Mpanda FM

Recent posts

30 July 2025, 7:08 pm

RC Katavi: Katatueni kero za wananchi

Mkuu wa mkoa wa Katavi akitoa maelekezo kwa watumishi wa umma. Picha na Anna Mhina “Ninyi ni watumishi wa umma mnapaswa kutoa huduma bora kwa wananchi” Na Anna Mhina Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko amewataka maafisa tarafa…

30 July 2025, 9:29 am

Madereva bajaji Katavi walia na tozo stend kuu

Mkuu wa mkoa wa Katavi akizungumza na madereva bajaji. Picha na Samwel Mbugi “Kuna mambo bado hayajakaa sawa niwape muda mkayatafakari upya” Na Samwel Mbugi Baadhi ya madereva bajaji mkoa wa Katavi wamelalamika kwa mkuu wa mkoa kuhusu kuamriwa kushusha…

25 July 2025, 4:50 pm

RC Katavi atoa siku 90 kwa DED Mpanda

Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko akitoa maelekezo. Picha na Samwel Mbugi “Tengeneza vibanda vijana wafanye biashara katika hadhi” Na Samwel Mbugi Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko ametoa agizo la miezi mitatu kwa Mkurugezi wa Manispaa…

24 July 2025, 11:04 am

Masanja ajitosa ubunge jimbo la Mpanda mjini kupitia CHAUMA

Masanja akiwa amekabidhiwa fomu ya kugombea ubunge. Picha na Benny Gadau “Jimbo la Mpanda mjini ni jimbo la wanamageuzi” Na Benny Gadau Kamishna wa kanda maalum ya magharibi wa Chama Cha Ukombozi wa Umma CHAUMA Masanja Musa Katambi amechukua fomu…

24 July 2025, 10:47 am

DC Tanganyika akemea ubadhirifu

Picha ya pamoja ya viongozi wa mradi, katikati ni mkuu wa wilaya ya Tanganyika. Picha na Anna Millanzi “Kila fedha inayotengwa kwa miradi imelenga kuimarisha ustawi wa jamii” Na Anna Millanzi Katika kuhakikisha usimamizi wa rasilimali za umma na uwajibikaji…

24 July 2025, 9:47 am

Kutojua gharama kikwazo sekta ya utalii Katavi

Kimori Chiwa askari muhifadhi kitengo cha utalii hifadhi ya Taifa Katavi. Picha na Anna Mhina “Tumeweka gharama ndogo ili kila mtanzania aweze kuja kufanya utalii” Na Anna Mhina Baadhi ya wananchi wa halmashauri ya manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba…

21 July 2025, 3:21 pm

Mafua tishio Katavi

Dr. Masalagwe Gambishi.Picha na Anna Mhina “Kwenye hali ya hewa ya baridi kuna kirusi kinachosababisha mafua” Na Anna Mhina Wananchi mkoani Katavi wameshauriwa kunywa maji mengi, kuvaa nguo nzito na kuvaa barakoa katika kipindi hiki cha baridi ili kuepuka kuugua…

19 July 2025, 5:36 pm

Viongozi wa kidini, kimila na wazee maarufu Katavi wanolewa

Stewart Kiyombo Kaimu mkurungezi TAKUKURU Katavi. Picha na Blessing Kikoti “Wananchi waunge mkono vita dhidi ya rushwa ya kisiasa” Na Blessing Kikoti Uwepo wa rushwa katika jamii mkoani Katavi umetajwa kusababisha wananchi kuchagua viongozi wasiostahili na wasiokuwa na weledi katika…

18 July 2025, 11:50 am

Madereva, makondakta Katavi wapewa onyo

Baadhi ya madereva na makondakta wa stendi ya zamani. Picha na Leah Kamala “Ni marufuku kufungua mlango gari likiwa linatembea” Na Leah Kamala Baadhi ya wananchi wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametoa malalamiko yao kuhusiana na tabia ya makondakta…

Kuhusu Mpanda Radio

Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.

Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.

Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.

Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.