Mpanda FM
Mpanda FM
26 March 2025, 3:43 pm
“Taifa linahitaji nguvu kazi ya vijana” Na John Benjamin Vijana mkoani Katavi wameombwa kujitokeza kwa wingi kuwania nafasi mbalimbali katika uongozi wa kisiasa Hayo yamezungwa na mwenyekiti wa ngome ya vijana wa chama cha ACT Wazalendo mkoa wa Katavi ambapo…
25 March 2025, 9:39 am
Wajumbe wa CCM wakipokea mfuko mmoja wa saruji kwa niaba ya mifuko 40. Picha na Anna Mhina “Lengo la kutoa mifuko hiyo ni kukifanya chama kionekane cha tofauti” Na Anna Mhina Mstahiki meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda mkoani…
16 March 2025, 3:34 pm
Picha ya Katibu Tawala Wilaya ya Mpanda Jofrey Mwashitete. Picha na John Benjamin “Serikali inaendelea kuimarisha huduma “ Na John Benjamin Wananchi wa wilaya ya Mpanda wameishukuru serikali kupitia ofisi ya Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini RITA kwa kuanzisha…
16 March 2025, 3:25 pm
“Wananchi wanachelewa kutoa taarifa kwa jeshi la zimamoto na uokoaji” Na Anna Mhina Wananchi wa Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameliomba jeshi la zimamoto na uokoaji kuweka mifumo bora ili kuweza kufika kwa wakati pindi wanapopokea taarifa za…
16 March 2025, 3:12 pm
Picha ya Dkt Gabriel Elias. Picha na Anna Mhina “Ni muhimu kuwahi kliniki ili kuepukana na magonjwa hatarishi yanayojitokeza” Na Edda Enock Wanawake manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameshauriwa kuwahi kuanza kliniki pale wanapogundua kuwa ni mjamzito ili kupata elimu…
14 March 2025, 6:08 pm
Picha ya Leonard Minja afisa TAKUKURU Mpanda. Picha na Anna Mhina “Msichague viongozi watoa rushwa” Na Anna Mhina Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa TAKUKURU mkoani Katavi imewataka wananchi kuchagua viongozi kutokana na ushawishi wa sera na ilani za…
11 March 2025, 4:28 pm
Picha ya madereva bodaboda. Picha na Edda Enock “Waliochaguliwa watimize ahadi walizotuahidi” Na Edda Enock Maafisa usafirishaji bajaji manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamefanya uchaguzi wa viongozi kwa ngazi mbalimbali. Akitangaza matokea ya uchaguzi huo mwenyekiti wa uchaguzi huo Mrisho…
11 March 2025, 3:39 pm
Mkuu wa Wilaya ya Mpanda Jamila Yusuph akizungumza na wananchi msibani. Picha na Anna Mhina “Wananchi mchukue tahadhari mnapoenda porini” Na Anna Mhina Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Adeniza Spriano mwenye umri wa miaka 63 mkazi wa kijiji cha…
11 March 2025, 2:36 pm
Picha ya madarasa yaliyoezuliwa. Picha na Anna Mhina “Hakikisha miundombinu ya madarasa inajengwa kwa wakati” Na Anna Mhina Shule ya msingi Ivungwe iliyopo kata ya Katumba halmashauri ya Nsimbo wilayani Mpanda mkoani Katavi imeezuliwa paa kutokana na mvua kubwa iliyoambatana…
7 March 2025, 2:13 pm
Picha ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Makongoro Nyerere. Picha na Anna Mhina “Wanawake wajitokeze kugombea nafasi mbalimbali za uongozi kwenye uchaguzi mkuu” Na Anna Mhina Wanawake mkoani Katavi wametakiwa kujitoka katika kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi mkuu.…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
