Mpanda FM
Mpanda FM
9 March 2023, 1:08 pm
KATAVI Katika kuelekea siku ya mwanamke Duniani march 8 mwaka huu ,Wanawake Mkoani Katavi wametakiwa kupinga vitendo vya uvunjifu wa maadili sambamba na vitendo ukatili kwa wanawake na watoto ili kuendelea kutengeneza jamii yenye maadili na usawa Hayo yamebainishwa na…
9 March 2023, 1:04 pm
KATAVI Uhujumu wa miundombinu Imetajwa kuwa sababu inayopelekea Kupunguza utoaji huduma bora kwa Jamii Mkoani Katavi kwa shirika la Umeme Tanzania [Tanesco] na Mamlaka ya maji safi na usafi wa Mazingira Mpanda [MUWASA]. Wakizungumza wakati wakitoa makadirio ya bajeti za…
9 March 2023, 12:57 pm
KATAVI Manispaa ya Mpanda imetoa mashamba kwa vijana ambao hawakuchaguliwa kushiriki Mafunzo ya BBT-YIA (Building a Better Tommorow Youth initiative for agriculture ) yaliyo ratibiwa na wizara ya kilimo na kutolewa February 15 Mwaka huu jijini Dodoma. Afisa kilimo, mifugo…
9 March 2023, 12:52 pm
KATAVI Katika kuelekea siku ya wanawake duniani wanafunzi wa kike katika manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameaswa kutoa taarifa kila waonapo ukatili wa kijinsia. Akisoma taarifa afisa maendeleo ya jamii manispaa ya mpanda bi Marietha Mlozi amesema wanaiadhimisha siku ya…
9 March 2023, 12:45 pm
KATAVI. Jamii mkoani Katavi imetakiwa kuondokana Na dhana potofu inayomkandamiza mwanamke kupata haki ya kumiliki mali, na badala yake kuwapa haki hiyo kama ilivyo kwa wanaume. Wakizungumza Na mpanda redio fm baadhi ya wanawake mkoani hapa, wameeleza kuwa bado jamii…
9 March 2023, 12:31 pm
MPANDA Wazazi na walezi katika mtaa wa Rungwa kata ya Kazima Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamesikitishwa na kitendo cha ukatili wa kingono kilichofanywa na mwalimu wa kituo cha New Light Day Care huku wakitaka achukuliwe hatua za kisheria ili…
9 March 2023, 12:23 pm
KATAVI. Wananchi mkoani Katavi wametakiwa kuendelea kuchukua tahadhari juu ya mripuko wa ugonjwa wa surua na kutakiwa kufika kwenye vituo vya kutolea huduma ya afya pindi wazionapo dalili za ugonjwa huo. Wito huo umetolewa na mratibu wa huduma za chanjo…
4 March 2023, 6:12 pm
KATAVI Mkuu wa mkoa Wa Katavi Mwanamvua Hoza mrindoko amelitaka Jeshi la Polisi Mkoani Katavi kupitia Kitengo cha dawati kuandaa mikakati ya Kupambana na Matukio ya unyanyasi wa kijinsia kwa watoto na ulawiti yanayoendelea kushika kasi mkoani Katavi. Akizungumza Katika…
4 March 2023, 6:05 pm
MPANDA Baadhi ya wazazi na walezi halmashuri ya manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wametoa Maoni ya usafi wa vyoo katika shule za msingi na kuomba serikali kuendelea kusimamia ili kuwanusuru wanafunzi na magonjwa ya kuambukizwa ikiwemo UTI. Wakizungumza na kituo…
4 March 2023, 5:54 pm
KATAVI Abiria wa vyombo vya moto mkoani Katavi wameiomba serikali ipunguze bei ya mafuta kwani hali hiyo ina athiri shughuli zao za kila siku. Wakizungumza na mpanda Radio fm abiria hao wamesema kuwa kwa sehemu walizokua wakienda kwa Shilingi mia…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
