Jamii FM
Jamii FM
25 November 2021, 11:37 am
“Hatuwezi kufanya peke yetu tunajua kwamba Tume ni Taasisi huru ya Serikali lakini lazima tufanye kazi kwa pamoja kwahiyo ni wajibu wetu mkubwa kama alivyosema ndugu yangu Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa tuendelee kuelimisha ndugu zetu Wananchi kwenye maeneo mbalimbali lakini…
25 November 2021, 11:26 am
uwepo wa mikataba ya ya haki za watu wemye ulemavu Tanzania inafuatwa? uwepo wa taasisi zinazosaidia watu wenye ulemavu wanafikia malengo na wahusika wanapewa stahiki klulingana na miradi husika? Mr. Kaganzi Na MUSSA MTEPA; Serikali na taasisi binafsi zimetakiwa kutenda…
20 October 2021, 18:48 pm
Wananwake katika tasnia ya habari na Vyombo vya habari ni makala ambayo imeandaliwa ili kuangalia nafasi yake, Fursa na changamoto zilizopo katika mkoa wa Mtwara. Karibu katika makala haya ili uweze kujua masuala mbalimbali yanayofanywa na wanawake katika vyumba vya…
19 October 2021, 14:51 pm
Karibu usikilize Makala ya Kilimo biashara ambapo tumezungumzia mazao mbalimbali pamoja na hali ya biashara ya mazao haya ndani ya mkoa wa Mtwara, Ungana na Musa Mtepa katika makala haya.
19 October 2021, 14:33 pm
Karibu usikilize makala inayohusu namna Vyombo vya habari vinawajibika kwa watu wenye mahitaji maalum, Makala haya yameandaliwa na Ramla Masali kutoka hapa Jamii fm Radio
18 October 2021, 16:35 pm
Karibu usikilize makala haya juu ya usafirishaji wa mitungi ya Gesi kwa bodaboda, Makala haya yameandaliwa na Karim Faida. baada ya kusikiliza tunaamini utakuwa umeelimika na masuala mbalimbali yanayohusu Mitungi ya Gesi na matumizi ya jiko la gesi.
18 October 2021, 16:21 pm
Makala haya yameandaliwa na Habiba Mpimbita kuhusu thamani ya mwanamke na safari hii anaangalia uelewa wa wanawake kama wanafahamu juu ya mikopo inayotolewa na halmashauri juu ya wajasiliamali.
14 August 2021, 16:22 pm
Na Gregory Millanzi Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara limemkamata mtuhumiwa Jabiri Bakari (19) kwa tuhuma za uhalifu wa utekaji, ubakaji na kulawiti watoto baada ya kuwalaghai kwa njia mbalimbali na kufanikiwa kuondoka nao kwenda kwenye maeneo na kunzisha makazi…
31 July 2021, 15:18 pm
Na Musa Mtepa. Jumla ya Tani 84.3 za pembejeo Feki (Viuatilifu) zenye thamani ya Zaidi ya milioni 100 zimekamatwa katika oparesheni maalumu wakati zikipelekwa Kwa wakulima wa zao la korosho mkoani Mtwara. Akizungumza Na waandishi WA Habari ofisini kwake Mkuu…
9 July 2021, 16:30 pm
Na Karim Faida. Jumla ya vikundi 52 kutoka Manispaa ya Mtwara Mikindani mkoani Mtwara, wamepewa mkopo wenye thamani ya Tsh 205,047,000. Hayo yametanabaishwa na Afisa maendeleo ya jamii manispaa ya Mtwara mikindani mkoani hapa Bi Juliana Manyama jana katika hafla…
Who we are
JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.
Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.
Vision
The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.
Mission
The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.
Coverage:
Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.