalum kupitia Jamii FM, Leo tunakuletea simulizi ya kusisimua, ya kuhamasisha, na yenye kugusa hisia, simulizi ya kijana mmoja jasiri, mwenye moyo wa chuma na sauti ya dhahabu juu ya Ulemavu na sanaa Na Msafiri Kipila John…
16 April 2025, 14:06 pm
Makala hii inalenga kuhamasisha jamii kuhusu haki ya watu wenye ulemavu kupata elimu na kutumia teknolojia saidizi kwa maendeleo yao binafsi na ya jamii kwa ujumla. Kupitia mfano wa Mwalimu Shazili Ali Namangupa wa Shule ya Msingi Nanguruwe, inaonyesha jinsi…
9 April 2025, 15:14 pm
Huu ni msisitizo kwa wakulima kuhakikisha wanalima kilimo mchanganyiko kwenye zao la Korosho ili kusaidia kupunguza ghalama za upaliliaji pamoja na kuongeza virutubisho vinavyotokana na mazao yanayochanganywa kwenye mikorosho hiyo. Na Musa Mtepa Wakulima wa zao la korosho nchini wamehamasishwa…
7 April 2025, 00:00 am
Tamko hili limekuja baada ya kuwepo kwa taarifa za baadhi ya wanasiasa kutumia majukwaa yao kuupotosha umma juu ya mifumo ya stakadhi ghalani unavyo wakandamiza wakulima wanapouza mazao yao Na Musa Mtepa Wenyeviti wa vyama vikuu vya ushirika vinavyosimamia mazao…
5 April 2025, 18:24 pm
Na Musa Mtepa Wakuu wa wilaya na wataalamu ngazi zote wametakiwa kukagua nyaraka mbalimbali zinazotakiwa kuwepo kwenye miradi itakayopitiwa wakati wa mbio za mwenge mkoani mtwara kutekelezwa kwa ubora ili kuepuka ubadhirifu unaoweza kujitokeza. “Navielekeza vyombo vinavyotakiwa kuchukua hatua watakapo…
1 April 2025, 12:43 pm
Maonesho hayo yatafanyika katika viwanja vya shule ya msingi Chikongola Manispaa ya Mtwara Mikindani ambapo bidhaa zitahusisha zilizotengenezwa katika mafunzo yaliyoratibiwa na ADEA kwa kufadhiliwa na Alwaleed na Unesco. Na Musa Mtepa Hiki ni kipindi kilichofanyika katika Studio za Jamii…
Who we are
JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.
Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.
Vision
The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.
Mission
The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.
Coverage:
Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.