Mpanda FM
Mpanda FM
22 August 2024, 9:02 am
picha na mtandao “Wananchi wanatakiwa kutunza miundombinu ya barabara inayoboresha“ Na Lilian Vicent-Katavi Baadhi ya wananchi wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametoa maoni kuhusiana na maboresho ya barabara yanayoendelea kufanywa na TARURA Wakizungumza na Mpanda radio FM wamesema kuwa…
14 August 2024, 10:59 pm
picha na mtandao “wanasubiri maelekezo ya waziri mwenye dhamana na sekta hiyo kuhusu ufunguzi wa ziwa Tanganyika na wanachi wataendelea na shughuli zao za uvuvi kama ilivyokuwa hapo awali.” Na Lilian Vicent- Katavi Baadhi ya wafanyabiashara na wanunuzi wa samaki…
14 August 2024, 10:16 pm
“Serikali kuleta vifaa tiba kunasaidia kuboresha huduma katika sekta ya afya “ Na John Mwasomola- Katavi Wataalam wa afya wametakiwa kutumia weledi wao na ujuzi walionao katika kuendelea kutoa huduma bora za matibabu kwa wananchi mkoani Katavi. Agizo hilo linakuja…
13 August 2024, 8:03 pm
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Katavi SACP Kaster Ngonyani “Watuhumiwa hao wawili ni Japheth Didas miaka 32 na Shabani Maelezo miaka 64 ambao ni wakazi wa mkoa wa Rukwa.” Na Lear Kamala -Katavi Jeshi la Polisi mkoa wa…
13 August 2024, 7:02 pm
Baadhi ya wananchi manispaa ya mpanda mkoa wa katavi .picha na Samwel Mbugi “Serikali ya Tanzania iliandaa na kuridhia kutumika kwa Dira ya taifa ya maendeleo ya 2025 ampapo utekelezaji wake umewezesha nchi kupata mafanikio mbalimbali ya kiuchumi na kijamii.”…
13 August 2024, 9:42 am
“Watoto wamekuwa wakifanyiwa vitendo vya ukatili ikiwemo kutumikishwa kazi katika migodi, wanafanyiwa vitendo vya ubakaji na ulawiti” Na Anna Milanzi -katavi Katika kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa Watoto, wananchi katika Kijiji cha dirifu kata ya magamba wilaya ya…
9 August 2024, 10:23 am
mwenyekiti mstaafu wa chama cha ACT wazalendo zuberi zitto kabwe akizungumza na wananchi mkani Katavi.picha na John Mwasomola “Amekutana na kero ya wananchi kudai kuhamishwa eneo hilo la luhafwe kwa ajili ya kupisha wawekezaji 26 “ Na John Mwasomola -Katavi…
8 August 2024, 9:51 am
picha na mtandao “kukatika kwa umeme mara kwa mara kunasababisha kushuka kiuchumi ambapo wafanyabiashara hao wanajikuta wanakuwa na kipato duni” Na John Benjamin- Katavi Wafanyabiashara manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamelalamikia adha ya kukatika kwa umeme mra kwa mara hali…
8 August 2024, 9:28 am
Picha na Mtandao “kupima afya ya mwili mara kwa mara kunasaidia kuondoa usugu wa magonjwa kwani kama ukibainika kuwa na ugonjwa unatibiwa katika hatua za awali za ugonjwa” Na Rachel Ezekia-Katavi Baadhi ya wananchi wa manispaa ya mpanda mkoani Katavi…
30 July 2024, 1:19 pm
kamanda wa taasisi ya Kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) mkoa wa katavi Stuart Kiondo .Picha na Betord Chove “taasisi hiyo imejipanga kutoa elimu Kwa wananchi na wanaopanga safu za uongozi,wagombea Ili waweze kutambua madhara ya rushwa“ Na Betord Chove…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
