Mpanda FM
Mpanda FM
22 March 2023, 7:46 am
KATAVIUwepo wa Wadhamini wa kilimo katika mkoa wa katavi utasaidia ukuaji wa maradufu wa tija ya uzalishaji katika mazao mkoani hapa. Akiongea katika kongamano la Wadau wa Sekta ya Kilimo wa Pass Trust kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa…
20 March 2023, 5:05 pm
KATAVI Wanawake wa kanisa la Kiinjili la kilutheri Tanzania [KKKT ]na Wanawake wakatoliki wa Tanzania [WAWATA]jimbo la Mpanda wameeleza umuhimu wa utunzaji mazingira ikiwa ni pamoja na upandaji wa miti. Wameyasema hayo wakati wa zoezi la upandaji miti ambalo limefanywa…
20 March 2023, 5:02 pm
MPANDA Baadhi ya wananchi Manispaa ya Mpanda Mkoani katavi wametoa maoni mseto ya uongozi wa Rais wa awamu ya sita Dr Samia Suluh Hassan baada ya kutimiza miaka miwili ya uongozi wake. Wakizungumza na kituo baadhi ya wananchi hao wametaja…
20 March 2023, 4:59 pm
MPANDA Wakulima wa zao la Pilipili Mikoa ya Katavi na Songwe wametakiwa kutumia fursa ya kujikwamua kiuchumi kwa kujizatiti katika kilimo cha zao la pilipili ambalo kwa sasa soko lake ni la uhakika na lenye fursa. Akizungumza na Mpanda radio…
20 March 2023, 4:56 pm
KATAVI Wanawake Mkoani Katavi wametakiwa kuwa mstari wa mbele katika kuwahamasisha watoto wa kike juu ya umuhimu wa elimu sambamba na kuwaeleza fursa zinazotolewa na serikali ili kuwasaidia kutimiza ndoto zao . Wito huo umetolewa hivi karibuni na Mkuu wa…
20 March 2023, 4:54 pm
MPANDA Hofu ya kukutwa na maambukizi ya virusi vya ukimwi imetajwa kuwa ni moja ya sababu kwa baadhi ya wanaume katika Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi kushindwa kuwasindikiza wenza wao kwenye vituo vya kutolea huduma za kilinic pindi…
20 March 2023, 6:10 am
KATAVI Wananchi Mkoani Katavi wameiomba serikali kuangalia uwezekano wa Kusimamia ili kushusha bei ya Mahindi ambayo bado imeonekana kuwa kubwa kwa wananchi. Wakizungumza na Mpanda Redio fm wananchi hao wamesema serikali isimamie kwa ukaribu juu ya kuangalia namna ya kushusha…
18 March 2023, 7:17 am
KATAVIWananchi mkoani Katavi wameeleza namna wanavyo mkumbuka aliyekuwa rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania awamu ya Tano Hayati Dkt. John Pombe Magufuli,na kueleza pia jitihada zinazofanywa na Rais wa awamu ya sita Dk Samia suluhu Hassain . Wakizungumza na…
15 March 2023, 12:11 pm
TANGANYIKA. Wananchi wa Kijiji cha Lugonesi Tarafa ya Mwese wilayani Tanganyika walionufaika na Fedha za mradi wa hewa ya ukaa, wameshukuru kuwepo kwa mradi huo, kwani umewawezesha kujenga zahanati kijijini hapo. Wakizungumza mbele ya mkuu wa mkoa wa Katavi alipokuwa…
15 March 2023, 12:05 pm
KATAVI Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa katavi Ali Makame Hamadi amewataka wananchi kuishi katika misingi na maadili ya dini ili kuondokana na matukio kiuhalifu. Ameyasema hayo wakati akishiriki ibada katika kanisa la New harvest kijiji cha songambele Halmshauri…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
