Jamii FM
Jamii FM
17 November 2022, 16:52 pm
Na Gregory Millanzi Kampuni ya Utoaji wa mikopo ya Platinum Novemba 10,2022 imekabidhi vifaa tiba vya kujifungulia vyenye thamani ya shilingi milioni sita( 6,000,000) kwa Kituo cha afya cha Likombe kilichopo Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara Mikindani ili kusaidia kutatua…
2 November 2022, 13:17 pm
Na Gregory Millanzi Kamati ya lishe ya Halmashauri ya Wilaya Mtwara jana Novemba 1, 2022 imefanya kikao cha tathmini na Mkataba wa Lishe wa Kata na Vijiji. Afisa lishe wa Halmashauri ya Wilaya Mtwara Bi. Magreth Tingo amewasilisha taarifa ya…
10 August 2022, 15:29 pm
Ugonjwa wa kifua kikuu ni ugonjwa unaoennezwa kwa njia ya hewa na hii huenezwa kwa njia tofauti, ungana na mwandishi wetu Mwanahamisi chikambu pamoja Dk. Boniface Jengela ambaye ni mratibu wa kudhibiti kifua kikuu (TB) na ukoma katika halmshauri ya…
1 August 2022, 12:30 pm
. Sikiliza Makala inayozungumzia Nafasi ya Mwanaume kwenye malezi ya watoto, Makala haya yameandaliwa na Mwanahamisi chikambu
28 July 2022, 19:12 pm
Balozi wa Sweden 🇸🇪 nchini Tanzania Anders Sjöberg, leo julai 28,2022 ametembelea katika ofisi za Chama cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Mtwara (MTPC) zilizopo katika jengo la Chama cha waalimu – CWT, mkoani humo. Balozi huyo amepokelewa na viongozi…
26 July 2022, 20:37 pm
Na Gregory Millanzi. Kufuatia ajali ya Basi dogo la Wanafunzi aina ya Toyota Hiace lenye namba za usajili T207 CTS la shule ya King David Mtwara imepata ajali eneo la Mji mwema Kata ya Magengeni, Mikindani Mkoani Mtwara Wanafunzi 11,…
21 July 2022, 12:28 pm
wananchi wa kata ya Nanguruwe mkoani mtwara katika Halmashsuri ya wilaya ya mtwara mkoani mtwara wamemkataa Diwani wa kata hiyo Patrick Simwinga baada ya kutokea kwa vurugu katika eneo lake la utawala. chanzo cha wananchi kumkataa diwani huyo ni vurugu…
8 July 2022, 14:52 pm
Fahamu ushirikiano ulipo kati ya jamii na kampuni ya gesi katika kiwanda kilichopo kata ya Madimba mkoani Mtwara. Makala haya yanaangazia namna gani wananchi wanaweza kupata ajira katika eneo hilo la uchakataji wa Gesi asilia katika kata ya Madimba …
8 July 2022, 14:28 pm
Utupaji wa watoto wachanga mara baada ya kuzaliwa limekuwa ni tukio la kikatili ambalo kwasasa limeonekana kushamili katika jamii katika nchi za kiafrika. Katika tukio la hivi karibuni lililotokea katika msitu uliopo kata ya Naliendele, Jamii fm imeangazia tukio hilo…
7 July 2022, 11:22 am
Ujenzi wa Kiwanda cha uchakataji na usindikaji wa Gesi asilia unatarajia kuanza kutekelezwa mkoani Lindi ambapo tayari nchi yetu ya Tanzania imesaini mkataba wa awali wa ujenzi huo. Swali ni je? Vijana wa mikoa ya Mtwara na Lindi wamejiandaaje na…
Who we are
JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.
Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.
Vision
The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.
Mission
The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.
Coverage:
Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.