Mpanda FM

Recent posts

1 May 2025, 1:52 pm

Wakuu wa shule za msingi Katavi waazimia kupandisha ufaulu

Picha ya wakuu wa shule za msingi Katavi. Picha na Samwel Mbugi. “Jiwekeeni malengo ili mpandishe ufaulu” Na Samwel Mbugi Walimu wakuu wa shule za msingi mkoa wa Katavi wametakiwa kusimamia msingi wa utawala bora na uwajibikaji  katika kazi ili…

1 May 2025, 1:30 pm

Madiwani Tanganyika wamtaka mkurugenzi kutatua changamoto

Picha ya baraza la madiwani Tanganyika. Picha na Beny Gadau “Tumemuondoa daktari wa Mchangani amekuwa na uwajibikaji hafifu” Na Beny Gadu Baraza la madiwani halmashauri ya wilaya ya Tanganyika wamefanya kikao cha robo ya kwanza kwa mwaka 2025 chenye lengo…

1 May 2025, 8:18 am

Taifa litaathirika vijana msiposhiriki uchaguzi

Picha ya Alex Chotora. Picha na Anna Mhina “Kususia uchaguzi ni kujinyima haki yako” Na Anna Mhina Vijana mkoani Katavi wameshauriwa kujitokeza katika zoezi la uandikishaji wa daftari la kudumu la mpiga kura ili kuweza kushiriki katika uchaguzi mkuu. Wito…

30 April 2025, 10:33 am

Maafisa uchaguzi Mpanda wapigwa Msasa

Picha ya mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Asina Omari. Picha na John Benjamin “Tekelezeni zoezi hilo kwa umakini” Na John Benjamin Maafisa uchaguzi ngazi ya kata wa halmashauri ya manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametakiwa kuhakikisha wanasimamia…

29 April 2025, 1:12 pm

Namba za NIDA 2019 – 2023 kufutiwa usajili

Picha ya Afisa NIDA Katavi Mauna Karumbeta. Picha na Samwel Mbugi “Namba zinaenda kufutiwa usajili ni zile  zilizotumiwa ujumbe” Na Samwel Mbugi Baadhi ya wananchi mkoani Katavi wametoa maoni mseto kuhusiana na zoezi la kufutiwa usajili wa namba za nida…

23 April 2025, 2:29 pm

Jamii ipewe elimu ya njia sahihi ya kusafisha sikio

Picha ya Gabriel Elias ni daktari kutoka kituo cha afya cha Town Clinic. Picha na Anna Mhina “Tupewe elimu ya njia sahihi ya kusafisha sikio” Na Anna Mhina Baadhi ya wananchi wa halmashauri ya manispaa ya wilaya ya Mpanda mkoani…

22 April 2025, 6:56 pm

Katavi wamuenzi Papa Francis kwa kulinda amani

Picha ya Makamu Askofu wa kanisa la Roman Cathoric Katavi. Picha na Anna Mhina “Tumepokea kifo cha baba mtakatifu kwa mshtuko na ameacha pengo” Na Anna Mhina Waumini wa kanisa la Roman Cathoric mkoani Katavi wametakiwa kushikamana katika kipindi hiki…

19 April 2025, 7:16 pm

Wakristo acheni kuhangaikia mambo ya kimwili

Picha ya mchungaji Paul Mahenenga. Picha na Anna Mhina “Acheni kuhangaikia mavazi na vyakula” Na Anna Mhina Waumini wa imani ya makanisa ya kipentekoste mkoani Katavi wametakiwa kuacha kuhangaikia mambo ya kimwili katika kuadhimisha siku ya Ijumaa kuu ambayo ni…

16 April 2025, 6:56 pm

Bawacha Katavi wanolewa no reform no election

Picha na Betord Chove “Tunawapa mafunzo ili waweze kusimamia misimamo inayotekeleza kazi za chama” Na Betord Chove Baraza la wanawake la chama cha demokrasia na maendeleo chadema (BAWACHA) Wameanza mafunzo ya uongozi kwa wanachama wanawake mkoani Katavi Akizungumza kabla ya…

16 April 2025, 1:44 pm

DC Mpanda atoa angalizo kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha

Picha ya mkuu wa wilaya ya Mpanda. Picha na Anna Mhina “Wananchi mchukue tahadhari kipindi hiki cha mvua” Na Anna Mhina Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha na kusababisha baadhi ya mawasiliano ya barabara kukatika Wananchi wametakiwa kuchukua tahadhari katika kuwalinda…

Kuhusu Mpanda Radio

Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.

Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.

Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.

Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.