Mpanda FM
Mpanda FM
15 December 2023, 3:59 pm
Mbunge wa jimbo la Mpanda mjini Sebastiani Kapufi afanya ziara kukagua miradi ya maendeleo iliyopo katika jimbo lake. Na Deus Daud – Mpanda Mbunge wa jimbo la Mpanda mjini Sebastiani Kapufi amefanya ziara kukagua miradi ya maendeleo iliyopo katika jimbo lake…
15 December 2023, 2:40 pm
Serikali yachangia shilingi milioni 14 kwa ajili ya matundu ya vyoo shule ya Msingi Msasani. Na Gladness Richard – Mpanda Kufuatia ujenzi unaoendelea Wa shule ya Msingi Msasani Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi Serikali imechangia shilingi milioni 14 kwa ajili…
15 December 2023, 2:23 pm
Wananchi Katavi washauriwa kuweka mazingira katika hali ya usafi ili kutokomeza mazalia ya mbu. Na Leah Kamala – Mpanda Wananchi Maanispaa ya Mpanda mkoani Katavi Katavi wameshauriwa kuweka mazingira katika hali ya usafi ili kutokomeza mazalia ya mbu katika msimu huu…
12 December 2023, 10:11 pm
Picha na Mtandao Mfumo huo utasaidia katika ukusanyaji mapato kwa kuwa wateja watalipia bili za huduma ya maji kwa njia ya simu na fedha hizo kuingia katika mfumo wa malipo ya serikali. Na Betord Benjamini- Katavi Wakala wa Maji na…
12 December 2023, 10:10 am
Picha na Site Tv Daraja hilo limegharimu kiasi cha Shilingi Bilioni 4.8 Na Betord Benjamini-Katavi Daraja la Msadya lenye urefu wa Mita 60 lilipo katika halmashauri ya Mlele mkoani Katavi limekamilika na limeanza kutoa huduma kwa wananchi. Akizungumza Meneja wa…
6 December 2023, 9:51 am
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi ACP Kaster Ngonyani .Picha na Gladness Richard Jeshi la polisi limewatia mbaroni watuhumiwa wakiwa na lita 135 na mtambo wa kutengenezea pombe ya Moshi huku watu 17 wakikamatwa wakiwa na pombe haramu…
4 December 2023, 11:06 am
Picha na Mtandao Asilimia 5.4% ya wananchi mkoani Katavi wana maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU). Na Gladness Richard-Katavi Imeelezwa kuwa Kati ya Watu 100 Mmoja kati yao ana Maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi Mkoani Katavi. Takwimu hizo Zimetolewa na…
2 December 2023, 3:41 pm
Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko akizungumza na Wajumbe katika kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa hatua zaidi ziweze kuchukuliwa kwa Wananchi watakaobainika kufanya Shughuli zilizo kinyume katika hifadhi ya Barabara. Na Anna Milanzi -Katavi Mkuu wa Mkoa wa…
2 December 2023, 1:59 pm
Picha na Mtandao Wanaume Wameonekana kuwa na Kiwango Kikubwa cha Utelekezaji wa Familia ikilinganishwa na Wanawake. Na Gladness Richard-Katavi 60% ya Familia Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi zimetajwa kutelekezwa na Mmoja wa Wazazi huku hali hiyo ikisababisha Watoto kutopata haki…
27 November 2023, 1:37 pm
Kamati ya Siasa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Katavi Wakikagua Nyumba ya Watumishi ambayo imekamilika katika Zahanati Kijiji cha Lugonesi Wilaya ya Tanganyika .Picha na Betord Benjamini Zaidi ya Billion 8 zimepatikana katika Biashara ya hewa ya ukaa kwa…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
