Jamii FM
Jamii FM
2 July 2022, 20:06 pm
Wazazi wametakiwa kuwa karibu na watoto wao ili kupunguza vitendo vinavyoashiria ukatili dhidi yao. Hayo yamesemwa na Bi Ester Nyagari Mzazi wa Serafini Elman katika tamasha la michezo lililohusisha wanafunzi na wazazi yaliyoratibiwa na shule ya Watoto ya Eastgate iliyopo…
28 June 2022, 20:46 pm
Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Mtwara imewashukuru wananchi na taasisi mbalimbali wakiwemo waandishi wa habari kwa namna ambavyo wametoa ushirikiano katika kuelimisha umma kwa mwaka wa fedha unaoishia Juni 30, 2022 huku TAKUKURU ikifikia malengo yake…
27 May 2022, 14:44 pm
Na Gregory Millanzi Katika Kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Serikali katika kuboresha Sekta ya afya hapa nchini, Benki ya NMB Kanda ya Kusini imekabidhi viti mwendo vitano (Wheel Chair) na Vitanda Viwili vya kujifungulia (Delivery beds) kwa akina mama wajawazito…
26 May 2022, 15:01 pm
Na Gregory Millanzi Halmashauri ya Manispaa Mtwara-Mikindani iliyopo Mkoani Mtwara imevuka lengo la Uchanjaji wa Chanjo ya Polio kwa Watoto wenye Umri chini ya Miaka Mitano baada ya kuchanja Watoto elfu 18760 sawa na asilimia 119 Kati ya elfu 15760…
30 April 2022, 06:42 am
Na Gregory Millanzi. WILAYA ya Masasi mkoani Mtwara imezindua rasmi Kampeni ya utoaji wa chanjo ya matone ya ugonjwa wa Polio kwa watoto zaidi ya 55,234 walio chini ya miaka mitano lengo likiwa ni kuwakinga dhidi ya maambukizi ya virusi…
24 March 2022, 12:29 pm
Na Gregory Millanzi. Mikakati mingine iliyowekwa na Mkoa ili kuhakikisha inapunguza vifo vitokanavyo na uzazi ni kuhakikisha gari la kubeba Wagonjwa (Ambulance) katika vituo vya afya na Hospitali zinafanya kazi muda wote ili kuimarisha mfumo wa Rufaa kutoka ngazi…
5 March 2022, 17:00 pm
Mkuu wa mkoa wa Mtwara Mhe. Brig. Jen. Marco Gaguti kwa kushirikiana na taasisi ya “Bega kwa Bega na Mama” imewaomba wanamtwara kujitokeza kwa wingi siku ya kesho tarehe 06/03/2022 katika kusherehekea mwaka mmoja kwa serikali ya awamu ya sita…
24 February 2022, 12:37 pm
Na Gregory MillanziMkuu wa Mkoa wa Mtwara Brigedia Jenerali Marco Gaguti amewataka wadau wa lishe katika mkoa huo kuwajibika ipasavyo katika nafasi zao ili kufikia viwango vilivyowekwa kitaifa katika usimamizi wa afua za lishe. Gaguti amesema hayo kwenye kikao cha…
17 February 2022, 23:46 pm
Na Amua Rushita Shirika la maendeleo ya michezo (SDA) Mtwara kupitia mradi wa kuwawezesha wabinti kupaza sauti, wameendesha Semina ya siku mbili juu ya kuwapa elimu ya namna ya kupambana na unyanyasaji wa kijinsia, semina hiyo imefanyika katika ukumbi wa…
12 February 2022, 19:37 pm
Na Amua Rushita. Waandishi wa habari pamoja na asasi za kiraia kupitia Mradi wa Sauti mpya, wamekutana katika kuadhimisha siku ya redio duniani kwa kuwa na majadala juu ya siku hii inayoadhimishwa kidunia, karibu usikilize kipindi maalumu kutoka hap mkoani…
Who we are
JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.
Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.
Vision
The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.
Mission
The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.
Coverage:
Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.