On air
Play internet radio

Recent posts

10/03/2026, 10:02

Mtoto  Yasri (14) ahofiwa kupoteza maisha mto mambi Mtwara

Mtoto Yasri Hamisi (14) wa kijiji cha Ndumbwe, Mtwara, anahofiwa kufariki baada ya kutumbukia mtoni alipoteleza akijaribu kugusa maji wakati akiwa na wenzake. Wananchi na vikosi vya uokoaji wanaendelea na juhudi za kumtafuta Na Musa Mtepa Mtoto Yasri Hamisi, mwenye…

08/03/2026, 08:52

Makala: siku ya wanawake duniani 2026

Kupitia maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani (IWD), jamii inapata fursa ya kutafakari mchango, changamoto na mafanikio ya wanawake. Gregory Millanzi na Mwanahamis Chikambu. Katika mwanzo wa historia ya mwanadamu, kabla ya ustaarabu kujengeka na kabla jamii haijaweka mifumo ya…

04/03/2026, 16:05

Waziri wa Nishati ahimiza ushirikiano miradi ya CSR Mtwara

Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi, ahimiza ushirikiano wa TPDC na viongozi wa Mtwara katika miradi ya CSR, huku akisisitiza ajira na uwezeshaji wa wananchi kwenye miradi ya gesi asilia Na Musa Mtepa Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi, ameliagiza Shirika la…

03/03/2026, 06:59

CRDB Foundation na serikali yawawezesha vijana Mtwara

CRDB Bank Foundation imekabidhi Pikipiki, Bajaji na Guta zenye thamani ya shilingi milioni 140 kwa vijana wa Mtwara, kuendeleza mikopo nafuu kwa ushirikiano na Wizara ya Maendeleo ya Vijana Na Musa Mtepa Benki ya CRDB kupitia CRDB Bank Foundation kwa…

02/03/2026, 19:31

Vijana 25 Mtwara wapokea mikopo ya serikali

Zaidi ya vijana 25 Mtwara wamenufaika na mikopo nafuu, wakiwemo wapokeaji wa pikipiki, bajaji na guta, iliyokabidhiwa na Waziri wa Vijana kwa lengo la kukuza biashara na ajira Na Musa Mtepa Vijana 25 mkoani Mtwara wamenufaika na mikopo yenye masharti…

02/03/2026, 16:58

Waziri Nanauka azindua Jukwaa la vijana Mtwara

Waziri  Nanauka amewahimiza vijana kujiandaa kuchangamkia fursa za maendeleo wakati wa uzinduzi wa Vijana Platform Mtwara Na Musa Mtepa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Maendeleo ya Vijana, Mhe. Dkt. Joel Nanauka, amewataka vijana kuwa na maandalizi madhubuti ili kuchangamkia…

01/03/2026, 12:53

Trilioni moja kukuza gesi asilia Mtwara

Serikali yawekeza zaidi ya trilioni moja kwenye miradi ya gesi Mtwara, ikilenga kuimarisha upatikanaji wa umeme na kukuza viwanda nchini Na Musa Mtepa Zidi ya shilingi trilioni moja za Kitanzania zimewekezwa katika sekta ya gesi asilia kupitia miradi ya uchimbaji…

28/02/2026, 17:05

Waziri Ndejembi ataka mradi wa Gesi Ntorya ukamilike kwa wakati

Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi, amemtaka mkandarasi kukamilisha mradi wa bomba la gesi Ntorya–Madimba ifikapo Septemba 2026 Na Musa Mtepa Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi, amemtaka mkandarasi anayetekeleza mradi wa uchimbaji na ujenzi wa bomba la kusafirishia gesi asilia kutoka…

Vision and Mission

Who we are

JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.

Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.

Vision

The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.

Mission

The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.

Coverage:

Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.