Jamii FM
Jamii FM
1 February 2025, 11:41 am
Huu ni utaratibu wa TAKUKURU katika kutoa taarifa kwa umma juu ya matukio mbalimbali yaliyojitokeza katika kila kipindi cha miezi mitatu ya utekelezaji wa majukumu yao ikiwemo kuzuia na kupambana na Rushwa nchini. Na Musa Mtepa Taasisi ya Kuzuia na…
28 January 2025, 06:40 am
Hili ni kongamano lililohusisha shule ishiri za sekondari za serikali na binafsi zinazopatikana katika Manispaa ya Mtwara Mikindani lenye lengo la kuhamasisha wanafunzi na walimu kufanya vizuri katika mitihani ya kitaifa kwa kuwa dhamira ya kuondoa ziro. Na Musa Mtepa…
26 January 2025, 15:23 pm
Dhamira ya Mamlaka ya kuthibiti na kupambana na Dawa za kulevya (DCEA) kanda ya pwani ni kutoa Elimu kwa Jamii juu ya athari na madhara yake kupitia Kampeni ya msaada wa kisheria ya mama Samia inayoendelea kutolewa viwanja vya Mashujaa…
25 January 2025, 23:58 pm
Kampeni ya msaada wa kisheria ya mama Samia inatarajia kufanyika katika kipindi cha siku kumi katika mkoa wa Mtwara kwa kuanzia January 24,2025 hadi February 2,2024 ambapo uzinduzi wake umefanyika katika viwanja vya mashujaa Manispaa ya Mtwara Mikindani Na Musa…
24 January 2025, 22:50 pm
Na Musa Mtepa Leo, Januari 24, 2025, Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Kanali Patrick Sawala, amezindua rasmi kampeni ya msaada wa kisheria inayoendeshwa kwa jina la Samia Legal Aid Campaign katika viwanja vya Mashujaa Manispaa ya Mtwara Mikindani. Akizungumza wakati…
17 January 2025, 10:52 am
Hii inalenga kutoa elimu ya ujiandikishaji na hamasa kwa Wananchi kushiriki katika zoezi la kujiandikisha na uboreshaji wa taarifa kwenye daftari la kudumu la wapiga kura linalotarajiwa kufanyika hivi karibuni katika mkoa wa Mtwara. Na Mwanahamisi Chikambu Tume huru ya…
16 January 2025, 13:40 pm
Huu ni mkutano uliohusu mada kuu ya maandalizi ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura kwa wadau katika mkoa wa Mtwara uliohusisha viongozi wa vyama vya siasa, asasi za kiraia, makundi maalum, kamati za ulinzi na usalama, wahariri…
14 January 2025, 21:33 pm
Hiki ni kikao cha halmashauri kuu ya chama cha mapinduzi CCM kilicholenga kutoa taarifa za utekelezaji wa ilani pamoja na changamoto zilizojitokeza katika miradi na jamii kwa ujumla Na Musa Mtepa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Kanali Patrick Sawala, ameiomba…
14 January 2025, 09:20 am
Hii ni ziara inayolenga kujifunza kwa vitendo waliyojifunza wakiwa darasani hasa katika miradi ya kiuchumi na usalama wa Wananchi kupitia miradi inayotekelezwa katika mkoa wa Mtwara. Na Musa Mtepa Mkoa wa Mtwara umepokea ugeni wa wanafunzi kutoka Chuo cha Taifa…
7 January 2025, 12:15 pm
Mafunzo haya yametolewa na jukwaa la redio za kijamii Tanzania (radio tadio) kwa lengo la kuwakumbusha waandishi wa habari na watangazaji kufanya kazi kwa kufuata madili ya uandishi wa habari katika kazi zao hasa wakati wa uchaguzi mkuu. Na Musa…
Who we are
JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.
Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.
Vision
The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.
Mission
The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.
Coverage:
Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.