Mpanda FM

Recent posts

24 June 2024, 7:02 pm

Wamiliki wa viwanda vya kubangua karanga Mpanda hotel watakiwa kuhama

Takataka zilizotokana na kazi ya ubanguaji karanga katika eneo la mpanda hotel na kuleta kero kwa wakazi wa maeneo hayo.Picha na Samwel Mbugi “Mashine zilizopo maeneo hayo zinazalisha taka nyingi ambazo zinasababisha uchafuzi wa mazingira na kupelekea manispaa kuwa chafu“…

21 June 2024, 10:37 pm

Wazazi Katavi wasisitizwa kuwapeleka hospitali watoto wenye selimundu

baadhi ya vipimo vya kimaabara .picha na mtandao “kutokana na ukosefu wa elimu wananchi wamekuwa na Imani potofu juu ya ugonjwa huo.“ Na Samweli Mbugi -Katavi Wananchi wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametakiwa  kuwapeleka Watoto wenye selimundu hospitali kwa…

18 June 2024, 5:52 pm

Mtoto mwenye umri wa miaka 8 alawitiwa Katavi

Picha na mtandao “Tukio kama hili ni la nne kutokea katika kitongoji hicho “ Na Samwel Mbugi- Katavi Mtoto mwenye umri wa miaka 8 ambaye jina lake limehifadhiwa kutoka kijiji cha Dirifu Manispaa ya Mpanda mkoa wa Katavi inadaiwa kalawitiwa…

15 June 2024, 11:15 am

Wazazi Katavi waaswa kutowaozesha mabinti katika umri mdogo

“Wazazi wanachangia mimba za utotoni kwa watoto wao kutokana na kuruhusu watoto hao kuwa na mahusiano katika umri mdogo“ Na Lilian Vicent -Katavi Kuelekea maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika ambayo hufanyika kila  tarehe 16 Juni kila mwaka, halmashauri…

14 June 2024, 3:57 pm

Zaidi ya hekta 2077 ya misitu hupotea kila mwaka mkoani Katavi

“Wananchi wanapaswa kuachana na matumizi ya nishati ya kupikia ambayo si safi na kujikita katika matumizi ya nishati safi ya kupikia ili kuweza kuokoa mazingira na afya ya mtumiaji wa nishati hiyo” Na Betord Chove -Katavi Mkuu wa Mkoa wa…

13 June 2024, 5:53 pm

Matumizi ya nishati safi ya kupikia kumkomboa mwanamke mkoani Katavi

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake.Picha na Fatuma Saidi “Mkakati wa matumizi ya nishati safi ya kupikia umelenga kumkomboa mwanamke dhidi ya athari zilizopo katika matumizi ya nishati chafu “ Na Fatuma…

12 June 2024, 3:17 pm

Madereva Tax Katavi watakiwa kufuata sheria za usalama barabarani

mkaguzi msaidizi Jofrey Brighton kutoka jeshi la Polisi kitengo cha usalama barabarani mkoani Katavi akiwa anafanya ukaguzi “baadhi ya madereva wamekuwa wakifanya makosa ya kuzidisha abiria, kupakia abiria pamoja na mizigo hatarishi“ Na John Benjamini-Katavi Madereva wa Tax maarufu probox…

Kuhusu Mpanda Radio

Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.

Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.

Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.

Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.