Mpanda FM
Mpanda FM
8 August 2025, 1:16 pm
“mtoto huyo alitupwa katika moja ya chumba cha vyoo ambavyo vimesitishwa matumizi.“ Na Samwel Mbugi -Katavi Mtoto mchanga anayekadiriwa kuwa na umri wa siku moja mweye jinsi ya kike ameokotwa kwenye choo cha shule ya msingi Kashato manispaa ya Mpanda…
7 August 2025, 7:02 pm
“Ulishaji wa maziwa ya mama pekee husaidia kupunguza vifo vya watoto wachanga, kuimarisha ukuaji wa akili, na kupunguza hatari ya kupata magonjwa sugu” Na Anna Millanzi Maziwa ya mama ni chakula bora na kamili kwa mtoto mchanga, hasa katika miezi…
7 August 2025, 4:56 pm
Muuguzi katika hospitali ya manispaa ya MpandaAnderson Evarist Fidel. Picha na Samwel Mbugi “Tunachowasaidia tunamchukua mtoto na kumuweka kwenye maziwa ya mama” Na Anna Millanzi Kina mama wanaojifungua watoto manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametakiwa kuzingatia unyonyeshaji wa watoto wao…
6 August 2025, 2:21 pm
Picha ya bodaboda zilizoegeshwa kwenye moja ya kituo. Picha na Roda Elias “Wenyeviti wa vijiwe watilie mkazo jambo hili” Na Roda Elias Madereva pikipiki maarufu kama bodaboda wa kata ya Mpanda Hotel manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametakiwa kuwa na…
6 August 2025, 12:43 pm
Katibu mwenezi wa CCM Theonas Kinyonto akisoma matokeo ya kura za maoni ya ubunge. Picha na Anna Mhina “Kura za maoni ni mchakato wa kuwapata wagombea watakaoipeperusha bendera ya CCM” Na Anna Mhina Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Katavi…
4 August 2025, 3:24 pm
Mkuu wa usalama barabarani SP. Sukunala Katavi akitoa maelekezo kwa madereva bajaji. Picha na Samwel Mbugi “Lazima tukemee ajali na tujitahidi kuwa naleseni za udereva” Na Leah Kamala Mkuu wa usalama barabarani manispaa ya mpanda mkoani katavi, SP. Efeso Sukunala…
30 July 2025, 7:25 pm
Katibu wa siasa na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Theonas Kinyoto. Picha na Samwel Mbugi “Kata ya Mpanda hotel namba moja ni Oscar John Mbule” Na Samwel Mbugi Katibu wa siasa na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Theonas…
30 July 2025, 7:08 pm
Mkuu wa mkoa wa Katavi akitoa maelekezo kwa watumishi wa umma. Picha na Anna Mhina “Ninyi ni watumishi wa umma mnapaswa kutoa huduma bora kwa wananchi” Na Anna Mhina Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko amewataka maafisa tarafa…
30 July 2025, 9:29 am
Mkuu wa mkoa wa Katavi akizungumza na madereva bajaji. Picha na Samwel Mbugi “Kuna mambo bado hayajakaa sawa niwape muda mkayatafakari upya” Na Samwel Mbugi Baadhi ya madereva bajaji mkoa wa Katavi wamelalamika kwa mkuu wa mkoa kuhusu kuamriwa kushusha…
25 July 2025, 4:50 pm
Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko akitoa maelekezo. Picha na Samwel Mbugi “Tengeneza vibanda vijana wafanye biashara katika hadhi” Na Samwel Mbugi Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko ametoa agizo la miezi mitatu kwa Mkurugezi wa Manispaa…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
