Jamii FM
Jamii FM
23 June 2024, 10:00 am
Imeandaliwa na Gregory Millanzi pamoja na Mwanahamisi Chikambu Chakula ni kitu chochote kinacholiwa ambacho huupa mwili nguvu na joto. Ni lishe inayompa mtumiaji virutubisho vyote vinavyohitajika na mwili kwa kiasi kinachozingatia kanuni za afya. Serikali ya Tanzania imeanzisha Huduma ya…
22 June 2024, 20:21 pm
Katika siku zijazo tunataka mkulima wa korosho awe na misimu miwili ana ule msimu wa korosho karanga na msimu wa bibo kwani siku hizi bibo linaonekana ni kitu cha kutupwa kumbe kuna bidhaa ambazo zinapatikana kama mvinyo (wine),Ethanol inayotokana na…
22 June 2024, 09:59 am
Katika utekelezaji wa shughuli za NSSF mfuko umekuwa ukikutana na changamoto mbalimbali na moja yake ni Pamoja na Mwajiri kutowasilisha michango kwa wakati na hili limekuwa tatizo kubwa kiasi kwamba inasababisha malalamiko kwa wananchi na wanachama na kudhani kwamba serikali…
21 June 2024, 10:20 am
Gregory Millanzi na Mwanahamisi Chikambu Miaka ya nyuma baadhi ya wazazi, walezi na wananchi walikuwa wanaogopa kuwapeleka watoto wenye umri wa kuanza elimu ya darasa la awali na darasa la kwanza hasa wale wenye ulemavu na mahitaji maalum, na wengine…
20 June 2024, 18:56 pm
Uelewa wa jamii juu ya masuala ya malezi,makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto kwa wenye umri wa miaka 0-8 ni jambo muhimu katika kuirejesha jamii katika mstari wa malezi sahihi ya watoto. Na Mwanahamisi Chikambu Uelewa juu ya masuala…
20 June 2024, 16:00 pm
Watu wenye ulemavu wanasisitiza umuhimu kwa watumiaji wa barabara kuwapa kipaumbele kutokana na changamoto wanazokutana nazo wanapotumia barabara. Kila mmoja wetu ana jukumu la kuhakikisha usalama barabarani, si jukumu la serikali pekee. Abeid Yusufu Lukanga, ambaye ni mlemavu anayetumia baiskeli,…
16 June 2024, 13:48 pm
Gesi inasambazwa majumbani kwa kutumia bomba lakini kwa lengo la kuyafikia masoko ya mbali kutatekelezwa mradi wa LNG Lindi ambapo gesi itabadilishwa na kuwa kimiminika itapakiwa kwenye mitungi mikubwa na ikifika huko itaingizwa kwenye mitambo ya kuibadiliasha kuwa hewa iweze…
15 June 2024, 18:02 pm
“Nitahakikisha ninasimamia miradi yote ya maendeleo katika wilaya ya Nanyumbu pamoja na kuwa na ushirikiano na watendaji wengine wa wilaya ili kutimiza matakwa ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Dkt. Samia Suluhu Hassan pamoja na serikali yake”.…
15 June 2024, 15:45 pm
Sekta ya mafuta na gesi ni sekta nyeti ambayo wananchi wengi wanapaswa kufahamu nini kinafanyika huko na miradi gani inatekelezwa hivyo kwa mujibu wa sheria ya mwaka 2015 (Petroleum Act 2015) inaipa TPDC hadhi ya kuwa shirika la mafuta katika…
14 June 2024, 21:11 pm
Kusainiwa kwa makataba huu kati ya Bodi ya KoroshoTanzania (CBT) na mkandarasi na kampuni ya Malagarasi Enterprises and Contractors Limited ni mwanzo wa CBT kumiliki viwanda vya pqmoja vya kubangua korosho na kusindika bidhaa zake ambapo uendeshaji wa viwanda hivi…
Who we are
JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.
Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.
Vision
The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.
Mission
The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.
Coverage:
Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.