Mpanda FM

Recent posts

4 March 2025, 7:04 pm

Wadhibiti ubora wa shule Tanganyika waweka wazi majukumu yao

“Wadhibiti ubora wa shule wa ndani na wa nje wanahakikisha shughuli za shule zinafanyika kwa ukamilifu “ Kupitia kipindi hiki utasikia namna wathibiti ubora wilayani Tanganyika wanavyofanya kazi na kuhakikisha elimu bora inaendelea kutolewa kwa kuzingatia uwepo wa miundombinu rafiki…

4 March 2025, 2:48 pm

Wananchi wataka elimu ya kidole tumbo itolewe

Picha ya Dkt. Gabriel Elias. Picha na Rhoda Elias “Tupewe elimu juu ya ugonjwa wa apendex” Na Rhoda Elias Wananchi wa Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameomba kupatiwa elimu juu ya ugonjwa wa kidole tumbo (apendex). Wakizungumza na Mpanda Radio…

4 March 2025, 2:24 pm

Serikali ya awamu ya sita mkombozi kwa machinga

Picha ya baraza la machinga wilaya ya Mpanda. Picha na Samwel Mbugi “Tumeazimia kuwainua machinga kwa kuwakopesha mikopo yenye riba nafuu” Na Samwel Mbugi Baraza la machinga wilaya ya Mpanda mkoani Katavi wameazimia kuwainua wafanyabiashara wadogo kwa kushirikiana na taasisi…

4 March 2025, 2:03 pm

Wananchi Mpanda watakiwa kutunza vyanzo vya maji

Picha inayoonesha moja ya njia za utunzaji wa vyanzo vya maji. Picha na Leah Kamala “Wananchi wapande miti kwa wingi ili kulinda vyanzo vya maji” Na Leah Kamala Baadhi ya wananchi wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametoa maoni mseto…

25 February 2025, 4:20 pm

Madereva watakiwa kuacha matumizi ya simu wanapokuwa barabarani

Picha ya wasafirishaji wa vyombo vya moto. Picha na Anna Mhina “Hatua zitachukuliwa kwa dereva atakaebainika amevunja sheria” Na Edda Enock Madereva wa vyombo vya moto mkoani Katavi wametakiwa kuacha matumizi ya simu wakiwa barabarani ili kuepukana na ajali zinazoepukika.…

24 February 2025, 5:39 pm

Ubovu wa miundombinu katika soko la Machinjioni huathiri huduma

Picha ya soko la Machinjioni. Picha na Edda Enock “Tunashindwa wapi pa kupeleka haja zetu soko halina choo” Na Edda Enock Baadhi ya wafanyabiashara wa soko la machinjioni manispaa ya Mpanda mkoani katavi wametoa malalamiko yao kwa serikali kuhusu hali…

20 February 2025, 4:58 pm

Wafanyabiashara watakiwa kuchangamkia fursa

Picha ya mwenyekiti wa shirikisho la umoja wa machinga, Haji Mponda. Picha na Samwel Mbugi. “Jisajilini ili mkizi vigezo muweze kupata mkopo” Na Samwel Mbugi Wafanyabiashara wadogo wadogo maarufu kama Machinga wamehamasishwa kujitokeza kwa wingi   kuomba mikopo inayotolewa na serikali…

20 February 2025, 10:32 am

Madereva watakiwa kutii sheria za usalama barabarani

Picha ya F9052 PC John Shindika. Picha na Anna Mhina “Tunahitaji elimu itolewe kwenye vijiwe vya bodaboda” Na Anna Mhina Kutokana na baadhi ya madereva wa vyombo vya moto kutotii sheria za usalama barabarani hususani  mataa Jeshi la polisi mkoani…

19 February 2025, 9:15 am

Wananchi watakiwa kutunza mazingira

Picha ikionesha takataka zilizotupwa ovyo. Picha na Leah Kamala “Wananchi watunze mazingira ili kuepuka magonjwa ya mlipuko” Baadhi ya wananchi wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameta maoni yao mseto kuhusiana na mandhara ya utupaji holela wa taka katika mazingira.…

18 February 2025, 2:19 pm

Askari polisi, wadau watunukiwa vyeti Katavi

Picha ya mmoja kati ya wadau waliopatiwa vyeti na Kamanda Ngonyani. Picha na Anna Mhina “Askari polisi na wadau waliofanya kazi vizuri wapatiwa vyeti” Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi limetoa vyeti kwa askari polisi waliofanya kazi vizuri na wadau…

Kuhusu Mpanda Radio

Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.

Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.

Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.

Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.