Mpanda FM

Recent posts

9 August 2023, 7:03 am

Lugonesi, Kasekese wajengewa uwezo

TANGANYIKA Kamati za shule ya msingi Lugonesi na shule ya msingi Kasekese wilayani Tanganyika mkoani Katavi zimejengewa uwezo wa namna ya kusimamia Rasilimali za shule pamoja na utolewaji wa elimu bora kwa wanafunzi. Akizungumza katika kikao cha mafunzo hayo afisa…

9 August 2023, 6:52 am

Kizungumkuti cha Nishati ya Mafuta

MPANDA Baadhi ya Wakazi wa manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wakiwemo madereva wa vyombo vya moto wamaiomba serikali kuingilia kati hali ya upatikanaji wa mafuta Pamoja na bei ili kuleta unafuu wa maisha kwa mwananchi. Maombi hayo wameyatoa wakati wakizungumza…

9 August 2023, 6:33 am

Makatibu CCM Nsimbo wanufaika na pikipiki za Lupembe

MPANDA. Pikipiki kumi na mbili zenye thamani ya shilingi Milioni thelathini zimegawiwa kwa Makatibu kata wa chama cha mapinduzi CCM halmashauri ya Nsimbo na Mbunge wa jimbo hilo Anna Richard Lupembe kwa lengo la kuimarisha utendaji kazi kwa makatibu hao.…

9 August 2023, 6:24 am

Wadau wa Maendeleo Washauri Utunzaji wa Mazingira

MPANDA Wadau wa maendeleo manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameuomba uongozi wa manispaa ya Mpanda kutunza mazingira ya msitu uliopo eneo La uwanja wa azimio pamoja na kuimarisha miundombinu ya barabara inayoingia hospitali ya manispaa. Wameyasema hayo katika kikao cha…

31 July 2023, 9:20 am

Katavi Special Talent Search

Nsimbo yatoa washindi watatu katika mashindano ya STS #mpandaradiofm97.0 #uwawamika #pepsi #cocacola #NMBBank #crdbbank

28 July 2023, 4:15 pm

Wananchi Kapalala walia na maji safi, salama

KATAVI Baadhi ya wananchi wa vitongoji vya kata ya Kapalala halmashauri ya Nsimbo mkoani Katavi wameiomba serikali kuwaongezea mtandao wa upatikanaji wa maji safi na salama katika kata yao. Wakizungumza na Mpanda Radio FM wamesema baadhi ya maeneo ya kata…

26 July 2023, 6:00 pm

Madiwani Waishauri Serikali kuhusu TASAF

MPANDA Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wameishauri serikali kuzipitia changamoto zilizopo katika mpango wa kunusuru kaya Maskini TASAF ikiwa ni Pamoja na malipo ili kuufanya mpango huo kuwa na manufaa kwa walengwa . Ushauri huo wameutoa…

26 July 2023, 5:57 pm

Martha Achangia Milion 5 Ujenzi wa Jengo la Mama na Mtoto

NSIMBO Mbunge wa Viti maalumu mkoa wa Katavi, Martha Mariki amekabidhi hundi ya Shilingi Milioni Tano kwaajili ya kusaidia ukarabati wa Jengo la Mama na Mtoto Katika Kijiji Cha Kajeje Kata ya Kanoge Halmashauri ya Nsimbo Mkoa wa Katavi. Mbunge…

26 July 2023, 5:50 pm

Wanachama wa Yanga Mpanda Wafanya Matendo ya Huruma

KATAVI Baadhi ya wanachama na mashabiki wa klabu ya Yanga Mkoa wa Katavi wamefanya matendo ya huruma katika kilele cha wiki ya wananchi kwa kuchangia damu na kutoa msaada kwenye kituo cha kulelea watoto yatima. Wakizungumza na Mpanda radio Fm…

Kuhusu Mpanda Radio

Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.

Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.

Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.

Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.