Mpanda FM
Mpanda FM
10 December 2022, 4:36 am
TANGANYIKA. Katika kuazimisha miaka 61 ya uhuru wa Tanzania bara wananchi wametakiwa kuziunga mkono jitihada mbalimbali zinazofanywa na viongozi ikiwa ni sehemu ya kumuenzi mwasisi baba wa taifa mwalimu Julius kambarage nyerere. Kauli hiyo imetolewa na mgeni rasmi ambae ni…
9 December 2022, 7:22 pm
MPANDA. Mkuu wa wilaya ya Mpanda Jamila Yusuph amemuagiza Mkurugenzi wa manispaa ya Mpanda kuhakikisha ujenzi wa kituo cha afya kata ya Mwamkulu unakamilika ifikapo terehe 30 december 2022. Ameyasema hayo wakati wa ziara ya ukaguzi katika kituo hicho na…
8 December 2022, 5:39 pm
MPANDA Asilimia 88 ya kaya katika manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi inatumia vyoo bora huku asilimia 12 za kaya zilizobaki hazina vyoo bora kutokana na kuwa na hali duni ya Maisha. Akizungumza na Mpanda radio FM afisa afya Manispaa ya…
8 December 2022, 5:33 pm
MPANDA Madereva wa vyombo vya moto Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda Mkoani katavi wametoa maoni yao juu ya mwenendo wa kushuka na kupanda kwa bei ya mafuta ya petrol na dizel. Wakizungumza na Mpanda Radio fm kwa nyakati tofauti madereva…
8 December 2022, 5:25 pm
KATAVI Jumla ya kesi 35 za ukatili wa kijinsia na unyanyasaji wa watoto mkoani Katavi zimesikilizwa na kutolewa hukumu mahakamani katika kipindi cha mwezi Januari mpaka mwezi Novemba 2022. Akizungumza na waandishi wa habari kamanda wa jeshi la polisi mkoa…
2 December 2022, 3:37 pm
KATAVI wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko amewahakikishia wananchi wa Mkoa wa Katavi kuwa chanjo ya Polio ni salama na haina madhana ya aina yoyote kwa wanao patiwa chanjo hiyo. Mrindoko ametoa kauli hiyo 1Desemba 2022 wakati akizindua chanjo hiyo…
1 December 2022, 10:38 pm
MPANDA Katika kuadhimisha siku ya ukimwi duniani Manispaa ya mpanda imefanikiwa kupunguza maambukizi mapya ya virusi na kufikia asilimia 3.5. Akizungumza na mpanda radio fm mganga mkuu manispaa ya mpanda dk paul swankala amesema takwimu ya 3.5 inamaanisha kila wagonjwa…
1 December 2022, 5:05 am
TANGANYIKA Wakulima wa pamba wilayani Tanganyika Mkoa wa Katavi wameiomba serikali kipindi cha mauzo ya pamba kuingilia kati na kusimamia zoezi ili kuepusha sintofahamu ambayo huwa inajitokeza kwa baadhi ya maeneo watu kutokulipwa stahiki Zao. Maombi hayo wameyatoa wakati wa…
29 November 2022, 8:24 pm
MPANDA Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi mkoani Katavi Idi Hassan Kimanta amesema Mahusiano bora baina ya wafanyabiashara na mamlaka ya mapato [TRA] mkoani Katavi ni sababu ya Kuwa kinara katika ukusanyaji bora wa mapato. Amesema Hayo wakati wa kilele cha…
29 November 2022, 8:14 pm
KATAVI Ukatili wa kingono umetajwa kuwa ni chanzo kimoja wapo cha mimba za utotoni Mkoani Katavi ambapo jamii imehaswa kuwalinda watoto. Hayo yamesemwa na afisa maendeleo ya jamii Joshua Sankala alipokuwa kwenye uzinduzi wa siku kumi na sita za kupinga…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
