Mpanda FM

Recent posts

27 November 2024, 3:06 pm

Wakulima Katavi wahimizwa kutambua afya ya udongo

“Wakulima wanapaswa kufuata elimu inayotolewa na wataalam kupitia vyeti vyao ili kuweza kuvuna mazao mengi zaidi“ Na John Benjamin -Katavi Wakulima katika kata ya Itenka halmashauri ya Nsimbo wilaya ya Mpanda mkoani Katavi wametakiwa kulima kisasa kwa kufuata maelekezo ya…

25 November 2024, 3:03 pm

RC Katavi ahimiza haki katika uchaguzi wa serikali za mitaa

“kila mwananchi aliyejiandikisha ana haki ya Kwenda kuchagua kiongozi anayemuona ataweza kumtumikia kwa miaka mitano.“ Na Samwel Mbugi -Katavi Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko amewahimiza wananchi wa mkoa wa Katavi waliojiandikisha katika daftari la mkazi kujitokeza kupiga…

25 November 2024, 1:40 pm

Madereva bajaji Katavi kutotumika kuvunja amani wakati wa uchaguzi

“wajibu wao  kuhakikisha hawatumiki kipindi hichi cha uchaguzi wa serikali za mitaa  kuvunja amani .“ Na Lilian Vicent – Katavi Madereva bajaji  Kituo cha soko kuu Manispaa ya Mpanda Mkaoni Katavi wamesema  katika kipindi cha kampeni hawatakubali kutumika kuvunja amani.…

25 November 2024, 1:16 pm

Wasimamizi Nsimbo watakiwa kuzingatia kanuni za uchaguzi

“Wametakiwa kuhakikisha wanasimamia ipasavyo muda sahihi wa kufungua na kufunga vituo vya kupigia kura “ Na Betord Chove -Katavi Wasimamizi wa uchaguzi ngazi ya vituo halmashauri ya Nsimbo mkoani Katavi wametakiwa kuzingatia muda wa kufungua na kufunga vituo vya kupigia…

20 November 2024, 6:06 pm

Katavi:wazazi,walezi watakiwa kulinda na kutetea haki za watoto

 Wazazi na walezi mkoani Katavi  wametakiwa kulinda na kutetea haki za watoto dhidi ya ukatili wa kijinsia. Wakizungumza kwa nyakati tofauti na Mpanda radio fm ikiwa leo  ni siku ya maadhimisho ya watoto duniani inayo fanyika kila mwaka tarehe 20…

20 November 2024, 5:36 pm

Katavi: watu 6 wapoteza maisha kutokana na ugonjwa wa kipindupindu

“Jumla ya wagonjwa 6 wameripotiwa kupoteza maisha wagonjwa 419 tayari wamesharuhusiwa huku wengine 16 wakiwa bado kwenye uwangalizi “ Na John Benjamin -Katavi Watu  441 wameripotiwa kuwa na ugonjwa wa Kipindupindu katika tarafa ya Karema kata ya Ikola halmashauri ya…

20 November 2024, 5:22 pm

Katavi: BAVICHA waendelea na hamasa kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa

“wamejipanga kufanya kampeni za kistaarabu na kuhakikisha wanatoa hamasa kwa vijana  Kushiriki kupiga kura huku akiomba mamlaka kutenda haki na kutofanya upendeleo kwa vyama vingine.“ Na Betord Chove -Katavi Baraza la vijana Chadema [BAVICHA] mkoa wa Katavi limeahidi  kuendelea kutoa…

18 November 2024, 2:58 pm

Baadhi ya wananchi Katavi waeleza madhara ya kutopiga kura

“Kutopiga kura kunaweza kusabababisha kuathiri maendeleo ya nchi na kupoteza nafasi ya kuchagua viongozi sahihi.“ Na Lear Kamala -Katavi Zikiwa zimesalia siku chache kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa November 27 2024,baadhi ya wananchi wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi…

16 November 2024, 6:59 pm

Katavi: Wanufaika wa TASAF wapongezwa kwa kazi wanazozifanya

“Wanufaka wa mradi wa TASAF wanafanya kazi kwa bidii kwa kukarabati miundombinu ikiwemo ya barabara” Na Samwel Mbugi -Katavi Naibu Waziri ofisi ya Rais Utumishi na utawala bora Deus Sangu ambae ni Mbunge wa jimbo la Kwela mkoa wa Rukwa…

16 November 2024, 6:02 pm

Wakuu wa idara Tanganyika watakiwa kutatua changamoto

“acheni kukaa ofisini nendeni mkawahudumie wananchi“ Na Anna Milanzi -Katavi Mkuu wa wilaya ya Tanganyika ameagiza viongozi mbalimbali wa halmashauri hiyo kusimamia ipasavyo nakuwataka maafisa ugani kuwatembelea wakulima katika mashamba yao . Ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na viongozi mbalimbali wa…

Kuhusu Mpanda Radio

Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.

Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.

Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.

Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.