Mpanda FM
Mpanda FM
3 September 2024, 11:31 am
“Milipuko inayolipuliwa katika uwanja huo imeleta wasiwasi katika jamii na kupelekea baadhi ya wananchi kupata mshtuko wa moyo.” Na Samwel Mbugi -Katavi Baadhi ya wazee kata ya Makanyagio Manispaa ya Mpanda mkoa wa Katavi wamemwomba Kamanda wa Jeshi la Polisi…
2 September 2024, 9:22 pm
picha na mtandao “kuna baadhi ya watendaji wa serikali wamekuwa hawatoi ushirikiano katika suala la usafi jambo ambalo halipendezi.“ Na Edda Alias-Katavi Wananchi wa Mtaa wa Mpanda hoteli manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametakiwa kuhakikisha wanafanya usafi kwenye mazingira yanayowazunguka…
2 September 2024, 8:55 pm
picha na mtandao “Hatua hiyo ni kufuatia tangazo la kuwataka wanachama kutia nia ya kugombea nafasi mbalimbali za uwakilishi serikalini ndani ya chama .“ Na Lilian Vicent -Katavi Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Sospeter Chotola mkoani Katavi amepokea…
2 September 2024, 8:25 pm
“Hawajaridhishwa na mkandarasi wa ujenzi wa daraja la Tulieni kwani hajafuata maagizo ya chama ya kufanya marekebisho.“ Liliani Vicent -Katavi Wajumbe wa kamati ya siasa Chama Cha Mapinduzi CCM kata ya Nsemulwa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamesema hawajaridhishwa na mkandarasi…
22 August 2024, 1:04 pm
Picha na mtandao “Wakulima wengi wana uwezo wa kuzalisha mazao lakini hawana elimu ya kutosha ya kilimo hali inayosababisha wakati mwingine kutokuwa na mazao bora“ Na Lilian Vicent -Katavi Baadhi ya wafanyabiashara wa mahindi mkoani Katavi wameeleza vigezo vingi vinavyowekwa…
22 August 2024, 9:02 am
picha na mtandao “Wananchi wanatakiwa kutunza miundombinu ya barabara inayoboresha“ Na Lilian Vicent-Katavi Baadhi ya wananchi wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametoa maoni kuhusiana na maboresho ya barabara yanayoendelea kufanywa na TARURA Wakizungumza na Mpanda radio FM wamesema kuwa…
14 August 2024, 10:59 pm
picha na mtandao “wanasubiri maelekezo ya waziri mwenye dhamana na sekta hiyo kuhusu ufunguzi wa ziwa Tanganyika na wanachi wataendelea na shughuli zao za uvuvi kama ilivyokuwa hapo awali.” Na Lilian Vicent- Katavi Baadhi ya wafanyabiashara na wanunuzi wa samaki…
14 August 2024, 10:16 pm
“Serikali kuleta vifaa tiba kunasaidia kuboresha huduma katika sekta ya afya “ Na John Mwasomola- Katavi Wataalam wa afya wametakiwa kutumia weledi wao na ujuzi walionao katika kuendelea kutoa huduma bora za matibabu kwa wananchi mkoani Katavi. Agizo hilo linakuja…
13 August 2024, 8:03 pm
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Katavi SACP Kaster Ngonyani “Watuhumiwa hao wawili ni Japheth Didas miaka 32 na Shabani Maelezo miaka 64 ambao ni wakazi wa mkoa wa Rukwa.” Na Lear Kamala -Katavi Jeshi la Polisi mkoa wa…
13 August 2024, 7:02 pm
Baadhi ya wananchi manispaa ya mpanda mkoa wa katavi .picha na Samwel Mbugi “Serikali ya Tanzania iliandaa na kuridhia kutumika kwa Dira ya taifa ya maendeleo ya 2025 ampapo utekelezaji wake umewezesha nchi kupata mafanikio mbalimbali ya kiuchumi na kijamii.”…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
