Mpanda FM
Mpanda FM
16 June 2023, 7:24 pm
MPANDA Baadhi ya wananchi wa mtaa wa Kilimani kata ya Nsemulwa Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamekuwa na maoni mseto kutokana na fursa za ufugaji wa samaki zinazofanywa na mwekezaji Injinia Ismail Nassoro. Wakizungumza na kituo hiki wananchi wamesema kupitia…
16 June 2023, 7:22 pm
MPANDA Wakazi wa kijiji cha Dirifu manispaa ya Mpanda mkoa wa Katavi wamewataka viongozi wa kijiji hicho kuwa na utaratibu wa kuwasomewa mapato na matumizi ili kuongeza uwajibikaji kwa wananchi. Wakizungumza katika mkutano wa hadhara, wananchi hao wamesema kuwa kumekuwa…
16 June 2023, 7:20 pm
MPANDA Wananchi wa kijiji cha Dilifu kata ya Magamba manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamejitokeza kuchangia damu katika kuadhimisha siku ya Wachangiaji damu Duniani. Wakizungumza na Mpanda Radio Fm wananchi hao wamesema kuwa wameamua kutoa damu ili kuweza kuwasaidia wanaohitaji…
16 June 2023, 7:15 pm
MPANDA Mwanafunzi wa kidato cha pili mkazi wa Misengereni kata ya Ilembo mKoani Katavi amebakwa na mwanaume ambaye aliingia ndani ya nyumba kwa kuruka ukuta wakiwa wamelala . Mama mdogo wa binti huyo ameeleza namna tukio hilo lilivyokuwa mara baada…
16 June 2023, 7:11 pm
KATAVI. Zaidi ya shilingi milioni 3 zimetozwa kwa wadau wa nyama 30 kati ya 81 baada ya kupigwa faini kwa makosa kama ubovu wa miundombinu katika machinjio mkoani Katavi. Akizungumza na Mpanda Redio FM Afisa mfawidhi wa nyama kanda ya…
12 June 2023, 2:40 pm
MPANDA Vyombo vya habari mkoani Katavi vimetakiwa kufuata sheria, kanuni na miongozo pamoja na kulinda haki ya mtoto na kutokutoa vipindi vyenye maudhui yenye lugha ya matusi. Hayo yamebainishwa na Josephine Ndeje afisa mahusiano kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania [TCRA]…
10 June 2023, 3:35 pm
MPANDA Wananchi wa Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba serikali kupitia upya mchakato wa upatikanaji wa kaya maskini ili kuuwezesha mpango wa kunusuru kaya maskini unafika kwa walengwa kama ilivyokusudiwa. Wakizungumza na Mpanda Radio fm wananchi hao wameonyesha kutoridhishwa na…
10 June 2023, 3:32 pm
MPANDA Kukosa elimu ya ukatili wa kimwili kumetajwa kuwa miongoni mwa sababu zinazopelekea watu wa karibu kushindwa kuripoti matukio ya ukatili wa kimwili kipindi yanapotokea. Hayo yamebainishwa na wakazi wa manispaa ya Mpanda wakati wakizungumza na kituo hiki na kuongeza…
10 June 2023, 3:29 pm
KATAVI Wakurugenzi wa halmashauri zote mkoani Katavi wametakiwa kuhakikisha wanasimamia michezo na kuzitengea bajeti idara zote za michezo katika maeneo yao. Maagizo hayo yametolewa na katibu tawala wa mkoa wa Katavi Hassan Rugwa wakati akifunga mashindano ya Umoja wa Michezo…
7 June 2023, 5:40 pm
MPANDA. Ikiwa leo ni maadhimisho ya siku ya usalama wa chakula diniani mkoa wa katavi ni miongoni mwa mikoa Tanzania inayozalisha mazao ya chakula kwa wingi licha ya kukabiliwa na changamoto ya utapia mlo na udumavu kwa watoto. Kufuatia siku…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
