Mpanda FM
Mpanda FM
10 October 2023, 8:33 am
Jeshi la polisi mkoani Katavi linawashikilia watu wawili akiwemo Dotto Mathias (37) kwa tuhuma ya mauaji Na Ben Gadau – KataviJeshi la polisi mkoani Katavi linawashikilia watu wawili akiwemo Dotto Mathias (37) kwa tuhuma ya mauaji yaliyotokea katika kitongoji cha…
9 October 2023, 3:27 pm
Katibu mkuu CCM Daniel Chongolo hajaridhishwa na kasi ya Mkandarasi anaetekeleza mradi wa Ujenzi wa Barabara ya Kiwango cha Lami kutoka Kibaoni hadi Halmashauri ya Mpimbwe. Na John Benjamin – MleleKatibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo hajaridhishwa…
9 October 2023, 3:06 pm
Katibu mkuu wa chama cha mapinduzi taifa Daniel Chongolo amemtaka Waziri wa maji Juma Aweso kuhakikisha anafika kata za Karema na Ikola Kutatua changamoto ya maji Na John Benjamin – Tanganyika Katibu mkuu wa chama cha mapinduzi taifa Daniel Chongolo…
9 October 2023, 2:28 pm
Jamii Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi imeshauriwa kuwa na matumizi sahihi ya uzazi wa mpango Na Kalala Robert & Veronica Mabwile – MpandaJamii Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi imeshauriwa kuwa na matumizi sahihi ya uzazi wa mpango ili kuwa na…
9 October 2023, 1:38 pm
Wananchi wa mkoa wa Katavi waombwa kuacha kuwapa nguvu na fursa watu wanaodhaniwa kuwa na uwezo wa kufichua wachawi[Kamchape] Na John Benjamin – KataviWananchi wa mkoa wa Katavi wameombwa kuacha kuwapa nguvu na fursa watu wanaodhaniwa kuwa na uwezo wa kufichua wachawi[Kamchape]…
9 October 2023, 12:37 pm
MpimbweMamlaka ya Mapato Tanzania TRA Mkoa wa Katavi imetoa elimu ya mabadiliko ya sheria mpya za kodi kwa wafanyabiashara wa halmashauri ya Mpimbwe pamoja na kusikiliza kero na kuzipatia ufumbuzi. Akizungumzia utoaji wa elimu hiyo Meneja wa TRA mkoa wa…
5 October 2023, 2:01 pm
Wananchi wa kijiji cha Magogo kata Kasekese wilaya ya Tanganyika mkoani Katavi wameishukuru serikali kwa kuwajengea shule kijijini hapo. Na Gladness Richard – Tanganyika Wananchi wa kijiji cha Magogo kata Kasekese wilaya ya Tanganyika mkoani hapa wameishukuru serikali kwa kuwajengea…
5 October 2023, 1:41 pm
Katibu mkuu wa Chama Cha mapinduzi taifa Daniel chongolo ameahidi kufanyia kazi mradi wa umeme wa gridi ya taifa Na John Benjamin – Mpanda Katibu mkuu wa Chama Cha mapinduzi ccm taifa Daniel chongolo ameahidi kufanyia kazi kuhakikisha mradi wa…
4 October 2023, 2:42 pm
Walimu wa shule za msingi manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameutaka uongozi wa mkoa kutolea ufafanuzi malalamiko ya kushindwa kupandishwa madaraja kwa muda mrefu. Na Ben Gadau – Mpanda KATAVIWalimu wa shule za msingi manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameutaka…
4 October 2023, 1:43 pm
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Katavi kupitia CCM Taska Restituta Mbogo ametoa zaidi ya shilingi milioni tatu kwa ukamilishaji wa ofisi za CCM wilaya ya Mlele na ofisi ya UWT wilayani hapo. Na Ben Gadau – MleleMbunge wa Viti Maalumu…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
