Mpanda FM

Recent posts

10 June 2024, 2:09 pm

Ubanguaji karanga wasababisha mafua makali kwa wakazi wa Mpanda

“Wananchi wamelalamikia adha wanayoipata kutokana na kutozolewa kwa taka hizo zilizotokana na ubanguaji karanga katika maeneo hayo ambayo pia yana muingiliano na shughuli zingine za wananchi” Na Samwel Mbugi Katavi Baadhi ya wananchi wa kata ya Mpanda Hotel Manispaa ya…

4 June 2024, 4:02 pm

RC Katavi aagiza kufanyika tathmini kutofikia malengo zao la pamba

Mrindiko ameagiza kuhakikisha malengo ambayo yanapangwa yanafikiwa kwa wakulima kufuata mbinu za kilimo na wataalam kuhakikisha tathmini inafanyika ili kulinganisha na misimu mingine kwanini imekuwa vigumu kufikia lengo la kuzalisha tani milioni 50 Picha na Festo Kinyogoto Na Festo kinyogoto-katavi…

3 June 2024, 5:37 pm

Elimu ya Kinga rafiki yawafikia vijana halmashauri ya Nsimbo

baadhi ya vijana halmashauri ya Nsimbo wakipata elimu ya kinga rafiki kutoka kwa wawezeshaji shirika lisilo la kiserikali SHIDEFA.picha na John Benjamin “dhumuni kubwa la zoezi hilo ni kutoa elimu kwa vijana jinsi yakujikinga na maambukizi ya vizuri vya ukimwi.…

3 June 2024, 11:29 am

Mafundi 15 Katavi wapatiwa elimu ya ushonaji mavazi ya kulinia

 Wahitimu wa mafunzo ya wiki mbili ya ushonaji wa mavazi ya kulinia asali walioshika vyeti pamoja na wakufunzi wao na katibu tawala msaidizi sehemu ya uchumi na uzalishaji Mkoani Katavi wanne kutoka kulia na kushoto .picha na Betord Chove “Ushonaji…

30 May 2024, 1:43 pm

Waziri Jafo :Katavi tunzeni mazingira

picha na Site tv “uharibifu wa mazingira unaleta athari hasa ya mabadiliko ya tabianchi jamii inapaswa kuyatunza mazingira“ Na Betord Chove -Katavi Waziri wa Nchi (Muungano na Mazingira, Dkt.Selemani Saidi Jafo Amewaagiza wakuu wa Mikoa nchini  kutekeleza mpango wa kuhamia…

30 May 2024, 12:03 pm

Wananchi kumlinda binti mwenye ulemavu dhidi ya mimba za utotoni

Viti mwendo sambamba na nyenzo zingine za kusaidia watu wenye ulemavu kutoka sehemu moja kwenda nyingine .picha na Mtandao “wasichana wenye ulemavu wana ndoto na wanapaswa kufikia malengo yao ,jamii inapaswa kuwalinda wasichana wenye ulemavu“ Na Ben Gadau- Katavi Wazazi…

30 May 2024, 10:36 am

Misitu 30 kuboresha biashara ya Kaboni Katavi

Mkuu wa mkoa wa Katavi akiwa wilayani Tanganyika .picha na site tv “Halmashauri zote mkoani katavi zinapaswa kutunza mazingira ili kunufaika na biashara ya hewa ukaa na kukuwa kiuchumi“ Na Betold Chove- Katavi Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko…

28 May 2024, 12:38 pm

Wananchi Misunkumilo walia ukosefu wa kituo cha afya

Wamebainisha kuwa kwa sasa huwalazimu kupata huduma za afya katika zahati ya Shule ya wasichana ya Mpanda ama kusafiri hadi mjini kuja kupata huduma hiyo hali ambayo imekuwa ikiwagarimu muda na pesa kwa ajili ya usafiri.”Picha na mtandao Na John…

24 May 2024, 10:05 am

Katavi: Watoto waendelea kuogelea mto Misunkumilo

“Serikali ya mtaa haitasita kuchukua hatua kwa wazazi ambao watoto wao watabainika wanazurura mtaani, amesema mwenyekiti wa mtaa wa Mpanda Hoteli Christina Mshani” Picha na Samwel Mbugi Wazazi Mpanda Hoteli Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametakiwa kutimiza wajibu Wa kuwalinda…

Kuhusu Mpanda Radio

Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.

Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.

Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.

Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.