Mpanda FM
Mpanda FM
17 October 2024, 10:32 am
Picha na mtandao “Wamejipanga kuhakikisha wakulima wanalima kilimo chenye tija kwa kutumia mbinu bora zitakazosaidia kuzalisha kwa tija.” Na Lilian Vicent -Katavi Baadhi ya wakazi mkoani Katavi wamewataka wataalamu wa kilimo kuendelea kutoa elimu kwa wakulima ili kuhakikisha uzalishaji wa…
15 October 2024, 6:23 pm
“Taka hizo zimekuwa kero kutokana na kukaa bila kuzolewa licha ya kutoa fedha za kutoa takataka hizo katika makazi yao.“ Na Samwel Mbugi -Katavi Baadhi ya wananchi wa mtaa wa Mpadeco kata ya Makanyagio Manispaa ya Mpanda wamezitaka mamlaka kutatua changamoto …
15 October 2024, 5:54 pm
Stesheni ya Mpanda mkoani Katavi .picha na Rachel ezekia “Treni mkoani katavi inasafiri mara tatu kwa wiki ikiwa ni pamoja na ukataji wa tiketi katika siku hizo ambazo abiria wanasafiri“ Na Rachel Ezekia -Katavi Baadhi ya abiria wanaosafiri na treni…
10 October 2024, 5:32 pm
“Baadhi yao wamekuwa wakilima kwa mazoea kwani hawatambui kuwa udongo unahitaji nini wakati wa kilimo” Na Roda Elias -Katavi Baadhi ya wakulima wa kijiji Kamsanga kata ya Mnyagala wilayani Tanganyika mkoani Katavi wameomba kupimwa kwa udongo wao mashambani kabla ya…
10 October 2024, 5:17 pm
picha na mtandao “Wanatozwa pesa kiasi cha shilingi 200 kwa kila mwananafunzi kila siku” Na Leah Kamala -Katavi Baadhi ya wazazi na walezi wanaosomesha watoto wao katika shule ya msingi Muungano ,manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamelalamikia suala la mchango…
10 October 2024, 4:58 pm
baadhi ya wazee manispaa ya Mpanda “Kuwepo na msisitizo juu ya matibabu ya bure kwa wazee wasiojiweza kumudu gharama za matibabu.“ Na Lazaro Maduhu-Katavi Baadhi ya wazee wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba serikali kuhimarishiwa huduma ya matibabu katika…
10 October 2024, 4:18 pm
Wananchi wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi ametoa maoni mseto kuhusiana na sababu zinazopelekea wazazi na walezi kuwafanyia ukatili watoto wao. Wakizungumza na Mpanda Radio FM wananchi hao wamesema kuwa ukosefu wa elimu na malezi duni imekuwa ni sababu kubwa…
6 October 2024, 12:30 pm
picha na mtandao “serikali itoe Elimu kwa wazazi kuhusiana na malezi bora kwa mtoto na kuwapa mikopo wazazi ili kuwasaidia kukidhi mahitaji madogo madogo kama vile kumpeleka mtoto shule,malazi na chakula ili Watoto waepukane na makundi hayo hatarishi.“ Na Edda…
6 October 2024, 12:13 pm
“ Vikwazo mbalimbali ikiwemo rushwa ya ngono na imani potofu vimekuwa ni mwiba kwao katika kugombea nafasi za uongozi.“ Na Ben Gadau -Katavi Baadhi ya wananchi wa halmashauri ya manispaa ya Nsimbo mkoani Katavi wameelezea vikwazo vinavyopelekea wanawake kutowania nafasi…
6 October 2024, 11:58 am
Sehemu ya eneo la soko la mpanda hotel “miundo mbinu hiyo mibovu ya sokoni kama vile ukosefu wa vizimba vya kufanyia biashara na ubovu wa mitaro ya kupitishia maji upelekea kujaa kwa maji sehemu wanazofanyiabiashara hasa wakati wa masika.“ Na…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
