Mpanda FM
Mpanda FM
23 November 2022, 6:19 pm
NSEMLWA Imeelezwa kuwa kukosekana kwa gari la kuzolea taka katika kata ya Nsemlwa Halmashauri Manispaa ya Mpanda Mkoa wa Katavi kunachangia baadhi ya wanchi kutupa takataka kwenye mitaro ya kupitishia maji. Hayo yameelezwa na baadhi ya wananchi wa kata hiyo…
23 November 2022, 5:47 pm
MPANDA Wafanyabiashara Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wametakiwa kutoa ushuru kikamilifu,ili fedha hizo ziweze kusaidia kuboresha miundombinu mbalimbali ikiwamo ya elimu na afya. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda Sofia Kumbuli ambapo amesema kuwa swala…
3 November 2022, 5:58 am
KATAVI Baadhi ya wanawake wajasiliamali mkoani Katavi wameeleza namna ambavyo wamenufaika na maonesho ya wiki ya Mwanakatavi yanayolenga kuhamasisha kilimo na Utalii. Wakizungumza wakati wa maonesho hayo wajasiliamali hao wamesema maonesho hayo licha ya kuwanufaisha kibiashara pia wanapata nafasi ya…
3 November 2022, 5:48 am
KATAVI Mwanamke anaefahamika kwa majina ya Restuta Januari (Miaka 41) mkazi wa Kata ya Itenka Halmashauri ya Nsimbo mkoani Katavi amenusurika kifo baada ya kuchomwa na kitu chenye ncha kali maeneo mbalimbali ya mwili wake na anae tajwa kuwa ni…
3 November 2022, 5:35 am
MPANDA Diwani wa kata ya Mpanda Hotel Hamis Misigalo ameiomba halmashauri ya Manispaa ya Mpanda kurejesha utaratibu wa Magari ya abiria kusimama dakika tatu katika kituo cha maegesho ya magari Mpanda Hotel. Akizungumza katika Mkutano wa Tatu wa baraza la…
3 November 2022, 5:29 am
KATAVI Baadhi ya wananchi wa Luhafe wilayani Tanganyika wamejitokeza kupata chanjo ya uviko 19 kijijini hapo, inayoratibiwa na taasisi ya Benjamini Mkapa. Wakizungumza na kituo hiki baadhi ya wananchi waliopata chanjo ya Uviko 19, wameishukuru serikali pamoja na wadau kwa…
21 October 2022, 11:36 am
MPANDA Wachimbaji wadogowadogo wa madini katika kitongoji cha Kagera kijiji cha dirifu kata ya Magamba wameuomba uongozi wa kijiji hicho kutatua mgororo uliopo baina ya kikundi cha Kagera Group na wananchi. Wakizungumza katika mkutano wa hadhara wa kijiji hicho wamesema…
21 October 2022, 11:15 am
KATAVI Wazazi mkoani Katavi wametakiwa kuhakikisha wanawajibika katika malezi ya Watoto wao ili kuepusha kutokea kwa mimba za utotoni. Wakizungumza na Mpanda radio fm baadhi ya wakazi mkoani hapa wamesema mimba za utotoni mara nyingi zinatokea pindi kukiwa hakuna misingi…
21 October 2022, 11:10 am
MPANDA Wananchi Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi Wametakiwa kuchukua tahadhari juu ya magonjwa ya milipuko ikiwamo kuhara kwa kunawa mikono na maji tiririka na sabuni sambamba na kutibu maji ya kunywa. Afisa afya Manispaa ya Mpanda Erick Kisaka ameitaka jamii…
20 October 2022, 11:54 am
MPANDA Ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Mpanda imefanikiwa kuzirejesha fedha kiasi cha Shilingi Milion moja laki mbili na arobaini na tano zilizochangwa na wananchi wa mtaa wa mtemi beda kata ya misunkumilo ili wapimiwe viwanja. Akizungumza na Mpanda redio…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
