Mpanda FM
Mpanda FM
10 October 2024, 4:58 pm
baadhi ya wazee manispaa ya Mpanda “Kuwepo na msisitizo juu ya matibabu ya bure kwa wazee wasiojiweza kumudu gharama za matibabu.“ Na Lazaro Maduhu-Katavi Baadhi ya wazee wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba serikali kuhimarishiwa huduma ya matibabu katika…
10 October 2024, 4:18 pm
Wananchi wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi ametoa maoni mseto kuhusiana na sababu zinazopelekea wazazi na walezi kuwafanyia ukatili watoto wao. Wakizungumza na Mpanda Radio FM wananchi hao wamesema kuwa ukosefu wa elimu na malezi duni imekuwa ni sababu kubwa…
6 October 2024, 12:30 pm
picha na mtandao “serikali itoe Elimu kwa wazazi kuhusiana na malezi bora kwa mtoto na kuwapa mikopo wazazi ili kuwasaidia kukidhi mahitaji madogo madogo kama vile kumpeleka mtoto shule,malazi na chakula ili Watoto waepukane na makundi hayo hatarishi.“ Na Edda…
6 October 2024, 12:13 pm
“ Vikwazo mbalimbali ikiwemo rushwa ya ngono na imani potofu vimekuwa ni mwiba kwao katika kugombea nafasi za uongozi.“ Na Ben Gadau -Katavi Baadhi ya wananchi wa halmashauri ya manispaa ya Nsimbo mkoani Katavi wameelezea vikwazo vinavyopelekea wanawake kutowania nafasi…
6 October 2024, 11:58 am
Sehemu ya eneo la soko la mpanda hotel “miundo mbinu hiyo mibovu ya sokoni kama vile ukosefu wa vizimba vya kufanyia biashara na ubovu wa mitaro ya kupitishia maji upelekea kujaa kwa maji sehemu wanazofanyiabiashara hasa wakati wa masika.“ Na…
29 September 2024, 8:36 am
“Walimu pamoja na wazazi wanatakiwa kuweka ulinzi mkubwa kwa Watoto ili kujenga taifa moja litakalokuwa na kizazi chenye maadili mema.” Na John Mwasomola -Katavi Wazazi na walezi mkoani Katavi wametakiwa kuwalinda watoto na kuwafundisha maadili yanayofaa ili kuwaepusha na vishawishi…
29 September 2024, 8:18 am
Zaidi ya chanjo 300 zimetolewa kwa ajili ya kuendeleza kuchanja mbwa katika manispaa ya Mpanda. Na Ben Gadau -Katavi Katika maadhimisho ya siku ya kichaa cha mbwa duniani Septemba 28, Kampuni ya Matamba veterinary clinic imepokea chanjo zaidi ya mia…
24 September 2024, 9:16 pm
picha na mtandao “Kitaalamu unywaji wa maji unatofautiana kulingana na jinsia; wanawake, wanaume na watoto kuzingatia unywaji huo husaidia zaidi mzunguko mzuri wa damu,“ Na Rachel Ezekia -Katavi Wananchi Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametakiwa kuzingatia viwango sahihi vya unywaji…
24 September 2024, 8:47 pm
“Wapo wananchi ambao hawaelewi juu ya kuchangamkia fursa zinazopatikana mkoani Katavi” Na Roda Elias-Katavi Wananchi mkoani Katavi wameeleza namna wanavyonufaika na rasilimali zilizopo huku wakiiomba serikali kutatua baadhi ya changamoto . Rasilimali zilizotajwa ni kama vile viwanda vidogo, uwepo wa…
24 September 2024, 8:24 pm
picha na mtandao “Tunatakiwa kujipanga kwa ajili ya kushiriki na kuwania nafasi mbalimbali katika uchaguzi wa serikali za mitaa “ Na Lilian Vicent -Katavi Baadhi ya wanachama wa Chama cha ACT wazalendo mkoani katavi wamesema kuwa wamejiandaa kushiriki uchaguzi wa…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
