Mpanda FM

Recent posts

19 July 2024, 12:29 am

RC Katavi akabidhi magari mawili mapya asisitiza bidii ya kazi

Miongoni mwa magari mawili yaliyopokwa kwa ajili ya Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika na Katibu Tawala Mkoa wa Katavi “Amewataka Katibu Tawala Mkoa na Mkuu  wa Wilaya Tanganyika kuyatunza magari hayo ili yadumu kwa muda mrefu na kutumika katika shughuli…

19 July 2024, 12:00 am

Bilioni 67 kuinua uchumi wa mkulima wa tumbaku Katavi

Zao la tumbaku likiwa shambani. Picha na mtandao “Uzalishaji wa zao hilo umepanda kutoka kilo milioni 6 hadi kilo milioni 11 ambapo ongezeko hilo limesababishwa na serikali nchini Tanzania kuongeza  kampuni 11  kununua  zao hilo.“ Na John Benjamini -Katavi  Zaidi…

16 July 2024, 3:56 pm

Jeshi la polisi Katavi lapiga msasa madereva wa serikali

Madereva wa serikali wakiwa wanapatiwa mafunzo katika ukumbi wa ofisi za mkurugenzi manispaa ya Mpanda mkoani Katavi.picha na Samwel Mbugi “Kila mtu ana haki ya kutumia barabara, ameongeza kuwa kuna makundi mengi yanapaswa kutumia njia wakiwepo watembea kwa miguu.“ Na…

16 July 2024, 10:21 am

Rais Samia amaliza ziara mkoani Katavi, aridhishwa na maendeleo ya mkoa

“Ameridhishwa sana na maendeleo ya mkoa wa Katavi kwa kutekeleza miradi mbalimbali kwa kutumia fedha za serikali zinazotolewa  na serikali kuu kwa maendeleo ya mkoa.“ Na Samwel Mbugi -Katavi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan…

16 July 2024, 9:09 am

Wananchi Katavi wamshukuru Rais Samia kwa kuboresha Miundombinu ya afya

Wananchi ambao wamejitokeza kumsikiliza Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dk Samia Suluhu Hassan wakati wa ziara yake mkoani humo “awali walikua hawapati huduma ambazo zinapatikana  katika hospitali hiyo kwa sasa.“ Na Samwel Mbugi -Katavi Wananchi mkoani Katavi wamemshukuru…

13 July 2024, 8:45 pm

Rais Samia awataka viongozi jumuiya ya wazazi CCM kusimamia maadili

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akizungumza na wananchi katika kilele cha maadhimisho ya wiki ya wazazi yaliyofanyika mkoani Katavi. Picha na Samwel Mbugi “Katika usimamizi wa maadili ya Mtanzania, jamii ya watanzania pia itakuwa karibu nao, pamoja na…

12 July 2024, 8:42 am

Kinana aipongeza jumuiya ya wazazi

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara Abdulrahman Kinana “wazazi ndio msingi wa Malezi na Maadili katika jamiii, hivyo chama cha mapindunzi CCM kinapaswa kusimamia ipaswavyo maadili ya vijana katika makuzi yao.“ Na Samwel mbugi -Katavi Katika mwendelezo wa…

Kuhusu Mpanda Radio

Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.

Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.

Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.

Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.