Jamii FM
Jamii FM
24 July 2024, 07:31 am
Kama sisi tunataka kutengeneza nchi yetu na tunataka kuweka usawa kwenye elimu tutafute namna ambavyo hata hawa waliomaliza digrii wapate hizo nafasi kwenye ajira zinazotoka ,ukiangalia ajira zinazotoka asilimia kubwa ni diploma na certificate digrii ni wachache hivyo zinakatisha tamaa…
23 July 2024, 14:22 pm
Kitendo cha kuchagua kiongozi unayemtaka kinaleta faida kwasababu unampata kiongozi anayeweza kuleta maendeleo katika jamii kwa kusimama na kukusemea malengo ya jamii husika. Na Musa Mtepa Vijana mkoani Mtwara wametakiwa kushiriki katika michakato mbalimbali ya uchaguzi na uongozi kwa kuanzia…
22 July 2024, 09:10 am
Limeanzia kati kati ya Bahari ,tumeona taswira muonekano kama Samaki wawili wakubwa wenye mvuke wa moshi na upepo mkubwa ambao umeleta taharuki ambao ulikuja kuishia kwenye nyumba ya Bwana Fadhili Ismail Na Musa Mtepa Watu wawili wamenusurika kujeruhiwa na paa…
12 July 2024, 09:42 am
Changamoto kubwa aliyokutana nayo Bw Mustafa Chona wakati anampambania mkewe kuwa diwani wa kata ya Njengwa ni kwa baadhi ya wanaume kumdhihaki kuwa anapoteza muda wa kumpambania mkewe na kujirudisha nyuma kimaendeleo kwa kuuza baadhi ya mali na mifugo ili…
11 July 2024, 17:56 pm
Haya ni mashindano ya mpira wa miguu yaliyoanzishwa na Mbunge wa Jimbo la Mtwara Mjini ambapo mwaka huu 2024 yanaingia awamu ya pili huku takribani timu 18 zikitaraji kushiriki ligi hiyo ambapo mechi ya ufunguzi itafanyika Jumamosi ya Julai 13,…
30 June 2024, 14:21 pm
Wizara inaunga mkono jitihada zinazofanywa na taasisi ya Trade Aid katika kutangaza,kutunza na kuhifadhi mji Mkongwe wa Mikindani ambao kwa mujibu kisheria mji huo umetangazwa kuwa mji wa hifadhi. Na Musa Mtepa Watanzania na wadau wa maendeleo wameombwa kuwekeza katika…
29 June 2024, 13:13 pm
Mikindani Marathoni Marathoni ni sherehe zinazoambatana na maadhimisho ya siku ya mikindani(Mikindani day) ambayo dhima ni kutangaza utalii wa mji mikindani ,utamaduni wa makabila ya mikindani(Mtwara) pamoja na historia mbalimbali za mji huo. Na Musa Mtepa Katika kusheherekea kilele cha…
28 June 2024, 18:18 pm
Huduma za msaada wa kisheria katika kituo cha msaada wa kisheria cha Door of Hope zitatolewa bure kwa kupitia vigezo kama vya kupitia mawakili waliopo kituonina kupitia kikosi kazi cha jumla ya watu 11 Na Musa Mtepa Taasisi inayofanyakazi ya…
28 June 2024, 16:00 pm
Na Musa Mtepa Mtandao wa Jinsia Tanzania TGNP umeendelea na zoezi la kutoa Elimu kwa Wananchi wa kata ya Mkunwa juu ya Mila na tamaduni zinazo sababisha Wanawake kutoshiriki katika nafasi mbalimbali za uongozi na maamuzi katika jamii. Wakizungumza baada…
25 June 2024, 20:13 pm
Programu ya Imarisha Uchumi na Samia ni Programu inakuja kuboresha shughuli za kiuchumi zinazofanywa na wananchi ambayo itakuwa na mfumo wa usajili kwa kila mmoja au kikundi kwa kutumia namba ya NIDA,akaunti ya Benki na kutoa taarifa za mtaji alionao,biashara…
Who we are
JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.
Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.
Vision
The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.
Mission
The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.
Coverage:
Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.