Mpanda FM

DC Mpanda atoa angalizo kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha

16 April 2025, 1:44 pm

Picha ya mkuu wa wilaya ya Mpanda. Picha na Anna Mhina

“Wananchi mchukue tahadhari kipindi hiki cha mvua”

Na Anna Mhina

Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha na kusababisha baadhi ya mawasiliano ya barabara kukatika Wananchi wametakiwa kuchukua tahadhari katika kuwalinda Watoto.

Wito huo umetolewa na mkuu wa wilaya ya Mpanda Jamila Yusuph kufuatia kipindi hiki cha likizo kwa wanafunzi na mvua zinazoendelea kunyesha.

Sauti ya mkuu wa wilaya

Kwa upande wao baadhi ya wananchi wameeleza namna ambavyo watawalinda watoto wao kipindi hiki cha likizo ili kuweza kuwaepusha na majanga mbalimbali.

Sauti ya wazazi