Mpanda FM

Recent posts

23 May 2022, 1:03 pm

DC TANGANYIKA UMEME KAREMA KABLA YA MAY 20

KATAVI. Mkuu wa wilaya ya tanganyika onesmo buswelu amelitaka shirika la umeme mkoa wa katavi kuunganisha umeme katika bandari ya karema kabla ya may 20 mwaka huu kwakuwa mradi huo upo katika hatua za mwisho kukamilika. Buswelu ametoa angizo hilo…

30 March 2022, 4:59 pm

Uvamizi Misitu: Kilio kwa Sokwe Mtu

Uvamizi wa maeneo ya hifadhi za misitu mkoani Katavi imetajwa kuwa chanzo cha mnyama  sokwe mtu kuendelea kupungua. Josephine Lupia na afisa misitu kutoka ofisi ya mkuu wa mkoa amesema kuwa tabia ya baadhi ya wananchi kufanya shughuli za kibinadamu…

30 March 2022, 4:29 pm

RADI YAUWA NG’OMBE 28 KATAVI

KATAVI Ng’ombe 28 kati ya 52 waliokuwa pamoja wanatoka malishoni wa kaya tano tofauti kijiji cha Kabage kata ya Sibwesa Wilayani Tanganyika mkoa wa katavi zimekufa baada ya kupigwa na radi iliyoambatana na mvua na upepo mkali. Hayo yameelezwa na…

30 March 2022, 1:16 pm

AJINYONGA BAADA YA KUMJERUHI MUMEWE

KATAVI.  Mkazi wa kitongoji cha Kamlenga, Kijiji cha Sibwesa wilayani Tanganyika, Mande Emanuel (30) amejinyonga baada ya kumjeruhi mumewe, Dotto Enos (35) kwa kumkata mapanga. Akizungumza na waandishi wa habari Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi, ACP Ally Makame amedhibitisha…

20 November 2021, 1:13 pm

Mabalozi Wapewa Darasa na Ewura

Mwenyekiti wa baraza la ushauri watumiaji wa huduma za nishati na maji katika mkoa wa Katavi EWURA CCC Steven Kinyoto amewataka wenyeviti wa mitaa katika manispaa ya Mpanda kuwa mabalozi kwa kuelimisha jamii katika kupata haki zao kwa watumiaji wa…

20 November 2021, 1:06 pm

Maoni ya Wananchi juu ya Katazo kwa Madalali

Baadhi ya wananchi manispaa ya mpanda  mkoani katavi wamekuwa na maoni tofauti juu ya katazo la madalali wa nyumba  kupewa kodi ya mwezi mmoja. wakizungumza na mpanda  radio fm wananchi hao wameleza kufurahishwa kwa marufuku hiyo huku wengine wakionesha kutoridhishwa…

20 November 2021, 12:30 pm

Mkuu wa Wilaya: Wakurugenzi Simamieni Miradi

Mkuu wa wilaya ya  mpanda Jamila Yusuph amewaagiza wakurugenzi wa manispaa ya  mpanda na halmashauri ya nsimbo  kusimamia miradi ya maendeleo ili inapokamilika iwe na ubora unaoendana na thamani ya pesa iliyotolewa. Akizungumza katika kikao cha kamati ya ushauri ya…

20 November 2021, 12:25 pm

Hifadhi ya Katavi na Utajiri wa Viboko

Hifadhi ya taifa mkoani katavi inatajwa kuwa moja ya hifadhi inayoongoza kuwa na  viboko wengi afrika huku idadi ya viboko hao  ikikadiriwa kuwa ni zaid ya milioni mbili . Hayo yamebainishwa na muongoza watalii katika hifadhi hiyo God listern Isaya…

20 November 2021, 11:45 am

Mkuu wa Mkoa Katavi Awaonya Viongozi Kuhusu Uhalifu

Mkuu wa mkoa wa katavi Mwanamvua Mrindoko amewataka viongozi wa serikali kutokuwa chanzo cha kukumbatia uharifu katika jamii.  Akizungumza na Mpanda Radio Fm amesema kumekuwa na tabia kwa  baadhi ya viongozi wa serikali kutumia nafasi zao za kazi kuwatetea waharifu…

20 November 2021, 11:35 am

Huduma Mkoba Kuimarisha Zoezi la Chanjo ya Uviko 19

Serikali mkoani katavi imekuja na mpango  harakishi na shirikishi wa kutoa  huduma mkoba  ya uviko19 ambavyo itawasaidia wananchi kupata chanjo hiyo  popote  pale walipo. Hayo yamebainishwa na mkuu wa mkao wa katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko   ambapo ameeleza kuwa wamekuja na…