Mpanda FM
Mpanda FM
16 June 2024, 9:20 am
viti mwendo vilivyotolewa na injinia Ismaili kwa wanafunzi wa shule za msingi wenye ulemavu manispaa ya Mpanda.picha na Ben Gadau “Wananchi ambao wana uwezo wa kuwasaidia watu wenye ulemavu wajitoe ili kuwasaidia na waweze kufikia malengo yao“ Na Ben Gadau…
15 June 2024, 11:15 am
“Wazazi wanachangia mimba za utotoni kwa watoto wao kutokana na kuruhusu watoto hao kuwa na mahusiano katika umri mdogo“ Na Lilian Vicent -Katavi Kuelekea maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika ambayo hufanyika kila tarehe 16 Juni kila mwaka, halmashauri…
14 June 2024, 3:57 pm
“Wananchi wanapaswa kuachana na matumizi ya nishati ya kupikia ambayo si safi na kujikita katika matumizi ya nishati safi ya kupikia ili kuweza kuokoa mazingira na afya ya mtumiaji wa nishati hiyo” Na Betord Chove -Katavi Mkuu wa Mkoa wa…
13 June 2024, 5:53 pm
Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake.Picha na Fatuma Saidi “Mkakati wa matumizi ya nishati safi ya kupikia umelenga kumkomboa mwanamke dhidi ya athari zilizopo katika matumizi ya nishati chafu “ Na Fatuma…
12 June 2024, 3:17 pm
mkaguzi msaidizi Jofrey Brighton kutoka jeshi la Polisi kitengo cha usalama barabarani mkoani Katavi akiwa anafanya ukaguzi “baadhi ya madereva wamekuwa wakifanya makosa ya kuzidisha abiria, kupakia abiria pamoja na mizigo hatarishi“ Na John Benjamini-Katavi Madereva wa Tax maarufu probox…
10 June 2024, 2:09 pm
“Wananchi wamelalamikia adha wanayoipata kutokana na kutozolewa kwa taka hizo zilizotokana na ubanguaji karanga katika maeneo hayo ambayo pia yana muingiliano na shughuli zingine za wananchi” Na Samwel Mbugi Katavi Baadhi ya wananchi wa kata ya Mpanda Hotel Manispaa ya…
4 June 2024, 4:02 pm
Mrindiko ameagiza kuhakikisha malengo ambayo yanapangwa yanafikiwa kwa wakulima kufuata mbinu za kilimo na wataalam kuhakikisha tathmini inafanyika ili kulinganisha na misimu mingine kwanini imekuwa vigumu kufikia lengo la kuzalisha tani milioni 50 Picha na Festo Kinyogoto Na Festo kinyogoto-katavi…
3 June 2024, 5:37 pm
baadhi ya vijana halmashauri ya Nsimbo wakipata elimu ya kinga rafiki kutoka kwa wawezeshaji shirika lisilo la kiserikali SHIDEFA.picha na John Benjamin “dhumuni kubwa la zoezi hilo ni kutoa elimu kwa vijana jinsi yakujikinga na maambukizi ya vizuri vya ukimwi.…
3 June 2024, 12:28 pm
Wananchi pamoja na wanafunzi waliojitokeza katika mazishi ya mwanafunzi huyo.picha na millard ayo “Wanafunzi watatu, wawili wasichana na mmoja wa kiume Kutoka katika shule ya st Merrys iliyopo manispaa ya Mpanda huku mwanafunzi huyo wa kiume akipatiwa rufaa ya Kwenda…
3 June 2024, 11:29 am
Wahitimu wa mafunzo ya wiki mbili ya ushonaji wa mavazi ya kulinia asali walioshika vyeti pamoja na wakufunzi wao na katibu tawala msaidizi sehemu ya uchumi na uzalishaji Mkoani Katavi wanne kutoka kulia na kushoto .picha na Betord Chove “Ushonaji…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
