Mpanda FM
Mpanda FM
16 May 2024, 4:46 pm
“Tumepokea barua kutoka kambi ya Jeshi la Wananchi Tanzania JWTZ ikimuarifu kuwajulisha wananchi wa mtaa wake kuwepo kwa mnyama Simba ili wawe makini pindi wanapokuwa katika shughuli zao hususani zile za usiku Amesema mwenyekiti wa mtaa wa Mpanda hotel. Picha…
15 May 2024, 11:59 pm
“Kukatika kwa umeme baadhi ya maeneo imekuwa inajirudia na kumekuwa hakuna taarifa kutoka mamlaka husika jambo ambalo limekuwa likipeekea changamoto ya kusimama kwa baadhi ya kazi za watu zinazotegemea nishati ya umeme” Picha na Lilian Vicent Na Lilian Vicent-Katavi Wananchi…
15 May 2024, 11:12 pm
Mkuu wa mkoa wa katavi Mhe. Mwanamvua Mrindoko alipokuwa akitoa hotuba kwa Wananchi katika viwanja vya kituo cha Afya Nsemulwa katika siku ya familia duniani. Picha na Gladness Richard Kauli mbiu ya maadhimisho hayo kwa mwaka huu ni ‘Tukubali tofauti…
15 May 2024, 11:04 am
Picha na Gladness Richard “zoezi la kusikiliza kero za wananchi ni kwa kila kata ambapo jeshi la polisi litahakikisha linawafikia wananchi wote katika kata hizo“ Na Samwel Mbugi -Katavi Kamanda wa Polisi mkoa wa Katavi Kaster Ngonyani ameanzisha ziara ya…
15 May 2024, 10:07 am
Waumini wa makanisa mbalimbali wiliojetokeza katika kongamano.picha na Samwel Mbugi “Wanapaswa kusoma vitabu vya neno la Mungu ili kumjua Mungu na kuepukana na vitendo vya ukatili kutokana na kuwa na hofu ya Mungu“ Na Samwel Mbugi -Katavi Waumini wa makanisa…
15 May 2024, 9:36 am
“Silaa amesema Kitendo cha kutolipa Kodi ya Pango la Ardhi ndani ya muda uliowekwa na sheria, kinasababisha mmiliki wa ardhi kuvunja moja ya sharti la umiliki” Picha na mtandao Na John Benjamin-katavi Baadhi ya wananchi mkoani hapa Katavi wametoa maoni…
9 May 2024, 7:30 pm
Merehemu Lwitiko Bukuku enzi za uhai wake “tunaishukuru mahakama kwa kutenda haki katika kesi ya kufukuliwa kwa kaburi ambalo mara ya kwanza iliamriwa lifukuliwe na marehemu azikwe upya.” Na Samwel Mbugi-Katavi Familia ya marehemu aliyefahamika kwa jina la Lwitiko Bukuku…
7 May 2024, 5:52 pm
Vijana wamekuwa wakienda kwa waganga wa kienyeji ambao wanafanya ramli chonganishi na wamekuwa wakiwaagiza vijana hao nyeti za wananwake ili wawape njia za mafanikio. Na Leah Kamala-Katavi Jeshi la polisi mkoani Katavi limewakamata watuhumiwa 115 wanaojihusisha na vitendo vya uhalifu…
6 May 2024, 5:29 pm
“Ndugu hao wameiomba serikali kuhakikisha inatenda haki katika tukio hilo ambalo ni La kikatili na lakusikitisha kwani ni mara yakwanza kutokea katika familia yao” Picha na mtandao Na Samwel Mbugi-Katavi Watu watatu wa familia moja wameuawa kikatili na mtu/watu wasiojulikana…
3 May 2024, 3:15 pm
Ugonjwa wa macho mekundu mpaka sasa hauna tiba ya moja kwa moja na huchukua siku mbili hadi tano kuona dalili za ugonjwa huu. “Picha na mtandao“ Na Rachel Ezekia-katavi Wananchi wametakiwa kuendelea kuchukua tahadhari ya ugonjwa wa macho mekundu [RED…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
