Mpanda FM
Mpanda FM
12 April 2023, 2:44 pm
MPANDA Mkoa wa Katavi umefikia zaidi ya asilimia 70 katika usambazaji wa maji safi na salama vijijini, huku lengo kuu ikiwa ni kutatua changamoto hiyo katika vijiji vilivyosalia. Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko wakati…
12 April 2023, 2:31 pm
MPANDA Diwani wa Kata ya Uwanja wa Ndege Mkoani Katavi Kamande Mbogo ametoa usafiri wa baiskeli kwa makatibu wa tawi wa Chama Cha Mapinduzi Kata ili kuwarahisishia shughuli za utendaji wanavotekeleza ilani ya chama. Akizungumza wakati wa mkutano uliowakutanisha wananchama…
10 April 2023, 5:25 pm
MPANDA Kamishna wa oparesheni na mafunzo ya Jeshi la Polisi Tanzania, CP Awadhi Juma Haji amesema moja ya changamoto zinazokwamisha mapambano dhidi ya uvuvi haramu na uhalifu kwenye maziwa ni kutokana baadhi ya wavuvi kugeukana na kutaka mali za haraka…
10 April 2023, 4:54 pm
KATAVI Wananchi wa Kayenze Kata ya Katuma Halmashauri ya Tanganyika mkoani Katavi wamewaomba Wakala wa barabara Vijijini TARURA kurekebisha Barabara ya Sibwesa Katuma inayopita katika eneo lao. Wameiambia Mpanda Radio kuwa wanapata adha ya usafiri na kushindwa kufanya baadhi ya…
8 April 2023, 9:43 am
KATAVI Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko amepiga marufuku Watoto kupelekwa kwenye kumbi za sherehe katika sikukuu ya pasaka. Akizungumza na waandishi wa Habari ofisini kwake amewataka wananchi kusheherekea sikukuu ya Pasaka kwa upendo na amani na kuhakikisha…
8 April 2023, 9:37 am
KATAVI Wananchi ambao bado hawajachangia katika ujenzi wa Shule mpya ya Msasani kata ya Mpanda Hotel Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wameombwa kuchangia ili kuikamilisha shule hiyo. Wakizungumza na Mpanda Radio Baadhi ya Wananchi waliochangia Ujenzi wa Shule hiyo wamewaomba…
7 April 2023, 7:10 am
MPANDA Jeshi la polisi mkoa wa katavi limefanikiwa kuwakamata watu watano wakiwa na kilo nne na kete mia mbili na tisa za madawa ya kulevya aina ya bangi. Akizungumza na waandishi wa habari kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa…
7 April 2023, 7:04 am
KATAVI Wananchi wa Kona ya Mnyagala Kijiji cha Ikaka kata ya Mnyagala Halmashauri ya Tanganyika mkoani katavi wamepongeza Jitihada za Kamati ya Shule katika usimamiaji wa upatikanaji wa Chakula shuleni hapo. Wakizungumza na kituo hiki wamesema kuwa wameitikia Wito wa…
6 April 2023, 9:57 am
KATAVI Mtu mmoja anayefamika kwa jina la Aden Mwakipesile mwenye umri wa miaka 49 mkazi wa kijiji cha Ibindi wilaya ya Mpanda Mkoani Katavi amekutwa amefariki kwa kujinyonga nyumbani kwake usiku wa kuamkia April 4. Mke wa marehemu Letisia Deus…
6 April 2023, 9:50 am
MPANDA Jumla ya wanafunzi wa kike 45 walio katishwa masomo kwa sababu mbalimbali wamesajiliwa kufanya mitihani ya kidato cha pili na cha nne katika kituo cha Kashato TRC ambapo wakidato cha pili ni 32 na kidato cha nne ni 13.…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
