Mpanda FM

Recent posts

1 July 2025, 12:38 pm

Mfumo dume unavyomwathiri mwanamke kuwania uongozi

Picha ya wananchi wa kijiji cha Isinde. Picha na Anna Mhina “Nakosa ujasiri wa kugombea kwa sababu tunatawaliwa na mfumo dume kwenye familia” Na Roda Elias Kuendelea kuwepo kwa mfumo dume miongoni mwa baadhi ya jamii kumetajwa kumuathiri mwanamke  katika…

1 July 2025, 11:57 am

Mfumo dume unaathiri vipi mwanamke kuwania nafasi za uongozi?

Baadhi ya wananchi wa kijiji cha Isinde. Picha na Anna Mhina “Mfumo dume unaanzia nyumbani hivyo tunakosa kujiamini” Na Anna Mhina na Roda Elias Kuendelea kuwepo kwa mfumo dume miongoni mwa baadhi ya jamii kumetajwa kumuathiri mwanamke  katika kuwania nafasi…

1 July 2025, 11:24 am

Wanawake Katavi wahamasishwa kuchukua fomu

Idd Kimanta Mwenyekiti wa CCM na kulia ni Joseph Mona mwenyekiti wa ACT. Picha na Ben Gadau “Kumekuwa na mwitikio mdogo kwa upande wa wanawake” Na Ben Gadau Wanawake wametakiwa kujitokeza katika mchakato wa kuchukua fomu inayoendelea katika vyama mbalimbali…

30 June 2025, 5:42 pm

Majirani wakerwa na choo cha muuza pombe

Choo kinachowakera ya wananchi. Picha na Anna Mhina “Hapa sisi tunapata shida na harufu ya kinyesi” Na Anna Mhina Baadhi ya wananchi wa kata ya Mpanda hotel manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamelalamikia kero wanayoipata ya harufu mbaya ya choo…

28 June 2025, 5:32 pm

Wanufaika wa TASAF wammwagia maua Rais Samia

Picha ya pamoja ya viongozi wa serikali na wanufaika wa TASAF. Picha na Samwel Mbugi “Tupende kuwashukuru viongozi na mama Samia” Na Samwel Mbugi Baadhi ya wanufaika wa mfuko wa kaya masikini  TASAF wametoa shukurani kwa rais wa jamhuri ya…

28 June 2025, 5:17 pm

“Marufuku wagombea kupeana vitisho Katavi”

Mwenyekiti wa CCM Katavi Idd Kimanta. Picha na John Benjamin “Kiongozi atakaeonesha anamtaka fulani ndani ya chama tutachukua hatua” Na John Benjamin Chama cha Mapinduzi CCM mkoa wa Katavi kimekemea vikali mianya ya rushwa upangaji wa matokeo kwa wagombea wataojitokeza…

26 June 2025, 2:07 pm

Waandishi wapigwa msasa Katavi

Baadhi ya waandishi wa habari wakipatiwa mafunzo. Picha na Anna Mhina “Mafunzo ya leo yatatusaidia katika kuandaa habari kwa umakini” Na Anna Mhina Zaidi ya waandishi wa habari 20 mkoani Katavi wamepatiwa mafunzo ya lishe bora pamoja na ukatili kwa…

26 June 2025, 8:47 am

Dereva bajaji Katavi auwawa

Mahali ulipopumzishwa mwili wa Silavius. Picha na Leah Kamala “Ni tukio ambalo haulitegemei linatokea katika utafutaji” Na Leah Kamala Kijana mmoja mwendesha pikipiki ya magurudumu matatu maarufu kama bajaji kata ya Nsemulwa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi Silavius Nestory Kameme…

25 June 2025, 8:24 am

Marufuku pombe kwa wajawazito

Daktari bingwa wa magonjwa ya akili na afya ya akili Edward Buchee. Picha na Anna Mhina “Mama mjamzito kama anatumia vilevi anaweza kujifungua mtoto wa aina hiyo” Na Anna Mhina Baadhi ya wananchi wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba…

23 June 2025, 12:09 pm

Mtoto wa miaka 7 afa maji Katavi

Mto Misunkumilo wananchi wakiendelea na shughuli zao. Picha na Anna Mhina “Maeneo ya mtoni sio maeneo rafiki kwa watoto” Na Roda Elias Mtoto Aliefahamika kwa jina la Barnaba Daniel (7) mkazi wa  kata ya Makanyagio manispaa ya  Mpanda mkoani Katavi…

Kuhusu Mpanda Radio

Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.

Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.

Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.

Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.