Jamii FM
Jamii FM
30 September 2024, 11:27 am
Matarajio kwa miaka mitano ijayo katika uwekezaji wa viwanda vya korosho ni kuona wawekezaji kutoka nchini Uholanzi na china ambao wameonesha mahitaji ya korosho karanga. Na Musa Mtepa Wananchi wa Mtwara wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika uzinduzi wa kiwanda cha…
30 September 2024, 08:08 am
Huu ni uchaguzi unaowaweka madarakani viongozi wa mitaa, vijiji, vitongoji na wajumbe wake ambapo kanuni za mwaka huu zinamtaka mgombea katika nafasi mbalimbali kuwa na umri zaidi ya miaka 21 na mwenye sifa ya kuchagua ni yule mwenye umri kuanzia…
30 September 2024, 01:13 am
Suala la viwanda kumilikiwa na wakulima ni jambo la umuhimu na wakulima hawawezi kumiliki viwanda hivyo pasipo kushirikiana na vyama vya ushirika pamoja na usimamizi wa tume ya ushirika nchini. Na Musa Mtepa Waziri wa Kilimo Husein Bashe, tarehe 1…
29 September 2024, 00:35 am
Kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa serikali imejikita katika kuhakikisha inatoa elimu ya kutosha kwa wananchi wote wenye sifa wanashiriki kikamilifu katika uchaguzi huo kwa kutoa elimu kwa makundi mbalimbali ili waweze kushiriki katika kuchagua kiongozi wanae mtaka Na Musa…
28 September 2024, 10:20 am
Abdala Saidi Adam ni mlemavu wa macho aliyefanikiwa kupata elimu ya sekondari ya kidato cha nne na kufaulu lakini alishindwa kuendelea na masomo kutokana na hali ngumu ya Maisha ya wazazi wake hivyo akalazimika kurudi nyumbani na kuendelea na Maisha…
26 September 2024, 17:44 pm
Uchaguzi wa Serikali za mitaa kote nchini unatarajiwa kufanyika Novemba 27,2024 ambapo kwa mujibu wa kanuni Wakurugenzi wa halmashauri ndio wasimamizi wakuu wa uchaguzi huo. Na Musa Mtepa Wananchi wa Manispaa ya Mtwara Mikindani wametakiwa kushiriki kikamilifu katika michakato ya…
26 September 2024, 14:31 pm
Katika kipindi cha miaka miwili inasemekana ni zaidi ya watu wanne wameripotiwa kupoteza maisha kwa kushambuliwa na mamba katika eneo la Kiyongo hali inayoendelea kuhatarisha uhai wa wakulima na wavuvi wanaofanya shughuli zao katika eneo hilo. Na Musa Mtepa Mtu…
21 September 2024, 16:15 pm
Hii ni Siku ya usafi Duniani ambapo chama cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Mtwara (MTPC) kwa kushirikiana na ofisi ya Mkurugenzi Manispaa ya Mtwara Mikindani, Ofisi ya Mbunge Mtwara Mjini ,Mganga mkuu wa mkoa na Wadau wengine wamefanya usafi…
20 September 2024, 19:24 pm
Msimu wa 2023/2025 meli za kusafirsha korosho zilichelwa kufika ktika bandari ya Mtwara hali iliyoleta changamoto kwa wanunuzi wa zao hilo ambapo kwa mwaka huu imekuwa tofauti meli na makasha yamefika mapema kabla hata ya mnada wa kwanza wa zao…
19 September 2024, 12:52 pm
Ukatili na uvunjifu wa maadili katika jamii umesababishwa na mambo mbalimbali kama vile wazazi kutosimama katika nafasi zao kwa Watoto, ukuaji wa teknolojia na kutofuata misingi ya dini hali inayopelekea kila kukicha kutokea matukio ya kikatili na uvunjifu wa maadili.…
Who we are
JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.
Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.
Vision
The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.
Mission
The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.
Coverage:
Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.