Mpanda FM
Mpanda FM
9 August 2023, 6:33 am
MPANDA. Pikipiki kumi na mbili zenye thamani ya shilingi Milioni thelathini zimegawiwa kwa Makatibu kata wa chama cha mapinduzi CCM halmashauri ya Nsimbo na Mbunge wa jimbo hilo Anna Richard Lupembe kwa lengo la kuimarisha utendaji kazi kwa makatibu hao.…
9 August 2023, 6:24 am
MPANDA Wadau wa maendeleo manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameuomba uongozi wa manispaa ya Mpanda kutunza mazingira ya msitu uliopo eneo La uwanja wa azimio pamoja na kuimarisha miundombinu ya barabara inayoingia hospitali ya manispaa. Wameyasema hayo katika kikao cha…
1 August 2023, 5:53 pm
Nyomi ya Nsimbo kushuhudia mashindano ya STS. #mpandaradiofm97.0 #uwawamika #NMBBank #CRDBBank
31 July 2023, 9:20 am
Nsimbo yatoa washindi watatu katika mashindano ya STS #mpandaradiofm97.0 #uwawamika #pepsi #cocacola #NMBBank #crdbbank
28 July 2023, 4:15 pm
KATAVI Baadhi ya wananchi wa vitongoji vya kata ya Kapalala halmashauri ya Nsimbo mkoani Katavi wameiomba serikali kuwaongezea mtandao wa upatikanaji wa maji safi na salama katika kata yao. Wakizungumza na Mpanda Radio FM wamesema baadhi ya maeneo ya kata…
26 July 2023, 6:00 pm
MPANDA Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wameishauri serikali kuzipitia changamoto zilizopo katika mpango wa kunusuru kaya Maskini TASAF ikiwa ni Pamoja na malipo ili kuufanya mpango huo kuwa na manufaa kwa walengwa . Ushauri huo wameutoa…
26 July 2023, 5:57 pm
NSIMBO Mbunge wa Viti maalumu mkoa wa Katavi, Martha Mariki amekabidhi hundi ya Shilingi Milioni Tano kwaajili ya kusaidia ukarabati wa Jengo la Mama na Mtoto Katika Kijiji Cha Kajeje Kata ya Kanoge Halmashauri ya Nsimbo Mkoa wa Katavi. Mbunge…
26 July 2023, 5:50 pm
KATAVI Baadhi ya wanachama na mashabiki wa klabu ya Yanga Mkoa wa Katavi wamefanya matendo ya huruma katika kilele cha wiki ya wananchi kwa kuchangia damu na kutoa msaada kwenye kituo cha kulelea watoto yatima. Wakizungumza na Mpanda radio Fm…
26 July 2023, 5:43 pm
NSIMBO. Mbunge wa Viti maalumu Mkoa wa Katavi Martha Mariki ameishukuru serikali Kwa kutoa fedha Shilingi Milioni 590 Kwaajili ya kufanikisha ujenzi wa Kituo Cha afya Ugalla Halmashauri ya Nsimbo mkoa wa Katavi. Akizungumza na Wananchi katika Kijiji Kasisi Kata…
24 July 2023, 10:24 am
NSIMBO Wananchi wa kijiji cha Usense kata ya Uruwila halmashauri ya Nsimbo wamepaza sauti zao juu ya ufinyu wa maeneo ya kufanya shughuli za kilimo. Hayo wameyasema wakati wa ziara ya mbunge wa jimbo la Nsimbo Anna Lupembe katika kata…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
