Mpanda FM
Mpanda FM
24 July 2025, 11:04 am
Masanja akiwa amekabidhiwa fomu ya kugombea ubunge. Picha na Benny Gadau “Jimbo la Mpanda mjini ni jimbo la wanamageuzi” Na Benny Gadau Kamishna wa kanda maalum ya magharibi wa Chama Cha Ukombozi wa Umma CHAUMA Masanja Musa Katambi amechukua fomu…
24 July 2025, 10:47 am
Picha ya pamoja ya viongozi wa mradi, katikati ni mkuu wa wilaya ya Tanganyika. Picha na Anna Millanzi “Kila fedha inayotengwa kwa miradi imelenga kuimarisha ustawi wa jamii” Na Anna Millanzi Katika kuhakikisha usimamizi wa rasilimali za umma na uwajibikaji…
24 July 2025, 9:47 am
Kimori Chiwa askari muhifadhi kitengo cha utalii hifadhi ya Taifa Katavi. Picha na Anna Mhina “Tumeweka gharama ndogo ili kila mtanzania aweze kuja kufanya utalii” Na Anna Mhina Baadhi ya wananchi wa halmashauri ya manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba…
21 July 2025, 3:21 pm
Dr. Masalagwe Gambishi.Picha na Anna Mhina “Kwenye hali ya hewa ya baridi kuna kirusi kinachosababisha mafua” Na Anna Mhina Wananchi mkoani Katavi wameshauriwa kunywa maji mengi, kuvaa nguo nzito na kuvaa barakoa katika kipindi hiki cha baridi ili kuepuka kuugua…
19 July 2025, 5:36 pm
Stewart Kiyombo Kaimu mkurungezi TAKUKURU Katavi. Picha na Blessing Kikoti “Wananchi waunge mkono vita dhidi ya rushwa ya kisiasa” Na Blessing Kikoti Uwepo wa rushwa katika jamii mkoani Katavi umetajwa kusababisha wananchi kuchagua viongozi wasiostahili na wasiokuwa na weledi katika…
18 July 2025, 11:50 am
Baadhi ya madereva na makondakta wa stendi ya zamani. Picha na Leah Kamala “Ni marufuku kufungua mlango gari likiwa linatembea” Na Leah Kamala Baadhi ya wananchi wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametoa malalamiko yao kuhusiana na tabia ya makondakta…
18 July 2025, 11:25 am
Kamishina msaidizi mwandamizi wa polisi SACP Kaster Ngonyani. Picha na Samwel Mbugi ” Tumekamata vijana 3 na madada poa 17 na tumewapeleka mahakamani” Na Samwel Mbugi Jeshi la polisi mkoani Katavi limefanikiwa kukamata madada poa 17 na vijana 3 waliokuwa…
17 July 2025, 2:12 pm
Baadhi ya wananchi walioahidiwa mkopo. Picha na Samwel Mbugi “Tangu tulipokabidhiwa hundi mpaka sasa hela hazijaingizwa bank” Na Samwel Mbugi Baadhi ya wananchi ambao ni wanufaika wa mkopo wa asilimia kumi wametoa malalamiko yao kwa serikali kutopata mkopo huo ambao…
16 July 2025, 4:04 pm
Afisa Ustawi wa Jamii Manispaa ya Mpanda Anyulumye Longo. Picha na Leah Kamala “Usipompa mtoto haki yake ya elimu ni rahisi kujiingiza kwenye makundi hatarishi” Na Leah Kamala Baadhi ya wananchi wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametakiwa kuwafundisha maadili…
14 July 2025, 2:29 pm
Mkuu wa Dawati la Jinsia Katavi Judith Mbukwa. Picha na Anna Mhina “Mazingira yenyewe ya ndani yanasababisha kukimbia familia” Na Leah Kamala Baadhi ya wananchi wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamesema kuwa hali ngumu ya kimaisha na changamoto ya…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
