Jamii FM
Jamii FM
9 September 2024, 21:48 pm
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini ilikuwa katika ziara ya kakizi katika kujionea miradi mbalimbali ya inayotekelezwa katika jamii kupitia urejeshwaji wa jamii (CSR) kuptia Shirika la Maendeleo ya Petrol Nchini TPDC katika vjiji vya Msimbati,Mngoji na…
9 September 2024, 11:50 am
“Tangu masika yameanza hadi kipindi hiki joto halipungui, mvua na miundombinu inaharibika kwasababu hakuna miti inayozuia mmonyoko wa ardhi” Na Musa Mtepa, Uhifadhi wa misitu unasimamiwa kisheria ambapo inatambulika na sheria za Tanzania na pia kabla kuvuna mazao ya misitu,…
1 September 2024, 11:06 am
“Malengo yetu sisi ni kutambulika na chama cha soka mkoani Mtwara (MTWAREFA) pamoja na kuwa timu kubwa itakayo kuwa inashiriki mashindano mbalimbali ndani na nje ya mkoa wa Mtwara lakini pia kuwa timu ya kukuza na kuuza vipaji “ Na…
31 August 2024, 12:21 pm
“Miaka yote tumekuwa tukifanya sherehe hizo kwa kutumia nguvu zetu hivyo kutokana na hali ya maisha kubadilika tunaomba wadau wenye uwezo kuchangia sherehe hizo ili kuendelea kumtukuza Mtume Muhammadi S.W.A”. Na Musa Mtepa Umoja wa wanawake waislamu kutoka Chihiko kata…
30 August 2024, 18:13 pm
“Nashukuru kwa kunikomboa kwani nilikuwa nakutana na changamoto nyingi, nilikuwa nanyimwa chakula, mume wa bosi wangu alikuwa ananisumbua ananitaka kimapenzi kufika hapa salama nashukuru na hapa naungana na mama yangu na sitamuacha tena.“ Na Musa Mtepa Kituo cha Msaada na…
7 August 2024, 11:21 am
Kutokana na wahudumu kuwa wachache katika zahanati ya Kijiji cha Kawawa wakati mwingine Wagonjwa hususani akina mama wajawazito wanalazimika Kwenda mjini ua Nanguruwe kupata huduma ya afya kwa kuamini kuwa wanaweza kupata huduma kwa uharaka kutokana na kuwepo kwa Wahudumu…
3 August 2024, 18:02 pm
Matarajio makubwa kwa mashabiki wa timu ya Simba ni kuona inafanya vizuri katika mashaindano mbalimbali itakayoshiriki timu hiyo kwa msimu wa 2024/2025 na hii ni kutokana na kufanya usajili unaotoa mategemeo makubwa kwa mashabiki wao. Na Musa Mtepa Mashabiki wa…
1 August 2024, 11:26 am
Serikali imekuwa ikitoa fedha nyingi ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa wananchi hivyo ni jukumu la viongozi wa vijiji,Madiwani na watendaji wengine wa serikali katika kusimamia kuhakikisha kuwa miradi hiyo itekelezwa kwa wakati na viwango vinavyotakiwa. Na Musa Mtepa…
28 July 2024, 00:27 am
Maadhimisho ya juma la Elimu huambatana na tathmini ya ufaulu ,kutoa mrejesho kwa wadau wa elimu kuhusu mafanikio na changamoto zake Pamoja na kushirikisha wadau wa elimu kuona ,kutambua na kuthamini kazi za walimu na wanafunzi shuleni. Na Musa Mtepa…
25 July 2024, 07:51 am
Kitendo cha kuwepo kwa madalali kwenye zao la korosho ndiyo sababu mojawapo inayochangia wakulima kutonufaika na kile alichokilima pamoja na mfumo wa mnada unaofanyika sasa hivi wa kutokuwepo mhusika aliyeweka barua ya ununuzi wa korosho hizo. Na Musa Mtepa Mwenyekiti…
Who we are
JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.
Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.
Vision
The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.
Mission
The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.
Coverage:
Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.