Mpanda FM
Mpanda FM
11 July 2024, 5:27 pm
picha na Mtandao “kukamilika kwa mradi huo kutaongeza thamani ya uchakataji wa mazao viwandani.“ Na Betord Chove Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Doto Biteko, amewataka wasimamizi wa mradi wa umeme wa gridi yaTaifa mkoani Katavi kuacha visingizio na…
11 July 2024, 5:10 pm
Jaji wa Mahakama Kuu Asina Omari ambaye ni mjumbe wa tume .picha na Rachel Ezekia “Tayari halmashauri na majimbo yameshapokea vifaa kwa ajili ya zoezi la uboreshaji wa daftari la mpiga kura”. Na Rahel Ezekia -Katavi Tume huru ya uchaguzi …
9 July 2024, 10:52 am
Wananchi mbalimbali waliojitokeza katika mazishi .picha na George Rujuba watu wanatakiwa kuachana na imani za kishirikina kwani matukio kama hayo yanajitokeza kutokana na watu kutomjua Mungu Na john Mwasomola -Katavi Watu wawili wa familia moja wamefariki dunia mara baada ya…
8 July 2024, 9:37 pm
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman jumuiya hiyo imekuwa msingi wa kutoa viongozi Bora ambao Wana maadili na wenye uwezo wa kuwatumikia Wananchi Kwa Ufanisi. Na Samwel Mbugi -Katavi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar…
8 July 2024, 12:37 pm
Watuhumiwa wengine wamekamatwa kwa makosa mbalimbali ya silaha haramu aina ya gobore madawa ya kulevya,pamoja na pombe ya moshi. Na Rachel Ezekia -Katavi Jeshi la polisi mkoa wa katavi linawashikilia watuhumiwa 12 wakijihusisha katika matukio ya mauaji ambayo yametokea kwa…
8 July 2024, 11:44 am
Menyekiti wa chama cha Mapinduzi CCM mkoa wa Katavi Iddi Kimanta akiwa katika kiti cha mbele akiwa katika picha ya pamoja na kamati ya siasa ya mkoa “Maadhimisho hayo yatafunguliwa julai 8 Inyonga wilayani Mlele “ Na Betord Chove-Katavi Wananchi…
2 July 2024, 6:56 pm
Kamishna wa Bima Tanzania TIRA Bagayo Saqwale mwenye tai pamoja na RC Katavi Mwanamvua Mrindoko wanne kutoka kushoto katika picha ya pamoja na viongozi wengine. Picha na Ben Gadau “Kutumia bima kuna faida yanapotokea majanga huku akisema wanatarajia kusogeza huduma…
2 July 2024, 6:07 pm
Picha inaonyesha baadhi ya mazao yanayolimwa kwa wingi mkoani Katavi ikiwemo mahindi mpunga na karanga. “Tabia ya baadhi ya wanaume kutelekeza familia zao hasa baada ya kipindi cha mavuno zinasababisha ukatili katika jamii.“ Na Fatuma Saidi -Katavi Jamii imeaswa kuacha…
2 July 2024, 11:13 am
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Bw. Charles E. Kichere “Wakuu wa idara na vitengo wenye tabia ya kutoshiriki kujibu hoja zinazoibuliwa na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ni kitendo ambacho kinaibua maswali“ Betord Chove -Katavi…
2 July 2024, 9:29 am
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Samia Suluhu Hassan “Amewataka watanzania kuendelea kuunga mkono juhudi za serikali kupitia Rais Samia Suluhu katika utekelezaji wa maendeleo ya taifa“ Na Fatuma Said -Katavi Baraza la Waislamu Tanzania (BAKWATA) mkoani Katavi…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
