Mpanda FM
Mpanda FM
24 September 2024, 8:03 pm
“Sababu zinazopelekea baadhi ya wananchi kujichukulia sheria mkononi ni kutokana na baadhi ya watu wanaofanya matukio ya kihalifu kutochukuliwa hatua za kisheria .” Kutokana na uwepo vitendo vya baadhi ya wananchi kujichukulia sheria mkononi na kuwajeruhi , kuwasababishia vifo kwa…
20 September 2024, 10:54 am
” Wamepokea maelekezo ya Mkuu wa Mkoa na tayari wameshaanza kutoa elimu kwa maeneo mbalimbali“ Na Leah Kamala-Katavi Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko amewataka watendaji wa serikali katika mitaa, vitongoji na vijiji kutoa elimu kwa wananchi juu ya…
18 September 2024, 12:03 pm
“Vitendo vya ukatili wa kijinsia havifai na vinapaswa kukemewa kwani vinazidi kukithiri na kuleta athari kubwa haswa kwa watoto na wanawake.“ Na Lazaro Maduhu-Katavi Baadhi ya wananchi manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba serikali iweke juhudi ya ufutiliaji wa masuala…
18 September 2024, 11:05 am
Baadhi ya takataka zilizopo kwenye nyumba mbalimbali katika mtaa huo na hazijazolewa.picha na Samwel Mbugi “wameilalamikia serikali kwa kuto kuzoa taka kwa wakati jambo linaloweza kusababisha mlipuko wa magonjwa kama vile kipindupindu.” Na Samwel Mbugi -Katavi Wananchi wa mtaa wa…
13 September 2024, 12:56 pm
Rajabu Mollel Manaya afisa muuguzi Daraja la pili idara ya upasuaji na magonjwa ya ndani ya kina mama hospitali ya rufaa mkoani Katavi .picha na Rechel Ezekia “Mitazamo yao kuhusiana na degedege kwa Watoto katika jamii huku wakihusianisha na imani…
13 September 2024, 11:59 am
Kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa katika picha akiwa na viongozi wengine wilaya ya mpanda akiwemo mkuu wa wilaya ya mpanda Jamila Yusuph.picha na Betord Chove “Wajibu wa watekelezaji wa mradi huo pamoja na serikali kuhakikisha jengo hilo linakuwa na…
9 September 2024, 7:30 pm
Mwenyekiti chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake .picha na John mwasomola “kutokana na matukio yanayojitokeza ya watu kutekwa na kuuawa wanatakiwa kujilinda na kutokubali kuchukuliwa“ Na John Mwasomola -Katavi Mwenyekiti wa chama cha…
6 September 2024, 2:07 pm
Wanafunzi na wananchi ambao wamejitokeza katika mazishi ya mwanafunzi huyo “waliondoka na walimu wao kurudi kambini walipofikia kwaajili ya kupata chakula ndipo walipogundua mwanafunzi mmoja hayupo” Na Betold Chove -Katavi Mwanafunzi aliefahamika kwa majina ya James Japhet (12) amefariki dunia…
6 September 2024, 1:11 pm
Kaimu kamanda wa polisi mkoa wa Katavi ACP David Mutasya akionyesha vitu mbalimbali walivyokutwa navyo watuhumiwa .picha na Roda Elias “Jeshi la polisi limetoa muda kwa wanaomiliki silaha kinyume na sheria kuzisalimisha sulaha hizo katika vituo vya polisi au ofisi…
4 September 2024, 9:32 am
katika picha waliokaa upande wa kushoto ni mwenyekiti wa taasisi zisizo za kiserikali katavi ,anayefuatia ni katibu tawala mkoa wa katavi na kulia ni afisa maendeleo mkoa wa katavi.picha na Rachel Ezekia. “lengo kuu la kukuza uzalendo ni kulinda rasilimali…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
