Mpanda FM
Mpanda FM
19 November 2021, 10:29 am
Halmashauri ya Nsimbo Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi imepata zaidi ya shiling bilioni nne kwa ajili ya ujenzi wa miradi ya maendeleo ikiwemo vyumba vya madarasa. Akizungumza na kituo hiki mkurugenzi wa halmashauri hiyo Mohamed Ramadhani amesema kuwa kupatikana fedha…
19 November 2021, 10:14 am
KATAVI Zaidi ya wananchi elfu nne mkaoni katavi wamepata chanjo ya dozi ya kwanza ya sinopharm na kufanya idadi ya watu waliopata chanjo ya uviko19 kufikia elfu kumi na mbili mkoani hapa. Kauli hiyo imetolewa na mganga mkuu wa mkoa…
26 October 2021, 6:35 pm
KATAVI Wakulima Mkoani Katavi wameiomba serikali kuwapunguzia bei ya pembejeo za kilimo zikiwemo mbolea pamoja na mbegu. Wakizungumza na Mpanda radio FM wakulima hao wamesema ili waweze kuendelea kulima kwa faida na kwa haraka wanapaswa kupata pembejeo kwa wakati na…
26 October 2021, 5:56 pm
MPANDA Mstahiki meya wa manspaa ya Mpanda Haidary Sumry amewaagiza madiwani kufuatilia fedha zinazopitishwa kwenye miradi ya maendeleo ili kukamilika kwa wakati. Akizungumza katika baraza la madiwani amesema ufuatiliaji huo utasaidia kiwango Cha pesa zinazoelekezwa kwenye miradi kuendana na kasi…
25 October 2021, 6:44 pm
MPANDA. Baadhi ya wafugaji wa kuku manispaa ya mpanda mkoani katavi waishukuru kampuni ya silverlands kwa kuwapa mafunzo ya ufugaji kuku wenye tija. Wameyasema hayo walipokua wakizungumza na mpanda radio fm mara baada ya mafunzo yaliyofanyika katika ofisi ya mtendaji…
25 October 2021, 6:32 pm
KATAVI Afisa maendeleo ya jamii manispaa ya mpanda marieta mlozi amewataka wanaume kuacha tabia ya kuwakatiza wanawake kujishungulisha katika kazi mbalimbali za kujiingizia kipato. Akizungumza na mpanda radio fm Marieta ameeleza kuwa wanawake wengi wamekuwa wakipitia vitendo vya unyanyasaji kijinsia…
25 October 2021, 5:49 pm
MPANDA Halmashauri ya manispaa ya mpanda mkoani katavi imetenga shilingi milioni mia moja kwa lengo la kukamilisha ujenzi wa shule ya sekondari nsemulwa kabla ya kufika mwaka 2022. Kauli hiyo imetolewa na meya wa manispaa ya mpanda Aidary Sumry alipokuwa…
13 October 2021, 8:58 am
OKTOBA 6, 2021 KATAVI Mufti na Shekh Mkuu wa Tanzania Abubakar bin Zuberi amewataka makatibu wa misikiti yote Mkoani katavi kuhakikisha wanapata hati miliki za viwanja vyote vinavyomilikiwa na baraza la waislam Tanzania BAKWATA. Shekh mkuu wa Tanzania ameyasema hayo…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
