Jamii FM
Jamii FM
21 November 2024, 16:03 pm
Uchaguzi wa serikali za mitaa unatarajia kufanyika November 27, 2024 kote nchini ambapo wenyeviti wa mitaa,vijiji na wajumbe wake watarajiwa kuchaguliwa na hivi sasa ni mchakato kwa wagombea wa vyama vya siasa kunadi sera kwa wananchi (Kampeni)ili waweze kuchaguliwa. Na…
21 November 2024, 11:19 am
kulingana na kanuni na taratibu za uchaguzi zinazosimamiwa na ofisi ya Rais TAMISEMI. Uzinduzi huu unahusisha vyama mbalimbali vya siasa nchini, na kampeni zitadumu hadi Novemba 26, 2024, ambayo ni siku moja kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika…
18 November 2024, 11:15 am
November 27,2024 kote nchini kunatarajiwa kufanyika kwa uchaguzi wa serikali za mitaa zitakazo waweka madarakani wenye viti wa vijiji,vitongoji,mitaa na wajumbe ambapo katika michakato ya awali ikiwa tayari imeshafanyika huku ikisubiriwa November 20 wagombea waanze kufanya kampeni. Na Musa Mtepa…
17 November 2024, 22:37 pm
Hii ni ziara ya kikazi ya Naibu Waziri mkuu na Waziri wa Nishati kutembelea katika mradi wa ujenzi wa kituo cha Afya Msimbati ,ambao ni miongoni mwa miradi mitatu aliyoagiza mwaka 2023 alipofanya ziara mkoani Mtwara kwa Wananchi wa vijiji…
16 November 2024, 23:39 pm
Mnada huo ambao umeendeshwa kwa njia ya mtandao kwa usimamizi wa soko la bidhaa Tanzania TMX, umefanya korosho zilizouzwa nchini matika msimu huu wa 2024/2025 kufikia Tani 310,000. Na Mwandishi wetu Chama Kikuu cha Ushirika LINDI MWAMBAO kimeumza jumla ya…
16 November 2024, 17:23 pm
November 27,2024 kunatarajiwa kufanyika uchaguzi wa serikali za mitaa ambapo katika kuelekea siku hiyo michakato mbalimbali imeanza kufanyika ikiwemo kujiandikisha katika orodha ya wapiga kura,kuchukua fomu za ushiriki uongozi,kukata na kusikiliza rufaa huku ikisubiriwa tarehe ya kuanza kampeni. Na Musa…
16 November 2024, 15:42 pm
Na Mwanahamisi Chikambu na Gregory Millanzi Ushiriki wa wanawake katika uongozi ni hatua muhimu kuelekea usawa katika uongozi na maendeleo ya kijamii. Hata hivyo uwakilishi wa wanawake katika nafasi za uongozi bado ni mdogo na changamoto mbalimbali zinakwamisha juhudi za…
16 November 2024, 14:51 pm
“Korosho ni baraka kubwa kwa mikoa ya kusini, lakini tunapaswa kuangalia tunavyotumia mapato haya. Elimu ni uwekezaji wa kudumu kwa watoto wetu na jamii kwa ujumla, tofauti na sherehe ambazo hazina tija ya muda mrefu” Na Msafiri Kipila Wazee wa…
16 November 2024, 14:01 pm
Haya ni mafunzo yanayohusisha katika fani kuu nne ambazo ni uchoraji,uchongaji,ufundi seremala na ufundi chuma ambapo kwa hatua ya awali wameanza na sanaa ya uchongaji. Na Musa Mtepa Novemba 15, 2024, Shirika linalojihusisha na sanaa na utamaduni mkoani Mtwara, ADEA,…
14 November 2024, 20:07 pm
Tunaendelea kuimarisha utoaji wa huduma kwa wananchi katika maeneo mbalimbali nchini, hivyo katika ziara hii tunakutana na watumishi wa ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kusisitizana juu ya kuwahudumia wananchi. Na Mwandishi wetu Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S.…
Who we are
JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.
Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.
Vision
The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.
Mission
The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.
Coverage:
Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.