Mpanda FM

Waumini wa dini ya Kiislam waonywa kuachana na uovu

19 May 2025, 2:50 pm

Sheikh mkuu wa mkoa wa Katavi Nassor Kakulukulu

Waishi kwa kufuata maelekezo na misingi ya imani mwenyezi Mungu.

Na Samwel Mbugi -Katavi

Sheikh mkuu wa mkoa wa Katavi Nassor Kakulukulu amewataka  waumini wa dini ya Kiislam mkoani Hapa kuachana na uovu na badala yake waishi kwa kufuata maelekezo na misingi ya imani mwenyezi Mungu.

Shekh Kakulukulu amesema kuwa baadhi ya waumini wamekuwa hawana msimamo wa kiimani wanaheshimu mwezi mtukufu pekee.

Sauti ya Sheikh mkuu wa mkoa wa Katavi

Kwa upande wao baadhi ya  waumini wamekiri kuwepo kwa changamoto hiyo na kuwaomba viongozi wao kwenda kutoa elimu ya kimaadili katika makundi ya vijana.

Sauti za waumini wakizungumza