Mpanda FM

Recent posts

30 January 2025, 12:35 pm

Msongo wa mawazo hupelekea kujitoa uhai

Picha ya mfano wa mtu mwenye msongo wa mawazo. “Imebainika kuwa chanzo cha watu kujiua ni msongo wa mawazo” Na Rhoda Elias Baadhi ya wananchi manispaa ya Mpanda Mkoani katavi wamesema hali duni ya kimaisha na msongo wa mawazo ni…

30 January 2025, 12:21 pm

Huduma za RITA zawafurahisha wanakatavi

Baadhi ya wananchi wakipatiwa huduma kwenye banda la RITA. Picha na Samwel Mbugi. “Wananchi wa mkoa wa Katavi wanufaika na zoezi la utoaji wa vyeti vya kuzaliwa” Na Samwel Mbugi Baadhi ya wananchi manispaa ya Mpanda mkoa wa Katavi wamefurahishwa…

30 January 2025, 9:40 am

Wazazi watakiwa kufuatilia maendeleo ya mtoto

Afisa ustawi wa jamii manispaa ya mpanda mkoani Katavi Anyulumye Longo. Picha na Leah Kamala “Wazazi watakiwa kushirikiana na walimu kujua maendeleo ya watoto wao” Na Leah Kamala Baadhi ya wazazi wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamesema ni  wajibu…

27 January 2025, 6:23 pm

Mtoto wa miaka 7 afariki kwa kuunguzwa moto

Picha ya mwenyekiti wa mtaa wa Kasimba Benard Nswima. Picha na Anna Mhina “Mtoto wa miaka 7 afariki dunia kwa madai ya kuunguzwa moto” Na Eda Enock Mtoto mmoja aliyefahamika kwa jina la  Hamisi mwenye umri wa miaka 7 amefariki…

27 January 2025, 5:30 pm

Takukuru Katavi yaokoa 120,300,000

Picha ya Stuart Kiondo akizungumza na waandishi wa habari. Picha na Lilian Vicent “Stendi kuu ya Mizengo Pinda  kuna mapungufu katika ukusanyaji wa mapato”. Na Lilian Vicent Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Katavi imefanikiwa kuokoa…

24 January 2025, 6:29 pm

Wananchi watakiwa kujitokeza kupata elimu ya msaada wa kisheria

Picha ya pamoja ya viongozi wapili kutoka kulia ni mkuu wa mkoa wa Katavi. Picha na Anna Mhina “Wakurugenzi watakiwa kuhakikisha wanafikisha elimu ya msaada wa kisheria kwa wananchi” Na Ben Gadau Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko…

23 January 2025, 2:30 pm

Kampeni ya mama Samia Legal AID kuzinduliwa rasmi kesho

Picha ya mkuu wa mkoa wa Katavi. Picha na Samwel Mbugi “Wananchi watakiwa kujitokeza kupata elimu ya msaada wa kisheria” Na Samweli Mbugi Wananchi  Wametakiwa kujitokeza kupata elimu ya msaada wa kisheria kupitia kampeni ya mama Samia Legal AID inayolenga…

23 January 2025, 1:56 pm

Shule ya msingi Kasisiwe yakabiliwa na upungufu wa madawati

Wananchi wa mtaa wa Kasisiwe wakiwa kwenye kikao. Picha na John Benjamini “Wazazi watakiwa kuchangia fedha kwa ajili ya ununuzi wa madawati” Na John Benjamini Shule ya msingi Kasisiwe iliyopo kata ya Ilembo manispaa ya Mpanda mkoani Katavi inakabiliwa na…

23 January 2025, 10:53 am

Bodaboda wanufaika na mikopo ya asilimia kumi

Picha ya viongozi pamoja na bodaboda wa halmashauri ya Nsimbo. Picha na Anna Mhina “Bodaboda wafuate sheria za usalama barabarani “ Na Anna Mhina Mwenyekiti wa halmashauri ya Nsimbo iliyopo wilaya ya Mpanda mkoani Katavi Halawa C. Malendeja amewataka madereva  bodaboda…

21 January 2025, 6:19 pm

Mmoja afariki kwa dalili za kipindupindu Mpanda

Wananchi wakiwa kwenye mazishi. Picha na Samwel Mbugi “Wananchi wametakiwa kuzingatia suala la usafi ili kuepukana na ugonjwa wa kipindupindu” Na Lilian Vicent Mwanaume mmoja aliyefahamika kwa jina la Redfusi Gabriel mkazi wa mtaa wa Kasimba kata ya Ilembo manispaa…

Kuhusu Mpanda Radio

Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.

Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.

Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.

Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.