Jamii FM

Kipindi: Kampeni ya upandaji miti shule za sekondari Naliendele na Mangamba

23 April 2025, 13:27 pm

Mzee Orestus Kinyero mtafiti mstaafu wa miti na misitu akiwa katika studio za Jamii FM redio akizungumzia kampeni ya upandaji miti na faida yake (Picha na Musa Mtepa)

Kampeni hii ya upandaji miti imefadhiliwa na wadau wa mazingira kutoka Finland kwa kushirikiana na Jamii FM Redio chini ya usimamizi wa mtaalam wa utafiti wa misitu Mzee Orestus Kinyero

Na Musa Mtepa

Afisa Mstaafu wa Utafiti wa Miti na Misitu Mzee Orestus Kinyero anaeleza kwa kina kampeni ya upandaji miti katika shule za sekondari Naliendele na Mangamba Day ambapo kupitia kampeni hii itawezesha kutengeneza klabu za mazingira katika shule hizo.

Kipindi: Kampeni ya upandaji miti shule za sekondari Naliendele na Mangamba