Mpanda FM
Mpanda FM
13 June 2025, 5:12 pm
“Changamoto zilizopo ni kutokutekelezwa kwa sheria ya usalama mahala pa kazi” Na Anna Mhina Mkuu wa wilaya ya Mpanda Jamila Yusuph amewataka wachimbaji wa madini kuzingatia sheria na miongozo ya uchimbaji ili kutosababisha madhara yanayoweza kuepukika. Jamila ameyasema hayo kwenye…
12 June 2025, 3:51 pm
Koplo Celsius Mlolele akitoa elimu ya ukatili wa kijinsia kwa wanafunzi. Picha na Samwel Mbugi “Unafanyiwa ukatili nyumbani darasani unashindwa kuelewa” Na Anna Mhina Wanafunzi mkoani Katavi wametakiwa kutoa taarifa pindi wanapofanyiwa matukio ya ukatili wa kijinsia ili waweze kutimiza…
11 June 2025, 3:38 pm
Mkuu wa dawati la jinsia na watoto Katavi Judith Mbukwa. Picha na Anna Mhina “Jinsi mtoto anavyotukanwa ndivyo atakavyokuwa” Na Roda Elias Kutokana na uwepo wa baadhi ya wazazi na walezi wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi kutumia lugha ya…
11 June 2025, 2:54 pm
Watangazaji wa Mpanda FM wakikabidhi moja ya taulo za kike. Picha na Samwel Mbugi “Kuna haja ya kukiboresha chumba cha kujistiri kwa mtoto wa kike” Na Edda Enock Kuelekea madhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika Mpanda Radio FM kwa…
10 June 2025, 7:29 pm
Picha ya viongozi katikati ni mkuu wa mkoa wa Katavi mwanamvua Mrindoko. Picha na Samwel Mbugi “Tuendelee kuchukua hatua zitakazotukinga na maradhi mbalimbali” Na Samwel Mbugi Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko amewataka wananchi kuendelea kuchukua hatua za kujikinga…
6 June 2025, 3:46 pm
Mganga mkuu wa manispaa ya Mpanda Dr. Paul Swakala. Picha na Edda Enock “Hatufahamu huu ugonjwa unasababishwa na nini” Na Edda Enock Baadhi ya wanaume wa manispaa ya Mpanda mkoni Katavi wameiomba serikali kupitia wizara ya afya kuongeza juhudi za…
6 June 2025, 3:27 pm
Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko akitoa neno kwa bodaboda. Picha na Samwel Mbugi “Nyie ni nguzo kubwa ya usalama katika mkoa wetu” Na Samwel Mbugi Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko amewataka bodaboda mkoa wa…
6 June 2025, 2:47 pm
Kaimu mkurugenzi MUWASA Rehema Nelson. Picha na Anna Mhina “Wakarabati mabomba mana tunapata tabu” Na Anna Mhina Baadhi ya wananchi wa halmashauri ya manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira Mpanda (MUWASA) kurekebisha…
5 June 2025, 6:31 pm
Kaimu mkurugenzi mtendaji MUWASA Rehema Nelson. Picha na Anna Mhina. “Tutasitisha huduma za maji kwa wateja wasiolipa kwa wakati” Na Leah Kamala Kaimu Mkurugenzi mtendaji mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira manispaa ya Mpanda mkoani Katavi Rehema Nelson…
5 June 2025, 5:46 pm
Mratibu wa huduma ya macho dokta Japhet Chomba. Picha na Anna Mhina “Tunaomba tupewe elimu ya lishe bora” Na Anna Mhina Baadhi ya wananchi wa halmashauri ya manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba serikali iwape elimu ya kuwakinga watoto na…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
