Mpanda FM

Recent posts

30 March 2023, 3:38 pm

Wananchi Tanganyika waomba elimu ya afya ya meno na kinywa

KATAVI Baadhi ya wananchi wilaya ya Tanganyika mkoani Katavi wameomba kupatiwa elimu ya afya ya kinywa na meno kabla ya kupata athari. Wakizungumza na Mpanda radio Fm wamekiri kupata huduma bora ya afya ya meno huku wakiomba serikali kutoa elimu…

30 March 2023, 3:36 pm

Vijana na watu wenye ulemavu wasumbufu kulipa mikopo asilimia 10

MPANDA Vijana na watu wenye ulemavu wametajwa kuwa ni miongoni mwa makundi sumbufu kwa kutolipa mikopo ya 10% ambayo inatolewa na halmashauri ya wilaya ya Mpanda mkoani Katavi. Hayo yamesemwa na mkuu wa idara ya maendeleo ya jamii wa manispaa…

29 March 2023, 8:29 am

Wananchi kata ya Nsemulwa walia na barabara

MPANDA Baadhi ya wananchi wa Kata ya Nsemlwa Halmashuri ya Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wameiomba serikali kutengeneza miundombivu mibovu ya barabara iliyopo katika kata hiyo katika kipindi hiki cha mvua za masika ili kuwaondolea adha wanayokutana nayo. Wakizungumza na…

29 March 2023, 8:26 am

CHAKUHAWATA Mpanda waaswa kuelimisha maadili kwa walimu

MPANDA Viongozi wa chama cha kulinda na kutetea haki za walimu Tanzania (CHAKUHAWATA) wilaya ya Mpanda wametakiwa kuelimisha maadili na miiko ya kazi kwa walimu. Kauli hiyo imetolewa na katibu msaidizi wa tume ya utumishi ya walimu wilaya ya mpanda…

29 March 2023, 8:16 am

Mwenyekiti Katumba aomba msaada kukamilisha ujenzi wa darasa

NSIMBO Mwenyekiti wa kijiji cha Katumba Salumoni Jeremeiah Mayangu amewaomba wadau na serikali kuwasaidia kukamilisha Ujenzi wa Boma la darasa wa shule ya Msingi Katumba lililoanzwa kujengwa kwa nguvu za wananchi. Akizungumza hivi karibuni wakati wa kilele cha wiki ya…

27 March 2023, 5:29 pm

Waumini wa dini ya kiislamu waaswa kutenda mema

KATAVI. Waumini wa dini ya kiislam mkoani Katavi wameaswa kuachana na mambo yasiyofaa katika kipindi cha mwezi mtukufu wa ramadhani na badala yake kuishi kwa wema na kufanya matendo ya kumpendeza mwenyezi mungu na jamii kwa ujumla. Wito huo umetolewa…

27 March 2023, 5:28 pm

Wananchi waomba elimu zaidi ya kifua kikuu

Mpanda Zikiwa zimepita siku chache tangu yafanyike maadhimisho ya siku ya kifua kikuu duniani Baadhi ya wakazi manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wamesema kuwa hawana uelewa juu ya ugonjwa huo na kuitaka serikali kuongeza jitihada za kutoa elimu. Wakizungumza na…

25 March 2023, 12:38 am

Wananchi Kayenze wajipanga kuchangishana kujenga choo cha soko

KATAVIKijiji cha Kayenze kata ya Katuma Wilayani Tanganyika mkoani Katavi kimepanga kuchangishana kwa ajili ya ukamilishaji wa Jengo la Choo katika Soko Linalomilikiwa na kijiji. Diwani wa kata ya katuma Paulo Pamasi ameiambia mpanda Radio kuwa kuanzia mwezi ujao mara…

25 March 2023, 12:32 am

Wafanyabiashara Mpanda hotel walalamikia ushuru

MPANDAWafanya biashara wa soko la Mpanda hotel manisapaa ya Mpanda Mkoani Katavi wanaouza matunda ya msimu nje ya soko, wamelalamikia ushuru wanaotozwa na kuomba kupewa ruhusa ya kuuza biadhaa nyingine ambazo sio za msimu nje ya soko. Wameyasema hayo katika…

25 March 2023, 12:25 am

Msonde: Wanafunzi wafundishwe lugha kwanza

KATAVIWalimu wa shule za sekondari na msingi mkoani Katavi wametakiwa kujikita kuwafundisha lugha wanafunzi Ili kutengeneza mazingira rafiki ya uelewa katika masomo. Hayo yamesemwa na Naibu katibu mkuu ofisi ya rais Tamisemi Dk. Charles Msonde katika kikao kazi na taasisi…

Kuhusu Mpanda Radio

Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.

Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.

Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.

Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.