Mpanda FM
Mpanda FM
9 May 2023, 8:13 pm
MLELE Mkuu wa Wilaya ya Mlele Majid Mwanga amewataka wazazi na walezi Wilayani humo waendelee kuchangia chakula cha mchana kwa wanafunzi wote kwa shabaha ya kuinua kiwango cha ufaulu. Ameyasema hayo wakati akiongea na wananchi wa Inyonga katika Mkutano wa…
6 May 2023, 6:47 am
NSIMBO Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Katavi kupitia Kwa Mjumbe wa Halmashauri kuu Taifa Girbert Samnpa ametoa Wito kwa Jumuiya ya wa wazazi ya Chama hicho kuungana na serikali katika kukemea Mmomonyoko wa Maadili katika Jamii. Ametoa wito huo…
6 May 2023, 6:08 am
NSIMBO Wananchi wa kijiji cha Itenka A Halmshauri ya Nsimbo wamekumbwa na sintofahamu baada ya mradi wa ujenzi wa vyumba vya madarasa uliopangwa kujengwa kijijini hapo kuhamishwa na kupelekwa kijiji jirani. Wakizungumza na kituo hiki wananchi wamesema kuwa awali ulipangwa…
5 May 2023, 5:10 am
MPANDA Jamii Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi imetakiwa kuendelea kupinga vitendo vya ulawiti na Mapenzi ya jinsia moja sambamba na kuwapa malezi bora watoto wao ili waendelee kuwa na maadili mazuri. Hayo yamejiri katika kikao cha baraza la madiwani ambapo…
5 May 2023, 5:07 am
MPANDA Wakulima wa mahindi katika Kijiji cha Sungamila kata ya Kasokola manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametaja mbolea ya msimu imewasababishia hasara katika kilimo hicho. Wakizungumza na Mpanda Redio FM kwa nyakati tofauti wakulima hao wamesema kuwa katika msimu huu…
5 May 2023, 5:04 am
NSIMBO Mkoa wa Katavi unatarajia kuongeza uzalishaji wa zao la Tumbaku kwa msimu huu kwa kuzalisha jumla ya kilo Milioni 15. 5. Akizungumza wakati akitoa taarifa ya maendeleo ya kilimo cha Tumbaku Mkoa wa Katavi Meneja Mkoa wa Bodi ya…
5 May 2023, 5:00 am
MPANDA Uwepo wa Klabu za kutoa elimu mashuleni imetajwa kuwa moja ya sababu ambazo zinamsadia mwanafunzi katika masomo na Maisha yake kwa jamii Baadhi ya wanafunzi katika halmashauri ya manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamesema wamekuwa wakipata elimu ya ugonjwa…
2 May 2023, 9:18 pm
KATAVI. Baadhi ya wananchi wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameomba kupatiwa elimu juu ya umuhimu wa lishe bora kwa mama mjamzito. Wakizungumza na kituo hiki wananchi hao wamesema hawapatiwi elimu juu ya lishe bora kwa mama mjamzito zaidi ya…
2 May 2023, 9:41 am
NSIMBO Serikali mkoa wa Katavi imesema miti milioni sita imepandwa toka mwezi wa Februari mwaka huu katika halmashauri za mkoa wa Katavi. Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko amebainisha hayo wakati akizungumnza na wananchi wa Kijiji Cha Isinde halmashauri…
2 May 2023, 9:35 am
KATAVI Baadhi ya madereva Bajaji wanaofanya safari kutoka Mpanda mjini kuelekea wilaya ya Tanganyika wamelalamikia usumbufu wa kulazimishwa kuingia stendi ili kutoa ushuru. Wakizungumza na Mpanda Radio FM madereva wamesema awali walikuwa wakifanya safari bila kulazimika kuingia stendi hiyo huku…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
