Mpanda FM
Mpanda FM
30 July 2024, 11:55 am
Afisa mtendaji mkuu mfuko wa utamaduni na sanaa Tanzania Nyakaho Mturi Mahemba .picha na Samwel Mbugi “amewataka wananchi kuacha kukopa mikopo ya kausha damu kwani imekuwa ikirudisha maendeleo nyuma kwa wananchi.“ Na Samwel Mbugi -Katavi Afisa mtendaji mkuu mfuko wa…
24 July 2024, 12:00 pm
Wajumbe wa kikao cha jukwaa la vijana la kilimo katika ukumbi wa LATCU uliopo manispaa ya Mpanda mkoani Katavi.picha na Lilian Vicent “wajumbe walioshiriki wamebainisha kuwa kupitia jukwaa hilo wanatarajia vijana wataendea kuhamasika“ Naa Lilian Vicent Katavi Vijana mkoani Katavi…
23 July 2024, 4:38 pm
Mke na Mume wa kaya hiyo ambao wanauhitaji wa choo ambapo wanasaidiwa na majirani kwa sasa .picha John Mwasomola “Kaya hiyo ambayo ni wazee na wanashindwa namna ya kumudu kupata choo bora kutokana na kutokuwa na watu wa kuwasaidia kwani…
20 July 2024, 10:34 pm
“Ujenzi Skimu ya uwagiliaji uliopo kata ya Mwamkulu halmashauri ya Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi utagharimu kiasi cha fedha shilingi bilioni 31.6 na kutarajia kuhudumia zaidi ya wakulima 430.“ Na John Benjamin -Katavi Serikali nchini Tanzania imepanga kutumia zaidi ya…
20 July 2024, 5:41 pm
Baadhi ya madereva bodaboda waliojitokeza katika kikao hicho.picha na John Mwasomola “Wamemtaka kiongozi huyo kuachia nafasi yake ya uenyekiti ili kupisha uchunguzi kutokana na shutuma za upotevu wa pesa taslimu kiasi cha laki 6 na thelathini.“ Na Ben Gadau -Katavi…
19 July 2024, 12:29 am
Miongoni mwa magari mawili yaliyopokwa kwa ajili ya Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika na Katibu Tawala Mkoa wa Katavi “Amewataka Katibu Tawala Mkoa na Mkuu wa Wilaya Tanganyika kuyatunza magari hayo ili yadumu kwa muda mrefu na kutumika katika shughuli…
19 July 2024, 12:00 am
Zao la tumbaku likiwa shambani. Picha na mtandao “Uzalishaji wa zao hilo umepanda kutoka kilo milioni 6 hadi kilo milioni 11 ambapo ongezeko hilo limesababishwa na serikali nchini Tanzania kuongeza kampuni 11 kununua zao hilo.“ Na John Benjamini -Katavi Zaidi…
16 July 2024, 5:23 pm
“Wataalam wa afya pamoja na shirika la Shidefa Mpanda wameleeza kuwa wamekuwa wakitumia njia mbalimbali kama matumizi ya dawa ya kinga PEP na kujiepusha ngono zembe“ Na John Benjamin-Katavi SHIDEFA yafanya mdahalo Kata ya Intenka mkoani Katavi kutoa elimu ya…
16 July 2024, 3:56 pm
Madereva wa serikali wakiwa wanapatiwa mafunzo katika ukumbi wa ofisi za mkurugenzi manispaa ya Mpanda mkoani Katavi.picha na Samwel Mbugi “Kila mtu ana haki ya kutumia barabara, ameongeza kuwa kuna makundi mengi yanapaswa kutumia njia wakiwepo watembea kwa miguu.“ Na…
16 July 2024, 11:50 am
Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dk Samia Suluhu Hassan.picha na Samwel Mbugi “Rais Samia ameyasema hayo mara baada ya kutembelea hospitali ya rufaa ya mkoa na kujionea hali ilivyo ya watoto walio na umri chini ya miaka 18…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
