Mpanda FM

Recent posts

6 June 2025, 3:46 pm

Wenye vitambi hatarini kupata tezi dume

Mganga mkuu wa manispaa ya Mpanda Dr. Paul Swakala. Picha na Edda Enock “Hatufahamu huu ugonjwa unasababishwa na nini” Na Edda Enock Baadhi ya wanaume wa manispaa ya Mpanda  mkoni Katavi wameiomba serikali kupitia wizara ya afya kuongeza juhudi za…

6 June 2025, 3:27 pm

RC Katavi awasihi bodaboda kutunza amani

Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko akitoa neno kwa bodaboda. Picha na Samwel Mbugi “Nyie ni nguzo kubwa ya usalama katika mkoa wetu” Na Samwel Mbugi Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko amewataka bodaboda mkoa wa…

6 June 2025, 2:47 pm

Ukarabati wa barabara Mpanda waathiri miundombinu ya maji

Kaimu mkurugenzi MUWASA Rehema Nelson. Picha na Anna Mhina “Wakarabati mabomba mana tunapata tabu” Na Anna Mhina Baadhi ya wananchi wa halmashauri ya manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira Mpanda (MUWASA) kurekebisha…

5 June 2025, 6:31 pm

Lipeni bili kwa wakati kuepuka usumbufu

Kaimu mkurugenzi mtendaji MUWASA Rehema Nelson. Picha na Anna Mhina. “Tutasitisha huduma za maji kwa wateja wasiolipa kwa wakati” Na Leah Kamala Kaimu Mkurugenzi mtendaji mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira manispaa ya Mpanda mkoani Katavi Rehema Nelson…

5 June 2025, 5:46 pm

Lishe bora kinga ya ugonjwa wa macho kwa watoto

Mratibu wa huduma ya macho dokta Japhet Chomba. Picha na Anna Mhina “Tunaomba tupewe elimu ya lishe bora” Na Anna Mhina Baadhi ya wananchi wa halmashauri ya manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba serikali iwape elimu ya kuwakinga watoto na…

4 June 2025, 9:47 am

EWURA yalegeza kamba uwekezaji vituo vya mafuta

Meneja wa EWURA mhandisi Walter Christopher . Picha na Leah Kamala “Sisi kama EWURA tumelegeza masharti ili wawekezaji wawekeze vituo vya mafuta vijijini” Na Leah Kamala Meneja wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Kanda ya…

4 June 2025, 9:31 am

Ukarabati wa barabara kero kwa wananchi Mpanda

“Hali ya barabara sio salama” Na Samwel Mbugi Baadhi ya wananchi wa mtaa wa Mpadeco kata ya Makanyagio wamelalamikia ukarabati wa barabara za mitaa zilizorekebisha bila kumwagiwa maji wala kushindiliwa ambapo kumesababisha vumbi ambalo limekuwa kero. Wakizungumza na Mpanda radio…

2 June 2025, 12:26 pm

Acheni kufyatua matofali kiholela

Picha ya matofali yaliyofyatuliwa kwenye makazi ya watu. Picha na Samwel Mbugi “Hairuhusiwi kuchoma tofali katikati ya makazi ya watu” Na Samwel Mbugi Wananchi wanaojishughulisha na ufyatuaji tofali katika eneo la Mpanda hotel  wametakiwa kuzingatia utaratibu na sheria za mazingira …

2 June 2025, 12:07 pm

Linda haki yako kwa kusoma katiba

Picha ya kitabu cha katiba “Pia ukisoma katiba utaelewa umuhimu wa kupiga kura” Na Leah Kamala Wananchi wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametoa maoni yao kuhusu umuhimu wa kujua na kutambua Katiba ya nchi ili kujenga jamii iliyo na…

26 May 2025, 1:20 pm

Nishati safi fursa kwa mama lishe

Mama lishe wilaya ya Tanganyika baada ya kupokea mitungi ya gesi. Picha na Eda Enock “kumekuwa na ongezeko kubwa la ukataji miti mkoa wa Katavi kwasababu watu wengi hawajafikiwa na nishati safi” Na Eda Enock Wananchi mkoa wa Katavi wametakiwa…

Kuhusu Mpanda Radio

Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.

Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.

Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.

Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.