Mpanda FM

Recent posts

23 May 2023, 10:38 am

Sauti ya Katavi (Matukio)

KATAVI Jeshi la Polisi Mkoani hapa Katavi kwa kushirikiana na Askari wa Hifadhi ya Taifa ya Katavi wamewakamata watu wanne wakiwa na meno ya Tembo vipande 13 yenye thamani ya zaidi ya shilingi Milioni 247. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Katavi…

23 May 2023, 10:34 am

Wanne Wakamatwa na Meno ya Tembo Katavi

KATAVI Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi kwa kushirikiana na Askari wa Hifadhi ya Taifa ya Katavi wamewakamata watu wanne wakiwa na meno ya Tembo vipande 13 yenye thamani ya zaidi ya shilingi Milioni 247. Kamanda wa Polisi wa Mkoa…

19 May 2023, 8:16 pm

Sauti ya Katavi (Matukio)

MPANDA Watu wawili wamenusurika kifo mara baada ya kung’atwa na mbwa anayesadikika kuwa na kichaa katika Mtaa wa Maridadi Kata ya Majengo Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi. Waliong’atwa na mbwa katika mtaa wa huo wa Maridadi ni Belta Baltazari mwenye…

19 May 2023, 8:09 pm

CCM Katavi yakemea ukatili kwa watoto

KATAVI Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi [CCM] mkoa Katavi imeeleza kuwa vitendo vya ukatili wa watoto vinavyoendelea kujitokeza vinachangiwa na utumikishaji wa watoto katika shughuli za ujasiriamali pamoja na utelekezaji wa familia . Hayo yamebainishwa na katibu wa…

18 May 2023, 7:09 pm

Sauti ya Katavi (Matukio)

TANGANYIKA. Wakazi wa kijiji cha kasinde kata ya kabungu Halmashauri ya wilaya ya Tanganyika wameutaka uongozi wa kata hiyo kutatua changamoto ya ubovu wa miundombinu ya barabara na madaraja ambayo imekuwa kikwazo kwa kipindi kirefu. Wakizungumza na Mpanda redio fm…

17 May 2023, 7:16 pm

Sauti ya Katavi (Matukio)

KATAVI-TANGANYIKA Baadhi ya wananchi wa kijiji cha Kasinde wameutaka uongozi wa kijiji hicho kutolea ufafanuzi  utaratibu uliopo katika uchimbaji wa madini ya COPPER yaliyopo katika mlima wa  kijijini hapo. Hii inajiri mara baada ya uwepo wa taarifa za uwepo wa…

17 May 2023, 7:08 pm

Zaidi ya mbwa 621 wauwawa Katavi

MPANDA Zaidi ya mbwa 621 wameuawa kufuatia zoezi lililofanyika kwa awamu nne la kuangamiza mbwa wasio na makazi maalum ili kuondoa mrundikano wa mbwa wenye vichaa ndani ya manispaa ya Mpanda. Hayo yamesemwa na Afisa Mifugo wa manispaa ya Mpanda…

17 May 2023, 7:07 pm

Wananchi waomba elimu sahihi ya matumizi ya gesi

KATAVI Baadhi ya wananchi mkoani Katavi wameomba kupatiwa elimu juu ya matumizi sahihi ya nishati mbadala ya (gas). Wakizungumza na Mpanda Radio FM wamesema watu wengi wamekuwa wakitumia nishati hiyo kwa mazoea bila kuwa na elimu sahihi ya matumizi yake…

17 May 2023, 10:43 am

Sauti ya Katavi (Matukio)

MPANDA Zaidi ya Mbwa 621wameuawa kufuatia zoezi lililofanyika kwa awamu nne la kuangamiza mbwa wasio na makazi maalumu ili kuondoa mbwa wenye vichaa ndani ya manispaa ya mpanda. Zoezi hilo limefanyika katika kata zote za manispaa ya mpanda na kufanikiwa…

17 May 2023, 10:18 am

Madereva Mpanda walia na ubovu wa barabara

MPANDA Watumiaji wa vyombo vya moto Halmashuri ya Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi walalamikia ubovu wa miundombinu ya barabara na kutaka marekebisho yafanyike na mamlaka husika. Wakizungumza na Mpanda Redio FM wamesema hali ya barabara siyo ya kuridhisha kwani barabara…

Kuhusu Mpanda Radio

Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.

Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.

Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.

Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.