Jamii FM

Recent posts

28 June 2021, 15:44 pm

Ukidhulumiwa Ardhi, fuata utaratibu

Na Karim Faida Wananchi wametakiwa kuwatumia watu sahihi pale panapotokea migogoro ya ardhi ili kupata majibu sahihi hatua ambayo itasaidia kuondokana na migogoro inayopelekea kurudisha nyuma maendeleo ya mtu mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla. Hayo yamesemwa na Wakili Amani…

28 June 2021, 06:29 am

WAJIFUNGUA KWA TOCHI MTWARA

Na Karim Faida Wanawake wa kijiji cha Kilombero kata ya Mahurunga mkoani Mtwara wameiomba serikali kuwawekea umeme katika Zahanati ya kijiji hicho kwa kuwa wanapitia mazingira Magumu ya kujifungualia kwa mwanga wa tochi za simu majira ya usiku na nguzo…

21 May 2021, 15:05 pm

Nyumba yateketea kwa moto

Na Karim Faida Wananchi wa mtaa wa Mmingano kata ya Tandika Manispaa ya Mtwara Mikindani mkoani hapa wameguswa na tukio la moto lililotokea Mapema Asubuhi ya leo ambapo nyumba ya Ndugu Sefu Bahili imeungua yote na hakuna kilichookolewa. Akiongea na…

21 May 2021, 04:58 am

Tunaomba barabara ikamilike

Na Karim Faida Wananchi wa Mtaa wa Kagera kata ya Magomeni Manispaa ya Mtwara Mikindani mkoani hapa wameiomba serikali kuwawekea kifusi kwenye Karavati lililojengwa na kukamilika katika barabara itokayo Stendi kuu ya Mabasi Mkoa wa Mtwara Chipuputa, na kutokezea kwenye…

21 May 2021, 04:52 am

Mwaka wa 7 hatuna maji safi na salama

Na Karim Faida. Wananchi wa Kijiji cha Lyowa kata ya Muungano halmashauri ya Wilaya ya Mtwara Mkoani hapa, wameiomba serikali kupitia Wakala wa usambazaji maji na usafi wa masingira RUWASA, kuwarekebishia mradi wao wa maji maarufu kama Mradi wa maji…

20 May 2021, 19:12 pm

Hodi Mtwara, Brigedia Jenerali Gaguti

Na Karim Faida Mkuu wa mkoa wa Mtwara Brigedia Jenerali Marco Gaguti amewaomba wananchi wa Mtwara kumpa ushirikiano zaidi ya ule alioupata aliyekuwa mkuu wa mkoa huu Ndugu Gelasius Byakanwa. Amesema hayo leo katika ukumbi wa Boma uliopo katika ofisi…

15 May 2021, 19:50 pm

Mtenga: Nitachangia mifuko 100 ya saruji bakwata

Na Karim Faida. Waislam katika wilaya ya Mtwara wametakiwa kuonesha jitihada na kushirikiana katika ujenzi wa ofisi ya bakwata ya wilaya hiyo ili kuwapa Imani wanaotaka kusaidia kwenye ujenzi huo ambao bado haujaanza kutokana na ukata wa pesa. Hayo yamesemwa…

15 May 2021, 19:43 pm

Tutawapa bima za afya; Kaimu mganga mkuu

Na Karim Faida. Kaimu Mganga mkuu wa halmashauri ya wilaya ya Mtwara Dkt Mathayo malaika amesema anashughulikia bima za afya za CHF kwa kaya moja masikini inayopatikana katika kijiji cha Namuhi kata ya Libobe Halmashauri ya wilaya ya Mtwara baada…

15 May 2021, 19:35 pm

Mtwara wamshangaa nahodha mwanamke

Na Karim Faida Wananchi mbalimbali wa Manispaa ya Mtwara mikindani wameonekana kumshangaa Nahodha anayeitwa Mayasa Mzandi ambaye ndiye amekuwa Nahodha wa kwanza katika kivuko cha Mv Mafanikio kinachofanya safari zake kutoka Feri Manispaa ya Mtwara Mikindani hadi Msangamkuu halmashauri ya…

8 May 2021, 06:47 am

DC Kyobya: tudumishe Amani

Na Karim Faida Mkuuu wa wilaya ya Mtwara Ndugu Dunstan Kyobya amewataka wananchi kuendelea kulinda amani ya Mtwara na kutoa taarifa kwa mamlaka pindi wanapoona kuna viashiria vya uvunjifu wa amani. Ndugu Kyobya amesema hayo jana Mei 7 2021 katika…