Mpanda FM
Mpanda FM
24 January 2025, 6:29 pm
Picha ya pamoja ya viongozi wapili kutoka kulia ni mkuu wa mkoa wa Katavi. Picha na Anna Mhina “Wakurugenzi watakiwa kuhakikisha wanafikisha elimu ya msaada wa kisheria kwa wananchi” Na Ben Gadau Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko…
23 January 2025, 2:30 pm
Picha ya mkuu wa mkoa wa Katavi. Picha na Samwel Mbugi “Wananchi watakiwa kujitokeza kupata elimu ya msaada wa kisheria” Na Samweli Mbugi Wananchi Wametakiwa kujitokeza kupata elimu ya msaada wa kisheria kupitia kampeni ya mama Samia Legal AID inayolenga…
23 January 2025, 1:56 pm
Wananchi wa mtaa wa Kasisiwe wakiwa kwenye kikao. Picha na John Benjamini “Wazazi watakiwa kuchangia fedha kwa ajili ya ununuzi wa madawati” Na John Benjamini Shule ya msingi Kasisiwe iliyopo kata ya Ilembo manispaa ya Mpanda mkoani Katavi inakabiliwa na…
23 January 2025, 10:53 am
Picha ya viongozi pamoja na bodaboda wa halmashauri ya Nsimbo. Picha na Anna Mhina “Bodaboda wafuate sheria za usalama barabarani “ Na Anna Mhina Mwenyekiti wa halmashauri ya Nsimbo iliyopo wilaya ya Mpanda mkoani Katavi Halawa C. Malendeja amewataka madereva bodaboda…
21 January 2025, 6:19 pm
Wananchi wakiwa kwenye mazishi. Picha na Samwel Mbugi “Wananchi wametakiwa kuzingatia suala la usafi ili kuepukana na ugonjwa wa kipindupindu” Na Lilian Vicent Mwanaume mmoja aliyefahamika kwa jina la Redfusi Gabriel mkazi wa mtaa wa Kasimba kata ya Ilembo manispaa…
21 January 2025, 4:52 pm
Picha ya Kamanda wa polisi mkoa wa Katavi. Picha na Anna Milanzi “Mwanamke mmoja akutwa amefariki dunia kwa kujinyonga na kanga yake” Na Leah Kamala Mwanamke mmoja anaesadikiwa kuwa na umri kati ya miaka 19 hadi 22 ambaye jina lake…
21 January 2025, 12:39 pm
Picha na mtandao “Wanachadema washauriwa kuwa watulivu ili kukamilisha zoezi la uchaguzi” Na Rhoda Elias – Katavi Wafuasi wa chama cha demokrasia na maendeleo [CHADEMA] mkoani Katavi wamesema ni wakati wa chama hicho kumpa nafasi Mgombea Tundu Lissu ili kupata…
21 January 2025, 12:07 pm
“Wananchi wa mtaa wa Kasimba wadhamiria kununua eneo kwa ajili ya ujenzi wa shule ya msingi” Na Lilian Vicent-Katavi Wananchi wa Mtaa wa Kasimba Kata ya Ilembo Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameadhamilia kuchangia kiasi cha shilingi elfu saba na…
17 January 2025, 1:05 pm
“Dereva bodaboda wanapaswa kuwa na leseni ili kuondokana na migogoro na askari” Maafisa usafirishaji maarufu kama bodaboda wametakiwa kujiunga na mafunzo ya udereva ili waweze kutambua sheria za usalama barabarani. Hayo yamesemwa na Sajent Juliana Ibalaja kutoka kikosi cha Usalama…
17 January 2025, 11:14 am
“Wananchi wameomba msako uendelee kufanyika ili kubaini endapo kuna chatu wengine“ Na Anna Milanzi- Katavi Wananchi wa mtaa wa Kasimba kata ya Ilembo manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameshukuru kwa msako uliofanyika na kufanikiwa kumuua nyoka aina ya chatu huku…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
