

10 March 2025, 18:46 pm
Hii ni meli ya kwanza kati ya meli nne zinazotarajia kubeba tani 40,000 za pembejeo ya zao la korosho kwa msimu wa mwaka 2025/2026 ambapo kwa mujibu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho wakulima wanahitaji tani 40’000 ili kufanikisha uzalishaji…
7 March 2025, 16:21 pm
Kijiji cha Naumbu kipo kata ya Naumbu halmashauri ya Mtwara Vijijini ambacho kwa upande wa mashariki kimepakana na Bahari ya hindi na upande wa Magharibi imepakana na Kijiji cha kitope na kijiografia ya Kijiji hicho kimetawaliwa na miamba mikubwa ya…
7 March 2025, 07:57 am
Haya yamejiri kwenye tamasha la michezo lililoandaliwa na shirika la Sports Development Aid likihusisha wanafunzi wa shule za sekondari za Likombe na Chuno zilizopo Manispaa ya Mtwara Mkindani likiwa na lengo la kufikisha ujumbe kupitia michezo wa kuepukana na ukatili…
5 March 2025, 21:50 pm
Kila ifikapo March 8 ya kila mwaka Dunia huadhimisha siku ya Mwanamke Duniani dhamira ikiwa kutambua mchango mkuu unaotolewa na Mwanake katika jamii hivyo kuelekea siku hiyo shirika la SDA,TASA na SSDM wamefanikisha kupeleka ujumbe juu ya haki ,usawa na…
5 March 2025, 07:20 am
Kata za Msimbati na Madimba ni kata ambazo nishati ya gesi asilia inapozalishwa na kuchakatwa hivyo ujenzi wa kituo cha afya ni sehemu ya utekelezaji wa CSR kwa wananchi kutoka na shughuli za uzalisha ji wa gesi asilia. Na Musa…
2 March 2025, 11:23 am
Hizi ni sherehe za kuhitimu kwa mafunzo ya ufundi stadi ambapo takribani vijana 69 wamehitimu na kutunukiwa vyeti ikiwa ishara ya kutambuliwa kwa mafunzo hayo,mafunzo haya yalikuwa yanatolewa kwa mafundi chuma,seremala na mafundi uchoraji Na Msafiri Kipila Vijana 69 kutoka…
23 February 2025, 11:11 am
Mkutano wa hadhara wa shehe mkuu wa mkoa wa Mtwara ulikuwa hitimisho la ziara yake aliyoifanya katika kata ya Magomeni ,ambapo kabla ya mkutano huo alitembelea miradi mbalimbali ya kijamii ikiwemo Zahanati ya magomeni,Shule ya sekondari makanledi,Ujenzi wa Msikiti Muzdalifa…
21 February 2025, 14:42 pm
Hii ilikuwa ziara ya kawaida kwa Shehe mkuu wa mkoa wa Mtwara kutembelea katika miradi mbalimbali ya kijamii na kuongea na jamii juu ya umuhimu wa mshikamano,kutii viongozi na mamlaka kama dini ya kiislamu inavyoelekeza. Na Musa Mtepa Jamii na…
18 February 2025, 09:26 am
Meneja wa Uwanja wa Ndege wa Mtwara Jordan Mchami amesema kutokana na kuwepo kwa gharama ndogo za nauli kwenda na kurudi kutoka Mtwara kwenda Dar es Salaam ambayo ni shilingi 199,000, kutapelekea kuongezeka kwa abiria watakaotumia usafiri huo. Na Musa…
17 February 2025, 20:14 pm
Jamii imekuwa ikiamini kuwa mwanamke au mtoto wa kike hawezi kuwa fundi chuma,Seremala na fundi uashi kama ilivyo kwa mtoto wa kiume hali inayopelekea mwanamke kuwa nyuma katika sekta ya ufundi. Na Musa Mtepa Wanaume wa mkoani Mtwara wametakiwa kuwapa…
Who we are
JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.
Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.
Vision
The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.
Mission
The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.
Coverage:
Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.