Jamii FM

Recent posts

26/02/2026, 13:58

Soko la Embe nje ya nchi kufikia Dola Bilioni 75

Mkurugenzi wa AGCOT na wizara ya kilimo wametaka wadau kukuza zao la embe, kuongeza tija, kuuza nje, na kuwapatia wakulima zana za kisasa ili kuongeza mapato na maendeleo ya kilimo Na Musa Mtepa Mkurugenzi Mkuu wa AGCOT, Geoffrey Kirenga, amewahimiza…

25/02/2026, 09:42

SIDO Mtwara yawataka wajasiriamali kukuza biashara kidijitali

Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Abdallah Mwaipaya, amewahimiza wajasiriamali kuongeza thamani ya bidhaa na kutumia teknolojia, ikiwemo akili mnemba, kukuza biashara zao. Mafunzo hayo yaliandaliwa na SIDO kwa kushirikiana na wadau mbalimbali ili kuwawezesha kibiashara Na Gregory Millanzi Mkuu wa…

22/02/2026, 18:19

Vijana Mtwara wahimizwa maadili kulinda amani nchini

Vijana wamehimizwa kutumia mitandao kwa maadili na kulinda amani wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Skauti Duniani yaliyofanyika Mtwara , yakikumbuka miaka 160 ya Robert Stephenson Baden-Powell Na Musa Mtepa Vijana wametakiwa kutumia mitandao ya kijamii kwa kuzingatia maadili, tamaduni…

21/02/2026, 18:34

AGCOT yataka mageuzi ya kilimo mikoa ya Kusini

“Kama tunaweza uzalisha zaidi ya bilioni 260 kwa zao moja, tunashindwa nini kutegemewa” Na Musa Mtepa Wadau wa kilimo wametakiwa kushirikiana kwa umoja katika kumsaidia mkulima kuzalisha kilimo chenye tija kwa kuwawezesha kulima kwa njia za kisasa, ikiwemo kuwapatia vitendea…

20/02/2026, 16:44

Mtwara kuadhimisha kitaifa siku ya Skauti Duniani

Mkoa wa Mtwara utaadhimisha Siku ya Skauti Duniani Februari 22, 2026, kumuenzi Robert Baden-Powell. Maadhimisho hayo yatajumuisha mafunzo, huduma za jamii na kampeni za uzalendo, huku vijana 400 wakitarajiwa kunufaika na elimu mbalimbali. Wananchi wamealikwa kushiriki katika viwanja vya Nangwanda…

17/02/2026, 20:09

Paka wa ajabu aibua taharuki Mtwara vijijini

Wananchi wa kitongoji cha Shangani, Nangumi, wamekumbwa na taharuki baada ya paka kupatikana amekufa na kuvalishwa hirizi katika nyumba ya mkazi mmoja. Tukio hilo limeibua hofu na maswali, huku viongozi wa kijiji wakieleza kusikitishwa na hali hiyo isiyo ya kawaida…

13/02/2026, 08:59

CBT yasisitiza wakulima upogoleaji na utibuaji wa  Mashamba ya Mikorosho

Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania, Frances Alfred, amewataka wakulima kuzingatia upogoleaji na utibuliaji wa mashamba kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Amesema ruzuku za pembejeo zimeongeza uzalishaji, huku akisisitiza umuhimu wa kudumisha ubora wa korosho ili kupata bei nzuri…

12/02/2026, 10:27

“Kwanini uzito wa korosho utofautiane na malipo yake ?’’

Mkurugenzi wa Bodi ya Korosho Tanzania, Frances Alfred, ametaka wakulima walipwe kulingana na uzito uliopokelewa na wahusika wa upungufu wawajibike baada ya wakulima kulalamikia tofauti ya uzito wa mazao kati ya Vyama vya Msingi vya Ushirika (AMCOS) na ghala kuu,…

05/02/2026, 16:58

97% ya watanzania wanafanya kazi sekta ya madini

Mabadiliko makubwa ya sheria ya madini yaliyofanyika mwaka 2017 yameleta mafanikio makubwa kwa Watanzania katika sekta ya madini, ambapo katika migodi mikubwa ya madini iliyopo nchini asilimia 97 ya wafanyakazi ni Watanzania na zaidi ya asilimia tisini ya uongozi na…

04/02/2026, 07:50

Watanzania wanufaika na mageuzi ya sheria ya madini

Mabadiliko ya sheria ya Madini, zaidi ya Asilimia 97 ya watanzania wajitokeza kufanya kazi kwenye sekta ya madini Na Gregory Milanzi Mabadiliko makubwa ya sheria ya madini yaliyofanyika mwaka 2017 yamewezesha watanzania wengi kufanya kazi katika sekta ya madini, ambapo…

Vision and Mission

Who we are

JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.

Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.

Vision

The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.

Mission

The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.

Coverage:

Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.